Profesa Lipumba awapokea wanachama 50 kutoka ACT Wazalendo

Umeandika propaganda ya kipuuzi hapa, kwani Zitto akiwa mfalme wao muda wote alikuwa ngozi nyeupe?!

Hovyo kabisa. ACT kama tawi la CCM inaenda kujifia.
Walingia kwa dharura tu ili washirki uchaguzi mkuu
 
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, leo Jumapili Februari 20, 2022 ameongoza mapokezi ya wanachama takribani 50 wanaorejea kwenye Chama hicho akiwemo Masoud Hamad Masoud kutoka Chama Cha ACT- Wazalendo.

Masoud aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa ACT katika uchaguzi uliofanyika Januari 29, 2022 akishindana na Juma Haji Duni, amekihama chama hicho na kirejea CUF kwa madai ya kutokuridhishwa na mchakato wa uchaguzi.
Picha please
 
Kule zanzibar tu ni karibu ya asilimia 80% ya wazanzibari wote wanaopiga kura
Na usishangae hao 50 wameenda kusherehesha tu kwa style ya kula vijipesa walivyogaiwa na huyo bwankubwa aliyeukosa uwenyekiti
Vijipesa sma kwenda kufakamia ubwabwa
 
Wapemba waarabu wengi wataondoka ACT wazalendo

Kisa kikubwa chama kimeshikwa na watu ngozi nyeusi akina Duni haji na yule ngozi nyeusi makamu wa Raisi wa Zanzibar

Mpemba Mwarabu hapendi kuwa chini ya Mswahili ngozi nyeusi mtoto wa Mtumwa
Baada ya kifo cha Maalim Seif ilitakiwa wampe mpemba mwarabu ndipo roho za wapemba waarabu zingefurahi

Watahama wengi sana
Wacha ubaguzi kenge weeee
 
Hao walioko ACT wazalendo walimfuata Seif sasa hayupo wanatafuta pa kwenda kujipanga baada ya kuona ACT wazalendo viongozi wa juu wote kizazi cha watumwa ngozi Nyeusi kuanzia Zitto KABWE,Duni Haji na yule wa Zanzibar Makamu wa Raisi

Lipumba wanajua kajizeekea wanaendavkukirudisha CUF mikononi mwao wajipange kule upya ndiko pekee wanakokuona kuwa waweza jipanga kule fursa ipo
Watanganyika ujinga NI nature Yao na chuki dhidi ya wazanzibar
 
Hao walioko ACT wazalendo walimfuata Seif sasa hayupo wanatafuta pa kwenda kujipanga baada ya kuona ACT wazalendo viongozi wa juu wote kizazi cha watumwa ngozi Nyeusi kuanzia Zitto KABWE,Duni Haji na yule wa Zanzibar Makamu wa Raisi

Lipumba wanajua kajizeekea wanaendavkukirudisha CUF mikononi mwao wajipange kule upya ndiko pekee wanakokuona kuwa waweza jipanga kule fursa ipo
Kama ni hivyo,bora wangebaki ACT,huko ndiko kuna wenye asili ya weupe wengi.Hata Juma duni Haji,anakaribiana umri na Lipumba.
 
Wapemba waarabu wengi wataondoka ACT wazalendo

Kisa kikubwa chama kimeshikwa na watu ngozi nyeusi akina Duni haji na yule ngozi nyeusi makamu wa Raisi wa Zanzibar

Mpemba Mwarabu hapendi kuwa chini ya Mswahili ngozi nyeusi mtoto wa Mtumwa
Baada ya kifo cha Maalim Seif ilitakiwa wampe mpemba mwarabu ndipo roho za wapemba waarabu zingefurahi

Watahama wengi sana
Vijamaa vibaguzi sana..nasikia hata kwenye misikit haviswali kwenye misikiti inayoendeshwa na ngozi nyeusi..eti dua hazifiki kwa mnyazimungu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kama ni hivyo basi Chadema kazi yao kuuza viongozi mfano wabunge 19 wote mnasema wamenunuliwa na CCM ,haya Slaa ohh kafika bei,Mashinji ooh kafika bei,Lowasa ohh kafika bei nk ina maana Chadema ni gulio la kuuza
Rh
Conclussion basi Tanzania upinzani haupo sababu hakuna chama viongozi wake wengi hufika bei na kununulika kama Chadema
Hakuna mwanachadema aliyekwenda CCM bila kupewa kitu kidogo, wengi wao wamepewa vyeo wakiachwa wanaccm wa miaka mingi.
 
Kama ni hivyo basi Chadema kazi yao kuuza viongozi mfano wabunge 19 wote mnasema wamenunuliwa na CCM ,haya Slaa ohh kafika bei,Mashinji ooh kafika bei,Lowasa ohh kafika bei nk ina maana Chadema ni gulio la kuuza
Rh
Conclussion basi Tanzania upinzani haupo sababu hakuna chama viongozi wake wengi hufika bei na kununulika kama Chadema
basi huko uliko unajiona umeandika kwelikweli mwenyewe
 
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, leo Jumapili Februari 20, 2022 ameongoza mapokezi ya wanachama takribani 50 wanaorejea kwenye Chama hicho akiwemo Masoud Hamad Masoud kutoka Chama Cha ACT- Wazalendo.

Masoud aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa ACT katika uchaguzi uliofanyika Januari 29, 2022 akishindana na Juma Haji Duni, amekihama chama hicho na kirejea CUF kwa madai ya kutokuridhishwa na mchakato wa uchaguzi.
Apokee 50000 kabisaa, ila niwalewakukodi au was kimkakati kama ilivyo Kwa COVID 19🤔
 
Wapemba waarabu wengi wataondoka ACT wazalendo

Kisa kikubwa chama kimeshikwa na watu ngozi nyeusi akina Duni haji na yule ngozi nyeusi makamu wa Raisi wa Zanzibar

Mpemba Mwarabu hapendi kuwa chini ya Mswahili ngozi nyeusi mtoto wa Mtumwa
Baada ya kifo cha Maalim Seif ilitakiwa wampe mpemba mwarabu ndipo roho za wapemba waarabu zingefurahi

Watahama wengi sana
Kwani huyo Hamad Masoud ni mwarabu!
 
Back
Top Bottom