Kama unadhani dola iliumbiwa CCM nakusihi usome nyakati. Hakuna dola iliyowahi kudumu milele yote
Hiyo DOLA ya kukabidhiwa CHADEMA bado haijaexist!
Hiyo DOLA ya kukabidhiwa CHADEMA bado haijaexist!
Akili yako kama Msala wa makuti.Hiyo DOLA ya kukabidhiwa CHADEMA bado haijaexist!
Hiyo DOLA ya kukabidhiwa CHADEMA bado haijaexist!
Kwani magamba huwa mnakiri ukweli? Wajuuzi wa mambo wanajua CDM mwakani inatimba magogoni.
"Hivi sasa Watanzania wanajiandaa kukikabidhi CHADEMA dola, ni wakati mzuri wa viongozi kufikiria maisha ya chama kwanza na baadaye ukweli wa mambo utajulikana," amesema.
source: wavuti.com
Mjumbe wa Kamati Kuu ya chadema, Profesa Mwesiga Baregu, amesema viongozi wa chama hicho wanapaswa kulinda kauli zao ili kuepuka mvuragano unaoweza kutokea wakati huu.
Wakati huu ambao chama kimekuwa na mambo mengi, nawasihi viongozi kuchunga kauli zao ili kuepuka matatizo ambayo yanaweza kujitokeza.
Nimekuwa msuluhishi ndani ya chama, nakwambia ndani ya chama haiwezekani fikra moja ikaendelea kudumu, kwa msingi huo lazima watu watofautiane mtazamo, si kila jambo kupinga.
Katika hali hii, msimamo wangu ni kwamba changamoto inayotukabili tupunguze makali ya maamuzi, kwa sababu Watanzania wengi wanakitegemea chama hiki.
Hivi sasa Watanzania wanajiandaa kukikabidhi CHADEMA dola, ni wakati mzuri wa viongozi kufikiria maisha ya chama kwanza na baadaye ukweli wa mambo utajulikana, amesema.
source: wavuti.com
Prof Baregu huwa anajitambua. Ni mtu makini sana na muhimu.
Ni kweli prof,CHADEMA ndio tumaini la watanzania
Hiyo DOLA ya kukabidhiwa CHADEMA bado haijaexist!
Nakubaliana na wewe kwamba TZ kweli hakuna mbadala wa ccm kwa hoja moja kwamba unaposema mbadala una maanisha kwamba ikiondoka CCM KIINGIE chama kingine kinachofanana na CCM????????.Mheshimiwa ni kwamba sisi WATANZANIA hatuhitaji mbadala wa CCM kama ilivyokuwa CCM Kwa TANU ila tunahitaji chama TOFAUTI kabisa na CCM, Chenye maono tofauti na ccm,chenye dhamira tofauti na ccm na chenye uwezo wa kuitoa TANZANIA kwenye lindi la umasiki uliosababishwa na CCM na kutupeleka kwenye neema ambayo MUNGU alitaka tuiishi.Hatuhitaji chama mbadala wa CCM.Prof. Baregu pamoja kuwa nakuheshimu sana kwenye ili nakupinga tanzania hakuna chama mbadala wa CCM.
Wewe hii nchi sasa ipo chini majangili na wauza unga!!! majangili na wafuasi wao kama huyu wanapigana kufa na kupona kumaliza raslimali au kusaliti wenye nia njema kama CDM!! halafu kuna muuza unga mmoja hapo juu anadai prof hajui maana ya dola!! Ana haki maana dola haipo tena baada mafia wa CCM kuigeuza kichaka cha kupora! shame on you!!PROF. CHADEMA bado kukabidhiwa ola coz haina watuwa kuongoza/kiti mchzesha disco -DJ. katibu mkuu PADRI mzinzi hana ndoa, mwana sharia Tundu chizi refer dr kigwangaa. Kwa hiyo Prof endelea kukilea chama bado kina sima dede
Hivi hapo Profesa alikuwa anamaanisha nini? kwa aliyemwelewa naomba ufafanuzi tafadhali.
tupunguze makali ya maamuzi, .
Hiv ndugu yangu msalani, mama aliekuzaa anajisikiaje kulizaa litoto kama wewe.? Badilika bana, maana umejiita msalani humu JF umekuwa kama msalani kabisa.
Labda wakabidhiwe dola za zimbabwe
Cdm bado sanaa!
Hao viongozi watakuwa wamekudanganya.Tatizo hujui hata nini kinacho endelea CCM! Wengine tunaishi na kujadiliana na baadhi ya viongozi wako kwa faragha. Wanayo yasema pembeni ni tofauti kabisa na sura wanayo onesha hadharani. Bila madaraka ya dola hakuna CCM! Watu wajezana huko kwasababu ya kupata madaraka na pesa,si mapenzi ya chama wala taifa lao.