Profesa Muhongo huna credibility ya kuwashauri watanzania kuachana na mradi wa JNHPP na usidanganye watu kuwa Hydro power zimepitwa na wakati

Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?

Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?

Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?

Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
Wanasiasa wanafiki kweli kweli.
DC SABAYA LENGAI anaongea🤣🤣🤣
 
Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?

Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?

Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?

Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
Aliyemtusi David Kafulila ni mwanasheria mkuu sio prof Muhongo, pili ni kweli siku hizi nishati mbadala ya uhakika ni 1: Solar 2: Upepo, 3: Nishati ardhi 4: Gesi 5: na Uranium, sio hydropower kwa sababu upatikanaji wa maji umeathiriwa vibaya sana na tabia nchi. Umeona ripoti ya CAG anasema ujenzi wa stieglers gorge wametumia andiko la mradi la mwaka 70/72; hawakupata muda wa kulihuisha, kwa hiyo hakuna uhakika kwamba kutakuwa na maji ya kutosha kulifanya bwawa liwe endelevu na lenye faida na kuzalisha umeme kwa gharama nafuu!
 
Tatizo lako ni mtu wa kukurupuka, unadhani Source ya mto rufiji ilivyo ni wakati wa kufikiria maji kupungua?
NAKAZIA

Stiglers Gorge (Mto rufiji)
  • Inalishwa na maji ya kwenye mito kutoka mikoa minne ambayo ni Pwani, Mbeya, Morigoro na Iringa.
  • Kuna mito mikubwa mitatu inayomwaga maji stiglers ambayo ni Kilombero, Luwegu na Ruaha Mkuu
  • Mto Ruaha Mkuu ni tawi mama la Mto Rufiji(stiglers), Mto huu Umeanzia Mbeya sehemu inaitwa Mbarali na unapita Iringa halafu Dodoma katikati ya bwawa kubwa la mtera halaf unaenda Morogoro unapita katikati ya bwawa kubwa la kidatu halafu unakwenda kuungana na mto kilombero na Luwegu kutengeneza Mto Rufiji(stiglers)
  • Mito inayomwaga maji katika mto Ruaha Mkuu ni Lukosi, Yovi,kitete,sanje,Ruaha mdogo,kisigo,mbarali,kimani,chimala,umrobo,mkoji,kubwa,mlomboji,ipatagwa,mama, na mswiswi(KAMA WAKULIMA WA MCHELE HUKU MBEYA WATAPUNGUZWA MTO HUU UTAKUWA NA MAJI MENGI SANA NA PIA STIGLERS) Inapaswa wakulima waamie kulima chini au downstream yaani baada ya maji kutoka stiglers sio kabla Hayajaingia

  • Mto mwingine mkubwa unaopeleka maji stiglers ni Mto kilombero,limto hili ni likubwa linatokea baada ya kuunganika mito mingi midogo midogo kutoka milima ya udzungwa na mahenge na kupita bonde la ulanga, pia maji ya Mto kihansi yakishazalisha umeme yanamwagwa kilombero. Japo pia huku Kuna walima MCHELE wanaopunguza Flow
  • Mto mwingine mkubwa kabisa unaomwaga maji stiglers ni Mto Luwegu, una maji MENGI SANA,
  • Licha ya hiyo mito mikubwa mitatu pia Kuna mito midogo midogo kutoka mkoa wa Pwani inamwaga maji stiglers.
 
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Ishi kumbe jamaa lina ilimu kuu kuu aisee !
 
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Wewe ni mpumbavu pia, full stop
 
Tanzania tuna gesi nyingi mpaka sasa inazalishwa mpaka inakosa matumizi,umeme kukatika ni miundombinu mibovu na ya zamani inachangia matengenezo kila kukicha.Bei ya umeme kwa sasa ipo chini ukifananisha na miaka ya zamani.

Watu wanalipa tsh 9,300 kwa unit 78+,ukiona umeme kwako upo juu basi matumizi yenu ni makubwa pia sawa na viwandani
Mkuu sikatai ila hao Mawaziri vimeo design ya Muhongo ndiyo wanatufanya tusi feel hayo unayosema, naamini hizo changamoto unazotajwa zilichangiwa kwa kiasi kikubwa na wao, ndiyo maana tunalalamika
 
Tangu lini power plants zimepunga matumizi ya nishati? Wanaupunguza matumizi ni watumiaji na wasambazaji (kwa kuongeza efficiency). Labda unamaanisha deficit?

Amandla...
Atuambie kwanini uwepo wa Kinyerezi plants haujapunguza maumizu yetu na yeye alikuwa waziri huko? hatumwamini kwakuwa ana ndimi nyingi sana huyo

Nimemaanisha tulitarajia kufeel punguzo la bei na hata uwepo wa uhakika wa umeme
 
Hahahah hizo meeting za LNG kipindi cha Magufuli kila term ikiongelewa watu walikuwa wanakataa bila kuwa na sababu kwanini wamekataa, walimwogopa Magu na kufungwa jela. Ila kwa sasa wasipokuwa makini watapigwa kweli wasiwe na haraka kukubali vitu😁😁
SSH ameshatoa muongozo wakubali ili tu mradi uendelee, haijalishi una faida kwetu au lah...
Tutegemee kupigwa tu hapo.
 
NAKAZIA

Stiglers Gorge (Mto rufiji)
  • Inalishwa na maji ya kwenye mito kutoka mikoa minne ambayo ni Pwani, Mbeya, Morigoro na Iringa.
  • Kuna mito mikubwa mitatu inayomwaga maji stiglers ambayo ni Kilombero, Luwegu na Ruaha Mkuu
  • Mto Ruaha Mkuu ni tawi mama la Mto Rufiji(stiglers), Mto huu Umeanzia Mbeya sehemu inaitwa Mbarali na unapita Iringa halafu Dodoma katikati ya bwawa kubwa la mtera halaf unaenda Morogoro unapita katikati ya bwawa kubwa la kidatu halafu unakwenda kuungana na mto kilombero na Luwegu kutengeneza Mto Rufiji(stiglers)
  • Mito inayomwaga maji katika mto Ruaha Mkuu ni Lukosi, Yovi,kitete,sanje,Ruaha mdogo,kisigo,mbarali,kimani,chimala,umrobo,mkoji,kubwa,mlomboji,ipatagwa,mama, na mswiswi(KAMA WAKULIMA WA MCHELE HUKU MBEYA WATAPUNGUZWA MTO HUU UTAKUWA NA MAJI MENGI SANA NA PIA STIGLERS) Inapaswa wakulima waamie kulima chini au downstream yaani baada ya maji kutoka stiglers sio kabla Hayajaingia

  • Mto mwingine mkubwa unaopeleka maji stiglers ni Mto kilombero,limto hili ni likubwa linatokea baada ya kuunganika mito mingi midogo midogo kutoka milima ya udzungwa na mahenge na kupita bonde la ulanga, pia maji ya Mto kihansi yakishazalisha umeme yanamwagwa kilombero. Japo pia huku Kuna walima MCHELE wanaopunguza Flow
  • Mto mwingine mkubwa kabisa unaomwaga maji stiglers ni Mto Luwegu, una maji MENGI SANA,
  • Licha ya hiyo mito mikubwa mitatu pia Kuna mito midogo midogo kutoka mkoa wa Pwani inamwaga maji stiglers.
Sasa turudi kwa MUHONGO NA GESI YAKE YA TUMBONI
 
Bora uwizi uliofanywa na kina kigwangala pesa zitabaki ndani, hasara ya atcl ni ya ndani. Wakija mabeberu kuchota rasilimali zetu wanapeleka kujenga kwao hata hivyo Vita vya ww2 ilikuwa ni Vita ya kiuchumi Hitler alitaka kuiteka Soviet Union achukue ardhi yenye rutuba na resource za mafuta na gas
 
Nimemaanisha tulitarajia kufeel punguzo la bei na hata uwepo wa uhakika wa umeme
Sio lazima patokee punguzo la bei. Bei inatokana na gharama za uzalishaji, usambazaji na kodi ya serikali. K.m. ingawa wanaotoa huduma za simu na mtandao wameongezeka sana lakini bei haishuki bali inazidi kupanda.

Kuto kuwepo wa uhakika wa umeme ni kwa sababu bado hatujitoshelezi na umeme kwa mwaka mzima, hali ya vyanzo vyetu vya umeme ( mabwawa kujaa matope, turbines kuharibika, mafuta kukosekana kwenye vinu vinavyotumia mafuta n.k.), hali ya mtandao wa usambazaji wa umeme n.k.

Kwa mfano wakulima wa Sumbawanga wanaweza kulima sana mahindi lakini bei isishuke kwa sababu barabara za kuwafikia ni mbovu sana na sehemu nyingine uzalishaji umeshuka kwa sababu ya nzige.

Amandla....
 
Mkuu sikatai ila hao Mawaziri vimeo design ya Muhongo ndiyo wanatufanya tusi feel hayo unayosema, naamini hizo changamoto unazotajwa zilichangiwa kwa kiasi kikubwa na wao, ndiyo maana tunalalamika
Tatzo sio mawaziri ,ni KATIBA na ccm
 
Bora uwizi uliofanywa na kina kigwangala pesa zitabaki ndani, hasara ya atcl ni ya ndani. Wakija mabeberu kuchota rasilimali zetu wanapeleka kujenga kwao hata hivyo Vita vya ww2 ilikuwa ni Vita ya kiuchumi Hitler alitaka kuiteka Soviet Union achukue ardhi yenye rutuba na resource za mafuta na gas
Wizi ni wizi tu. Hasara ya ATCL itaathiri uwezo wa kuhudia ndege zake. Mabeberu watachota rasilimali zenu kama mtaingia nao mikataba mibovu kama ambavyo hata wawekezaji wa kitanzania watakavyozichota ( na kuwekeza nje) kama mikataba nao itakuwa mibovu. Mwizi ni mwizi, hamna tofauti kati ya Beberu na Mmatumbi.

Amandla...
 
Umetumia vizuri fasihi.

Mimi katika nyuzi zangu kadhaa nimekuwa nasema kuwa watanzania tumegawanyika kambi mbili tu bila kujali vyama vyetu, nazo ni:
1. Majizi, mafisadi na mashabiki wao.
2. Wazalendo wanaopinga wizi na ufisadi.
Jinsi mtu anavyochangia unaweza kujua mlengo wake ni upi ndio maana unashangaa ntu anashindwaje kuona smple fact! Wanaweza kuwa watu wawili mmoja ana elimu ya chuo kikuu mwingine darasa la saba lakini huyo wa chuo kikuu unashangaa jinsi alivyo bogus kuliko wa darasa la saba.
Kweli mkuu
 
Ulimsikiloza vizuri? Amesema Kuwepo na energy mix hao US na China wana hydro lakini wana wind turbines, Geothermal, Coal, Gesi, n.k. na ndio alichoshauri.
Mkuu hata hayati JPM hizo zote ulizozitaja za Wind turbines (Umeme utokanao na upepo-Singida, Dodoma na Shinyanga), Geothermal energy (Umeme utokanao na joto la ardhi), Coal (Umeme utokanao na makaa ya mawe-Dangote anatumia kwa sasa) na Gesi (yenye unafuu kwa Tanzania ni ile inayotoka Songas huko Lindi sio ya Msimbati na Mnazi bay (GPF-Gas Processing Facility) ambayo ni ya wawekezaji ambao huiuzia TANESCO inapofikishwa kwenye kituo chao hapo Mtwara mjini (GRF-Gas Receiving Facility) ambao huichakata kwa matumizi ya umeme kwenye viwanda, nyumbani kwa ajili ya gari-magari ya Dangote mengi yanatumia nishati ya mfumo wa gesi kuzalisha umeme wa kuendesha mashine na mitambo pamoja na matumizi ya kupikia nk. (rejea hotuba yake wakati wa ufunguzi wa bunge la 12 lakini hata kwenye ilani ya chama chake hayo yote yameelezwa sio kitu kigeni anachokieleza Muhongo ijapokuwa anajaribu kuonesha umeme wa maji hauna manufaa kitu ambacho sio kweli.
 
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Mbona tumeingia uchumi wa Kati bila yeye kuwepo
 
Back
Top Bottom