Profesa Mkumbo: Uchumi wa Dunia unashuka, ila Uchumi wa Tanzania unapanda

Profesa Mkumbo: Uchumi wa Dunia unashuka, ila Uchumi wa Tanzania unapanda

View attachment 3365674
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema kuwa licha ya hali ya uchumi duniani kuendelea kuyumba, Tanzania imeonyesha uimara kwa kuendelea kukuza uchumi wake kwa kasi na ustahimilivu wa hali ya juu.

Akitoa Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2024 na Mpango wa Maendeleo kwa mwaka wa Fedha 2025/2026 bungeni jijini Dodoma leo, Alhamisi Juni 12, 2025, Profesa Mkumbo alisema mafanikio hayo yanatokana na usimamizi makini wa sera pamoja na mshikamano wa Watanzania katika kujenga uchumi wa Taifa.

“Nihitimishe kwa kulihakikishia Bunge lako tukufu kuwa hali ya uchumi wa nchi yetu kwa sasa ni himilivu, ukiwa na mwelekeo chanya na ukuaji endelevu. Kuimarika kwa uchumi kunatokana na usimamizi makini wa sera za uchumi jumla, pamoja na ushiriki wa wananchi wote katika ujenzi wa Taifa. Ninawashukuru na kuwapongeza Watanzania wote kwa mshikamano huu wa kizalendo,” amesema Profesa Mkumbo.

Profesa Mkumbo amebainisha kuwa licha ya changamoto za kiuchumi duniani, Tanzania imeendelea kuvutia wawekezaji na kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati katika sekta mbalimbali zikiwemo miundombinu, nishati, kilimo na afya -hatua ambazo zimechangia ustawi wa uchumi wa Taifa.

Prof Kitila ni rafiki yangu katika mambo mengi lakini katika hili la "unwarranted social constructionism" huwa tunatofautiana. Hakuna mtu mwenye mamlaka ya kutengeneza ukweli. Ukweli unagunduliwa. Sikubaliani na ugunduzi wake mara nyingi. Hapo tu tunapigana kisogo. Kwa sasa uchumi umesimama. Cash flow hakuna hasa huko vijijini. Simu za kuomba msaada kutoka vijijini kwenda mijini kwa ndugu, jamaa na marafiki zimeongezeka sana!
 
View attachment 3365674
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema kuwa licha ya hali ya uchumi duniani kuendelea kuyumba, Tanzania imeonyesha uimara kwa kuendelea kukuza uchumi wake kwa kasi na ustahimilivu wa hali ya juu.

Akitoa Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2024 na Mpango wa Maendeleo kwa mwaka wa Fedha 2025/2026 bungeni jijini Dodoma leo, Alhamisi Juni 12, 2025, Profesa Mkumbo alisema mafanikio hayo yanatokana na usimamizi makini wa sera pamoja na mshikamano wa Watanzania katika kujenga uchumi wa Taifa.

“Nihitimishe kwa kulihakikishia Bunge lako tukufu kuwa hali ya uchumi wa nchi yetu kwa sasa ni himilivu, ukiwa na mwelekeo chanya na ukuaji endelevu. Kuimarika kwa uchumi kunatokana na usimamizi makini wa sera za uchumi jumla, pamoja na ushiriki wa wananchi wote katika ujenzi wa Taifa. Ninawashukuru na kuwapongeza Watanzania wote kwa mshikamano huu wa kizalendo,” amesema Profesa Mkumbo.

Profesa Mkumbo amebainisha kuwa licha ya changamoto za kiuchumi duniani, Tanzania imeendelea kuvutia wawekezaji na kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati katika sekta mbalimbali zikiwemo miundombinu, nishati, kilimo na afya -hatua ambazo zimechangia ustawi wa uchumi wa T🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭💩💩💩
 
Swali la kujiuliza ni je, ukuaji huu unawasaidia wananchi wa kawaida?

Kwa mujibu wa takwimu, zaidi ya Watanzania milioni 25 wanaishi chini ya dola 1.90 kwa siku. Hii inaonyesha kuwa licha ya ukuaji wa uchumi, umaskini bado ni changamoto kubwa.

Pia, mfumuko wa bei umeongezeka hadi asilimia 3.17, na bei za vyakula zimepanda kwa asilimia 5, huku mishahara ya watu ikiwa haijabadilika.

Kwa upande wa ajira, vijana wengi bado wanasota mitaani, na wengi wanafanya kazi zisizo rasmi zenye kipato kidogo.

Ingawa takwimu zinaonyesha uchumi unakua, maisha ya wananchi wa kawaida bado ni magumu. Ni muhimu kuhakikisha ukuaji wa uchumi unaleta manufaa kwa watu wote, na sio kwa wachache tu.
 
View attachment 3365674
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema kuwa licha ya hali ya uchumi duniani kuendelea kuyumba, Tanzania imeonyesha uimara kwa kuendelea kukuza uchumi wake kwa kasi na ustahimilivu wa hali ya juu.

Akitoa Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2024 na Mpango wa Maendeleo kwa mwaka wa Fedha 2025/2026 bungeni jijini Dodoma leo, Alhamisi Juni 12, 2025, Profesa Mkumbo alisema mafanikio hayo yanatokana na usimamizi makini wa sera pamoja na mshikamano wa Watanzania katika kujenga uchumi wa Taifa.

“Nihitimishe kwa kulihakikishia Bunge lako tukufu kuwa hali ya uchumi wa nchi yetu kwa sasa ni himilivu, ukiwa na mwelekeo chanya na ukuaji endelevu. Kuimarika kwa uchumi kunatokana na usimamizi makini wa sera za uchumi jumla, pamoja na ushiriki wa wananchi wote katika ujenzi wa Taifa. Ninawashukuru na kuwapongeza Watanzania wote kwa mshikamano huu wa kizalendo,” amesema Profesa Mkumbo.

Profesa Mkumbo amebainisha kuwa licha ya changamoto za kiuchumi duniani, Tanzania imeendelea kuvutia wawekezaji na kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati katika sekta mbalimbali zikiwemo miundombinu, nishati, kilimo na afya -hatua ambazo zimechangia ustawi wa uchumi wa Taifa.
Tuna bunge la hovyo mno,sidhani kama kuna nchi ya kutuzidi kwenye hili
 
Prof Kitila ni rafiki yangu katika mambo mengi lakini katika hili la "unwarranted social constructionism" huwa tunatofautiana. Hakuna mtu mwenye mamlaka ya kutengeneza ukweli. Ukweli unagunduliwa. Sikubaliani na ugunduzi wake mara nyingi. Hapo tu tunapigana kisogo. Kwa sasa uchumi umesimama. Cash flow hakuna hasa huko vijijini. Simu za kuomba msaada kutoka vijijini kwenda mijini kwa ndugu, jamaa na marafiki zimeongezeka sana!
unapotosha wadau madam,
cash flow sasahivi ni kutoka mijini kwenda vijijini, and for your information vijijini kuna hali nzuri zaidi ya kiuchmi kwa sasa kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya Taifa letu.

waziri yuko sahihi, na ameeleza ukweli mtupu kwa uwazi na dunia nzima inaskia.

hata hivyo,
wasiopenda kuskia ukweli itawapashida kidogo hii taarifa ya waziri 🐒
 
View attachment 3365674
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema kuwa licha ya hali ya uchumi duniani kuendelea kuyumba, Tanzania imeonyesha uimara kwa kuendelea kukuza uchumi wake kwa kasi na ustahimilivu wa hali ya juu.

Akitoa Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2024 na Mpango wa Maendeleo kwa mwaka wa Fedha 2025/2026 bungeni jijini Dodoma leo, Alhamisi Juni 12, 2025, Profesa Mkumbo alisema mafanikio hayo yanatokana na usimamizi makini wa sera pamoja na mshikamano wa Watanzania katika kujenga uchumi wa Taifa.

“Nihitimishe kwa kulihakikishia Bunge lako tukufu kuwa hali ya uchumi wa nchi yetu kwa sasa ni himilivu, ukiwa na mwelekeo chanya na ukuaji endelevu. Kuimarika kwa uchumi kunatokana na usimamizi makini wa sera za uchumi jumla, pamoja na ushiriki wa wananchi wote katika ujenzi wa Taifa. Ninawashukuru na kuwapongeza Watanzania wote kwa mshikamano huu wa kizalendo,” amesema Profesa Mkumbo.

Profesa Mkumbo amebainisha kuwa licha ya changamoto za kiuchumi duniani, Tanzania imeendelea kuvutia wawekezaji na kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati katika sekta mbalimbali zikiwemo miundombinu, nishati, kilimo na afya -hatua ambazo zimechangia ustawi wa Uchumi wa Taifa.
Nimesoma tu hapo juu sijamsikiliza
How comes? No numbers? Quantitatively! Qualitatively/- Uchumi wa GDP ngapi umekuza ajira kiasi gani, viwanda gani, na imeongeza kipato gani kwa shughuli zipi na mfumuko wa bei??!! Yeye na Ponjoro hakuna tofauti, au Dr. Msukuma.
 
View attachment 3365674
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema kuwa licha ya hali ya uchumi duniani kuendelea kuyumba, Tanzania imeonyesha uimara kwa kuendelea kukuza uchumi wake kwa kasi na ustahimilivu wa hali ya juu.

Akitoa Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2024 na Mpango wa Maendeleo kwa mwaka wa Fedha 2025/2026 bungeni jijini Dodoma leo, Alhamisi Juni 12, 2025, Profesa Mkumbo alisema mafanikio hayo yanatokana na usimamizi makini wa sera pamoja na mshikamano wa Watanzania katika kujenga uchumi wa Taifa.

“Nihitimishe kwa kulihakikishia Bunge lako tukufu kuwa hali ya uchumi wa nchi yetu kwa sasa ni himilivu, ukiwa na mwelekeo chanya na ukuaji endelevu. Kuimarika kwa uchumi kunatokana na usimamizi makini wa sera za uchumi jumla, pamoja na ushiriki wa wananchi wote katika ujenzi wa Taifa. Ninawashukuru na kuwapongeza Watanzania wote kwa mshikamano huu wa kizalendo,” amesema Profesa Mkumbo.

Profesa Mkumbo amebainisha kuwa licha ya changamoto za kiuchumi duniani, Tanzania imeendelea kuvutia wawekezaji na kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati katika sekta mbalimbali zikiwemo miundombinu, nishati, kilimo na afya -hatua ambazo zimechangia ustawi wa uchumi wa Taifa.

Prof wa kutengeneza sayari ya Tanzania.
 
View attachment 3365674
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema kuwa licha ya hali ya uchumi duniani kuendelea kuyumba, Tanzania imeonyesha uimara kwa kuendelea kukuza uchumi wake kwa kasi na ustahimilivu wa hali ya juu.

Akitoa Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2024 na Mpango wa Maendeleo kwa mwaka wa Fedha 2025/2026 bungeni jijini Dodoma leo, Alhamisi Juni 12, 2025, Profesa Mkumbo alisema mafanikio hayo yanatokana na usimamizi makini wa sera pamoja na mshikamano wa Watanzania katika kujenga uchumi wa Taifa.

“Nihitimishe kwa kulihakikishia Bunge lako tukufu kuwa hali ya uchumi wa nchi yetu kwa sasa ni himilivu, ukiwa na mwelekeo chanya na ukuaji endelevu. Kuimarika kwa uchumi kunatokana na usimamizi makini wa sera za uchumi jumla, pamoja na ushiriki wa wananchi wote katika ujenzi wa Taifa. Ninawashukuru na kuwapongeza Watanzania wote kwa mshikamano huu wa kizalendo,” amesema Profesa Mkumbo.

Profesa Mkumbo amebainisha kuwa licha ya changamoto za kiuchumi duniani, Tanzania imeendelea kuvutia wawekezaji na kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati katika sekta mbalimbali zikiwemo miundombinu, nishati, kilimo na afya -hatua ambazo zimechangia ustawi wa uchumi wa Taifa.
Kwa hiyo Tanzania sio sehemu ya hiyo dunia ambayo uchumi wake unashuka?

Stupid
 
Back
Top Bottom