ajibu kwanini alisafirisha watu kutoka dar kwenda arusha ili kujaza uwanja! aibu zake!
Profesa analaani uvamizi wa Makanisa! na suala la Ponda na kuvunjwa Makanisa yasichanganywe kwani Ponda amekamatwa kwa kosa la ardhi!
Madai ya Ponda ni kuuzwa kwa Wakfu za Waislamu lakini Serikali imedandia issue hiyo kwa kumkamata Ponda badala ya mahakama ya Ardhi!
Ponda anahaki ya dhamana!
Professor Lipumba, anajitambua zaidi kwa uislam wake na si kwa utanzania kwanza. Hili ni tatizo mzigo mabegani mwake!!!!
Nani alisafirishwa kutoka Dsm mpaka Arusha?,unao ushahidi au unapotosha tu?Hata uiseme vipi Chadema bado ipo mioyoni mwa waru.
Profesa anaelezea tatizo la kihistoria kwa Serikali kuvunja Jumuiya ya Waislamu na kuwaanzishia Bakwata! sasa Waislamu walikuwa na jumuiya yao iweje Serikali tena iingilie Waislamu na kuwaanzishia Bakwata? ambayo mpaka sasa Waislamu hawana Imani nayo!
anajibu kuhusu yeye kugombea na anasema yeye huwa wa mwisho kuchukua fomu! anasema Abdulahi wade alianza kugombea urais 1970 na kuja kuwa rais 2000! lakini kila mtu anahaki ya kugombea!!
Yeye bado hajaamua kwa sasa na anasubiri wakati!
Profesa anasema kuhusu jumuiya ya Afrika mashariki sisi bado hatujajiandaa ktk soko la pamoja! wenzetu wamejiandaa hasa na speed yetu ni ndogo kuhusu soko la pamoja!
Madai ya Ponda ni kuuzwa kwa Wakfu za Waislamu lakini Serikali imedandia issue hiyo kwa kumkamata Ponda badala ya mahakama ya Ardhi!
Ponda anahaki ya dhamana!
Profesa anamalizia kuhusu James Mbatia kuteuliwa Mbunge!