Profesa Lipumba live makutano Show!

Profesa Lipumba live makutano Show!

Profesa anasema wa TZ watamkumbuka kwa haki sawa kwa wote na mpira ni mbili moja!!!
mwisho!
 
Professor Lipumba, anajitambua zaidi kwa uislam wake na si kwa utanzania kwanza. Hili ni tatizo mzigo mabegani mwake!!!!

Umeona hilo tatizo?
Kila wakati anasema hawa wenzetu......akimaanisha wakristo.
Ameshindwa kabisa kujipambanua kama mtanzania na mwanasiasa.
Anajipambanua kama mwislamu mwanasiasa.
This is crazy for a person of his callibre.
 
Anajipigia debe,halafu akipata anakuwa kama maalimu seif asiyekuwa hata na la kuquestion bungeni!
Uteuzi wa rais uwe mpana zaidi usibaki kwa CCM tu na hata nikiteuliwa hakuna ubaya
 
Profesa anasema kuhusu jumuiya ya Afrika mashariki sisi bado hatujajiandaa ktk soko la pamoja! wenzetu wamejiandaa hasa na speed yetu ni ndogo kuhusu soko la pamoja!

Hatujajiandaa nini?
Viwanda, wasomi, sheria, au kitu gani?
 
Na ni mpaka hapo atakapojitambua ndipo aweza kupata nafasi ya uongozi wa nchi hii!
Umeona hilo tatizo?
Kila wakati anasema hawa wenzetu......akimaanisha wakristo.
Ameshindwa kabisa kujipambanua kama mtanzania na mwanasiasa.
Anajipambanua kama mwislamu mwanasiasa.
This is crazy for a person of his callibre.
 
Umeona hilo tatizo?
Kila wakati anasema hawa wenzetu......akimaanisha wakristo.
Ameshindwa kabisa kujipambanua kama mtanzania na mwanasiasa.
Anajipambanua kama mwislamu mwanasiasa.
This is crazy for a person of his callibre.

Si kweli kabisa wewe unampakazia na kumbambikizia asichosema Profesa! huna ushahidi heri unyamaze tu!
 
Profesa anasema Ni muhimu Wanadini waheshimiane hasa Jamii Forum waache matusi!!

Kadogoo,

..Prof anaona yanayotokea jamii forums tu!!

..what about radio imaan na gazeti la annuur??

..tena makamu mwenyekiti wa CUF aliongoza fundraising ya radio imaan.

..nadhani Prof ameshindwa kuwa FAIR and BALANCED ktk kuwa-address wale wanaoeneza CHUKI za kidini.

NB:

..kwa kweli mahojiano hayo nayapa grade ya C-.

..hakuna kitu chochote kile kipya kilichopatikana.
 
Uko nje ya tz nn?watu walisafirishwa na walionekana kwenye coster zipatazo 15!

Uongo uliotukuka,Arusha ni nyumbani na wakati wa kampeni mwanzo mwisho hstukuwahi kuona raia wa dsm,kwanza wa nini wakati Arusha ni watu wenye msimamo?Acha kutunga uongo mjomba n dhambi usiushuhudie uongo kwa kinywa chako wakati sio kweli.
 
reading between the lines, i can see our learned prof appears to bear all the hallmarks of the "uamsho" doctrine.

which is no good news for the peace-loving us....this because of his influential status in our society
 
Si kweli kabisa wewe unampakazia na kumbambikizia asichosema Profesa! huna ushahidi heri unyamaze tu!

Wewe ni personal assistant wake?
Kwangu mimi huyu boss wako ni profesa Lipumba-vu.
 
Kadogoo,

..Prof anaona yanayotokea jamii forums tu!!

..what about radio imaan na gazeti la annuur??

..tena makamu mwenyekiti wa CUF aliongoza fundraising ya radio imaan.

..nadhani Prof ameshindwa kuwa FAIR and BALANCED ktk kuwa-address wale wanaoeneza CHUKI za kidini.

NB:

..kwa kweli mahojiano hayo nayapa grade ya C-.

..hakuna kitu chochote kile kipya kilichopatikana.

Umesema vema kaka,asante sana.
 
Imekuaje akashindwa kutoa masharti ya kujiunga na OIC?
Hajui au anaona yamekaa ki uamsho?
 
Yanayozungumzwa radio imaan anayakubal kwani kwa mtazamo wake yako sawa,.poor him
Kadogoo,

..Prof anaona yanayotokea jamii forums tu!!

..what about radio imaan na gazeti la annuur??

..tena makamu mwenyekiti wa CUF aliongoza fundraising ya radio imaan.

..nadhani Prof ameshindwa kuwa FAIR and BALANCED ktk kuwa-address wale wanaoeneza CHUKI za kidini.

NB:

..kwa kweli mahojiano hayo nayapa grade ya C-.

..hakuna kitu chochote kile kipya kilichopatikana.
 
Kwani Chadema si kilitoa tamko la kuwa Ponda kaonewa, apewe dhamana, na Bakwata ni chombo cha CCM. Na haikuishia hapo, kikasema Farid wa Uamusho ina uhakika kuwa alitekwa?!

Sasa cha ajabu nini kwa Lipumba?

Manake kimsingi hakuna chama cha siasa kinachoweza kusema kilichofanya serikali ni sahihi.

Hakuna jipya kwa la Lipumba
 
Kadogoo,

..Prof anaona yanayotokea jamii forums tu!!

..what about radio imaan na gazeti la annuur??

..tena makamu mwenyekiti wa CUF aliongoza fundraising ya radio imaan.

..nadhani Prof ameshindwa kuwa FAIR and BALANCED ktk kuwa-address wale wanaoeneza CHUKI za kidini.

NB:

..kwa kweli mahojiano hayo nayapa grade ya C-.

..hakuna kitu chochote kile kipya kilichopatikana.

Hayo maswali yako ulitakiwa kumuuliza Profesa! lakini Mbona Edwad Lowasa akiwa ktk fundraising za Makanisa huwa hamsemi? by the way huna ushahidi kuhusu CUF kuchangia Radio Imani bali ni tuhuma tu! thibitisha!
 
Hayo maswali yako ulitakiwa kumuuliza Profesa! lakini Mbona Edwad Lowasa akiwa ktk fundraising za Makanisa huwa hamsemi? by the way huna ushahidi kuhusu CUF kuchangia Radio Imani bali ni tuhuma tu! thibitisha!

Lowassa hachangii makanisa tu, hadi misikiti.
Ananunua kila aliye cheap.
 
Profesa anafafanua chanzo cha kuunda Mseto na ajabu Freeman Mbowe alihusika na uhamasishaji wa kuunda Serikali ya mseto! Chadema mpo?

halafu nini sasa kikamnyima freemana hata kuitambua CUF bungeni?Sioni ufafanuzi hapo zaidi ya prof kushindwa weza tenganisha mambo.
 
Back
Top Bottom