Kadogoo,Hayo maswali yako ulitakiwa kumuuliza Profesa! lakini Mbona Edwad Lowasa akiwa ktk fundraising za Makanisa huwa hamsemi? by the way huna ushahidi kuhusu CUF kuchangia Radio Imani bali ni tuhuma tu! thibitisha!
Toa ushahidi usibwabwaje tu!
Umeona hilo tatizo?
Kila wakati anasema hawa wenzetu......akimaanisha wakristo.
Ameshindwa kabisa kujipambanua kama mtanzania na mwanasiasa.
Anajipambanua kama mwislamu mwanasiasa.
This is crazy for a person of his callibre.
Hapo kwenye red ndipo tatizo kuu la CUF lilipo; ni chama cha kutetea kundi fulani katika jamii kuliko mengine hata mfumo wao wa uongozi ndivyo ulivyo. Ni chama cha ajabu hakuna mfano na Profesa amethibitisha hilo pasi na shaka yoyote.
Halafu tungekuwa na waandishi wenye weledi wa kutosha hapo palikuwa na hoja nyingi sana za Lipumba kujibu. Labda kwenye uchumi, ila kwa siasa, Lipumba akubali tu ameshindwa na nyakati zake zimepita.
Kadogoo,
..kwa kweli wasikilizaji did not come out with any new information kuhusu CUF, au Prof.Lipumba.
..mwendesha kipindi alijaribu kidogo alipouliza kuhusu muungano. kwa kweli hata mimi mapigo ya moyo yalianza kwenda mbio. Prof amedai CUF wanataka serikali 3 ila wanachama wa CUF wanaruhusiwa kutoa maoni yao. Tatizo ni kwamba mmoja wa wanachama hao ni MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD na ametoa maoni tofauti na msimamo wa chama.
..kwa kifupi ni kwamba mwendesha kipindi alishindwa kuuliza FOLLOW UP QUESTIONS kutokana na majibu ya Prof kuhusu muungano.
..maswali yako uliyopendekeza aulizwe Dr.Slaa yanafaa sana. mimi napenda maswali makubwa kwasababu yanampa nafasi mwanasiasa kujijenga au kujibomoa.
NB:
..hivi una habari kwamba mwaka 1995 Prof.Lipumba alikuwa na kashfa ya kimaadili ya kuvunja ndoa na kutorosha mke wa mtu? tena CCM walikuwa wanatumia kashfa hiyo wakidai kwamba Prof si Muislamu safi kwasababu mwanamke aliyekuwa akijihusisha naye alikuwa Mkristo.
Kadogoo,
..kashfa ya Prof.Lipumba ilikuwa ni kuvunja ndoa ya watu.
..tena mwanamama aliyekuwa akijihusisha naye ni Mkristo na Mchaga, combination ambayo wana CUF kindakindaki hawaipendi kabisa.
..dont waste ur time kubishania suala hili kwasababu nina uhakika nalo.
..YES, suala la Dr.Slaa liko mahakamani.
..lakini, Slaa na Josephine wameishi pamoja kwa kipindi ambacho jamhuri/mahakama inapaswa kuwatambua kama mke na mume.
Kadogoo,
..sasa unataka nikuletee court transcripts za mwaka 1995?
..wewe waulize wana CUF wenzako kama mwaka 1995 Prof.Lipumba hakuwa na kashfa kama hii ya Dr.Slaa inayohusisha mwanamke Mkristo Mchaga.
..najua kwanini hili linakupa shida kulikubali kutokana na chuki zenu dhidi ya Wakristo na Wachaga. Lakini huyo ndiyo mwenyekiti wenu.