King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,670
- 68,630
Ni Maalim meaning Mwalimu ni kama Late Mwalimu Julius K. Nyerere.Ok.. na Maalim unamwitaje!!!
Ni Maalim meaning Mwalimu ni kama Late Mwalimu Julius K. Nyerere.Ok.. na Maalim unamwitaje!!!
Hana hadhi ya kuitwa Professor,huyo LiPumba ni Le Profeseli.Bora hata hilo.
wewe jamaa bado unamuona huyo prof aiseeeWaache wadharau kawaida ya wabongo n dharau halafu wakiwekwa ndani wakikosa dhamana wanaanza kupiga kelele...Acha waendelee na akili za kushikiwa wachome bendera moto,nk Wambie Prof ili wasije sema hukuwambia
Hakutarajia huu mchezo utaendelea hadi uku,hahahahaha profesa kaanza kudata kuona wafuasi wana kula winga
Huyu lipumba bado anawaza cuf ipo znz? Cuf ndio ishakufa znz hata ofisi ikiwepo itakuwa haina jazi. Prof sijui kama alipata usingizi tangu seif ahamie act. Dah pole sana lipumbaMwenyekiti wa Chama cha Cuf ndugu Profesa Lipumba amewapa onyo wale wote waliobadirisha matumizi ya Ofisi za Chama cha Cuf na kuwa za ACT.
Pia amewakumbusha kwamba ni makosa Kisheria kuchoma Bendera za Chama na kamwe wajiepushe na mukumbo wa ushawishi wa aina yeyote kwa kutenda uovu wa ama kuchoma ama kubadirisha Ofisi za Chama A kuwa za Chama B kinyume cha Sheria.
Amewapa ushauli wa kujitenga na akili za kuambiwa kwani mbele ya safari zitawaponza!
Wewe unasemaje, mimi nilikuwa mwanachama wa cuf, nikatoa nyumba yangu kwa ridhaa yangu pasipo malipo yoyote, iwe ofisi, leo na mimi nimehamia ACT, nyumba yangu nitamuachia muhuni yule? Na ndio ilivyo hivyoWaache wadharau kawaida ya wabongo n dharau halafu wakiwekwa ndani wakikosa dhamana wanaanza kupiga kelele...Acha waendelee na akili za kushikiwa wachome bendera moto,nk Wambie Prof ili wasije sema hukuwambia
Nakubali nyumba umeshinda vipi kuhusu Bendera nazo pia Ulizitoa wewe??Wewe unasemaje, mimi nilikuwa mwanachama wa cuf, nikatoa nyumba yangu kwa ridhaa yangu pasipo malipo yoyote, iwe ofisi, leo na mimi nimehamia ACT, nyumba yangu nitamuachia muhuni yule? Na ndio ilivyo hivyo
Waache wadharau kawaida ya wabongo n dharau halafu wakiwekwa ndani wakikosa dhamana wanaanza kupiga kelele...Acha waendelee na akili za kushikiwa wachome bendera moto,nk Wambie Prof ili wasije sema hukuwambia
Hakuna mjinga tu anayeweza kutoka nyumbani kwake na kubadili rangi ya jengo ambalo ni mali ya chama....
Ukiona anafanya hivyo, elewa kuwa ni mali yake na maana yake ni kuwa hana mkataba tena na CUF na hakuna sheria ya kumlazimisha awe na mkataba nayo....!!
Kwa ishu ya kuchoma bendera, ingalau hilo ni kosa maana ni kweli hiyo ni mali ya chama.....
Lakini, huko Zanzibar kwani hakuna polisi wa kuwatia ndani wahalifu hao (kama ni kweli wanachoma bendera) mpaka Lipumba awaambie kuchukua hatua?
Wachukue hatua haraka!!.... What are they waiting for?
Usikute bendera zimekusanywa usiku kwa usiku na kwenda kuchomwa moto barabarani ama majalalani pasipo hata aliyezichoma kujulikana....!!
siku zote mchawi ndio mtu anayelia sana kwenye msiba aliouleta mwenyewe kumbe mnafiki tuNaona Lipumba amepata hadi wasemaji toka Lumumba. Kaazi kweli kweli
Anazo nyaraka zozote kuhusiana na mali hizo ?Mwenyekiti wa Chama cha Cuf ndugu Profesa Lipumba amewapa onyo wale wote waliobadirisha matumizi ya Ofisi za Chama cha Cuf na kuwa za ACT.
Pia amewakumbusha kwamba ni makosa Kisheria kuchoma Bendera za Chama na kamwe wajiepushe na mukumbo wa ushawishi wa aina yeyote kwa kutenda uovu wa ama kuchoma ama kubadirisha Ofisi za Chama A kuwa za Chama B kinyume cha Sheria.
Amewapa ushauli wa kujitenga na akili za kuambiwa kwani mbele ya safari zitawaponza!
Aende akasemee Zanzibar! Utamponza mwenzako.Aende akasemee Zanzibar sio huko Buguruni,Ofisi zote znz zinabadilishwa zinaenda ACT kama anataka ofisi znz akafungue zake.
Haiwez kuwa hivo ACT ni mtoto wa ccm.Zzt na prof. watafanya siasa zao bila kubugudhiwaYatakayo jiri ACT ni kama Edo na CDM...
mbendembende mwango wa mende pwaaaa!!!!!CUF kwisha kabisa
mtendeni ni mali ya cufMajengo yanayobadilishwa ni majengo ya watu waliojitolea majengo yao yatumike kama ofisi za cuf,wanapoondoka wanaondoka na chakwao.