ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,450
- 2,577
Ata bara hana mfuasiHalafu kwa vitisho hivyo anategemea kupata wafuasi zanzibar
Ata bara hana mfuasiHalafu kwa vitisho hivyo anategemea kupata wafuasi zanzibar
Mwenyekiti wa Chama cha Cuf ndugu Profesa Lipumba amewapa onyo wale wote waliobadirisha matumizi ya Ofisi za Chama cha Cuf na kuwa za ACT.
Pia amewakumbusha kwamba ni makosa Kisheria kuchoma Bendera za Chama na kamwe wajiepushe na mukumbo wa ushawishi wa aina yeyote kwa kutenda uovu wa ama kuchoma ama kubadirisha Ofisi za Chama A kuwa za Chama B kinyume cha Sheria.
Amewapa ushauli wa kujitenga na akili za kuambiwa kwani mbele ya safari zitawaponza!
Sijaona chama cha siasa (upinzani) chenye malengo na hii nchi.Yatakayo jiri ACT ni kama Edo na CDM...
True my brother.Lipumba the traitor has no moral ground to teach Zanzibaris right and wrong.
Jamani hizo Ofisi watu walijitolea nyumba zao wala CUF haikuzijenga au kuzinunuaMwenyekiti wa Chama cha Cuf ndugu Profesa Lipumba amewapa onyo wale wote waliobadirisha matumizi ya Ofisi za Chama cha Cuf na kuwa za ACT.
Pia amewakumbusha kwamba ni makosa Kisheria kuchoma Bendera za Chama na kamwe wajiepushe na mukumbo wa ushawishi wa aina yeyote kwa kutenda uovu wa ama kuchoma ama kubadirisha Ofisi za Chama A kuwa za Chama B kinyume cha Sheria.
Amewapa ushauli wa kujitenga na akili za kuambiwa kwani mbele ya safari zitawaponza!
Le Profeseli hakufikiria hili la Maalim kuhamia ACT imekuja kama surprise sasa amepata Wenge,Kama anajiamini kabisa na Mambupu yake aende Zanzibar akaseme hilo.
Tangu alivyofanya upuuzi wake mie namwita Le Profeseli.Uzii huu unanikera pale tu watu wanapoendelea kumwita Professor ilihali yy hana hadhi hiyo. Mwiteni Li-pumba.
Maalim Self kapewa card number moja swali dogo tuu...Sijaona chama cha siasa (upinzani) chenye malengo na hii nchi.
Yaani kila chama kinafanya vituko, 2015 baada ya EL kufika tu na kupewa kitanda huku watoto wakitakiwa kulala jikoni nilijua kuna shida.
Mbele ni wapi kamanda...naona maruweruweAkafie mbele huko
Haijalishi..huyo ni halali na mwenyekiti wa chama vha CUFTangu alivyofanya upuuzi wake mie namwita Le Profeseli.
Ok.. na Maalim unamwitaje!!!Tangu alivyofanya upuuzi wake mie namwita Le Profeseli.
Bora hata hilo.Tangu alivyofanya upuuzi wake mie namwita Le Profeseli.
Majengo yanayobadilishwa ni majengo ya watu waliojitolea majengo yao yatumike kama ofisi za cuf,wanapoondoka wanaondoka na chakwao.
Labda Halali Njaa baada ya kupewa Bilioni 3 akaenda kuzitumbua Rwanda.Haijalishi..huyo ni halali na mwenyekiti wa chama vha CUF