Profesa sasa yuko Dodoma live sasa akihojiwa na mwandishi wa habari jina simjui ila nafuatilia.....
MakutanoShow on USTREAM: Makutano na Fina Mango. Radio
MakutanoShow on USTREAM: Makutano na Fina Mango. Radio
Tuambie amejibu nini. Kusema tu ufasaha haitoshi. Halafu unavyoripoti jitahidi kupunguza mahaba na ushabiki.Profesa anaulizwa swali kuhusu CUF na serokali ya Mseto Zanzibar na profesa anajibu kwa ufasaha kabisa.
Tatizo lile lileee! Bila kuwataja chadema hawawezi kutoka.Profesa anafafanua chanzo cha kuunda Mseto na ajabu Freeman Mbowe alihusika na uhamasishaji wa kuunda Serikali ya mseto! Chadema mpo?
Tuambie amejibu nini. Kusema tu ufasaha haitoshi. Halafu unavyoripoti jitahidi kupunguza mahaba na ushabiki.
..kwanini Prof anawazungumzia wazanzibari.
..tuzungumzie wa-Tanganyika na dhuluma tunayo-endure ktk muungano huu.