Profesa Lipumba live makutano Show!

Profesa Lipumba live makutano Show!

Kwani Zanzibar sio Tanzania?

..hapana.

..Zanzibar ni nchi.

..tena wanatudhulumu sana wa-Tanganyika.

..juzi Dr.Bilali amepewa bilioni 32 kwa ajili ya ZNZ, sisi wa-Tanganyika tumetengewe 0 na ofisi yake.

..hivi unafikiri Maalimu akipata muda kama huu unafikiri atazungumzia shida za wa-Tanganyika??
 
Serikali ijiunge na OIC!! ni faida kwa nchi nzima! wala hakuna sheria za kiislamu! Uganda sio nchi ya Kiislamu! hata Museveni ni Mkristo na yuko tayari kuja TZ kufafanua manufaa ya OIC!!!!
 
Anauhakika na hili au anajibu 4the sake ya kufunika kombe mwanaharamu apite? Yani kila uchaguzi ni yeye tu wanachama wanamwona anafaa?
Ameulizwa swali kwa nini kila mwaka anagombea yeye kasema haamui mwenyewe ni wanachama ndio wanampendekeza lakini kama wakimsimamisha mwingine atamuunga mkono.
 
Kwani lazima tuige ya uganda?So logic ya kujiunga na OIC kwake ni kwasababu jirani zetu wamejiunga basi nasi tufwate mkumbo! Hopeless
Serikali ijiunge na OIC!! ni faida kwa nchi nzima! wala hakuna sheria za kiislamu! Uganda sio nchi ya Kiislamu! hata Museveni ni Mkristo na yuko tayari kuja TZ kufafanua manufaa ya OIC!!!!
 
..hapana.

..Zanzibar ni nchi.

..tena wanatudhulumu sana wa-Tanganyika.

..juzi Dr.Bilali amepewa bilioni 32 kwa ajili ya ZNZ, sisi wa-Tanganyika tumetengewe 0 na ofisi yake.

..hivi unafikiri Maalimu akipata muda kama huu unafikiri atazungumzia shida za wa-Tanganyika??

Wee unatoka nje ya mada kama unamaswali yako peleka ktk tume ya Katiba hapa tunasikiza live Profesa Lipumba usiharibu mada!
 
Kwani hatuwezi kupata maendeleo bila kujiunga oic?
Kwa nini ana ng'ang'ania?

Serikali ijiunge na OIC!! ni faida kwa nchi nzima! wala hakuna sheria za kiislamu! Uganda sio nchi ya Kiislamu! hata Museveni ni Mkristo na yuko tayari kuja TZ kufafanua manufaa ya OIC!!!!
 
Kwani lazima tuige ya uganda?So logic ya kujiunga na OIC kwake ni kwasababu jirani zetu wamejiunga basi nasi tufwate mkumbo! Hopeless

Hakuna shida wala tatizo kuiga jambo zuri kama lina faida kwa wananchi!
 
Wee unatoka nje ya mada kama unamaswali yako peleka ktk tume ya Katiba hapa tunasikiza live Profesa Lipumba usiharibu mada!
Kadogoo,

..tuacheni tupumue.

..wa-Tanganyika tumeuchoka muungano.

..kila upande ujiendeshe kivyake-vyake.

..ZNZ huru, na Tanganyika huru.
 
Last edited by a moderator:
Kadogoo,

..tuacheni tupumue.

..wa-Tanganyika tumeuchoka muungano.

..kila upande ujiendeshe kivyake-vyake.

..ZNZ huru, na Tanganyika huru.

Katiba bado haijabadilishwa na Wa Tanganyika bado hawajaamua kupitia tume ya Katiba!
 
Ok kasema yepi mengine?

Umeridhika na OIC!

Sasa anaeleza uchumi utakuwaje, umuhimu wa kilimo, maneno mengi tu kimsamiati na wala Serikali haitengi fedha kwa tija ya kilimo!
 
Profesa anakanusha madai ya Jamii Forum yeye kumdhamini Ponda!!!
 
Madai ya Ponda ni kuuzwa kwa Wakfu za Waislamu lakini Serikali imedandia issue hiyo kwa kumkamata Ponda badala ya mahakama ya Ardhi!
Ponda anahaki ya dhamana!
 
Si kwamba fedha hazitengwi ila zinaliwa na wajanja wachache,mfano vocha za pembejeo wanatafuna wachache wasojua uchungu wa kulima.
Umeridhika na OIC!

Sasa anaeleza uchumi utakuwaje, umuhimu wa kilimo, maneno mengi tu kimsamiati na wala Serikali haitengi fedha kwa tija ya kilimo!
 
Back
Top Bottom