Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,431
Profesa bila ya kuwa na Mke ni sawa na form four failureNimecheka sana. Mtu mwenye hadhi ya profesa. $$$$$$$ it. It sucks.
Profesa bila ya kuwa na Mke ni sawa na form four failureNimecheka sana. Mtu mwenye hadhi ya profesa. $$$$$$$ it. It sucks.
Pro-pesa *Li-Pumba*Pro-pesa Lipumba!...

Linasadifu tabia yake jina huwa lina maana kubwa sana katika maisha ya mtu, hata uwe na PHD kama una jina la hovyo utaonekana tu wewe ni Li- pumba-vuPro-pesa *Li-Pumba*
Jaman haka kajina nako cjui kakoje![]()
Kha......!!!!!!!!Linasadifu tabia yake jina huwa lina maana kubwa sana katika maisha ya mtu, hata uwe na PHD utaonekana tu wewe ni Li- pumba-vu

Kabisa mkuu... mfano mtu huyu angekuwa mhadhiri chuo fulan angekua anafundsha nn kulePia kingine cha kujifunza, kwa nchi yetu hii hata usome vipi ukiingia kwenye siasa kuna wengine wanakuwa afadhali STD 7, sema tu zile tittle zinazotangulia ndo zinawatambulisha kama wasomi (Dr, Professor, Mwalimu)
Tatizo lako ni kuchanganya uwezo binafsi wa mtu (whether from chama tawala or opposition) na institution aliko...Hapa ndio kwa kujifunza... kua upinzani tz bado sana, hivi angekua rais miaka kumi ikapita angeachia uyu?
Duh jamaa ananyatia kama mwizi
Yule ni top leader... anaonesha namna gani wenzie walivoTatizo lako ni kuchanganya uwezo binafsi wa mtu (whether from chama tawala or opposition) na institution aliko...
Kuna mwanafalsafa mmoja ndo anasema hivi. "If you want to get rich/ wealth without working on it at all, join African politics". Ndo maana unawaona akina Le Professeur Lipumba wanang'ang'ania kubaki huko.Pia kingine cha kujifunza, kwa nchi yetu hii hata usome vipi ukiingia kwenye siasa kuna wengine wanakuwa afadhali STD 7, sema tu zile tittle zinazotangulia ndo zinawatambulisha kama wasomi (Dr, Professor, Mwalimu)
Wewe vipi!huyu ni professor wa uchumi katika nchi za maziwa makuu.Huyu jamaa ni professor wa vitini na unafiki,
Professor gan asiyechanganua mambo, huyu jamaa ni wa kupuuzwa