aminangalo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 974
- 190
R.I.p chadema
Nimekuwa msuluhishi ndani ya chama, nakwambia ndani ya chama haiwezekani fikra moja ikaendelea kudumu, kwa msingi huo lazima watu watofautiane mtazamo, si kila jambo kupinga.
Matumaini ya wanachadema hayatapotea.. kamwe
Asante sana Professa
Nimekuwa msuluhishi ndani ya chama, nakwambia ndani ya chama haiwezekani fikra moja ikaendelea kudumu, kwa msingi huo lazima watu watofautiane mtazamo, si kila jambo kupinga.
Dola feki watapata
Prof. Baregu pamoja kuwa nakuheshimu sana kwenye ili nakupinga tanzania hakuna chama mbadala wa CCM.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya chadema, Profesa Mwesiga Baregu, amesema viongozi wa chama hicho wanapaswa kulinda kauli zao ili kuepuka mvuragano unaoweza kutokea wakati huu.
Wakati huu ambao chama kimekuwa na mambo mengi, nawasihi viongozi kuchunga kauli zao ili kuepuka matatizo ambayo yanaweza kujitokeza.
Nimekuwa msuluhishi ndani ya chama, nakwambia ndani ya chama haiwezekani fikra moja ikaendelea kudumu, kwa msingi huo lazima watu watofautiane mtazamo, si kila jambo kupinga.
Katika hali hii, msimamo wangu ni kwamba changamoto inayotukabili tupunguze makali ya maamuzi, kwa sababu Watanzania wengi wanakitegemea chama hiki.
Hivi sasa Watanzania wanajiandaa kukikabidhi CHADEMA dola, ni wakati mzuri wa viongozi kufikiria maisha ya chama kwanza na baadaye ukweli wa mambo utajulikana, amesema.
source: wavuti.com
Touch-Log Out
Forum-New Posts-Settings-Search
->-Forum->-General Forums->-Jukwaa la Siasa
Topic:-nape wa ccm ni sawa na zito wa chadema
longinos-12:00 Today-
Ukifuatilia siasa za hawa dogo zinafanana, nape alipoleta ukorofi kuhusu jengo la uvcccm alijifanya ni mpambanaji, mtetezi wa vijana nakujifanya ccm anaijuwa kuliko akina EL eti kwa sababu baba yake alikuwa kwaya masta wa ccm(kama komba)kilichompa nafasi moses nnauye ni kuimba si weledi wa siasa.Nepi aliporudishwa kundini na jakaya alirudi na kauli mbiu KUFUKUZA MAGAMBA NDANI SIKU 90 naamini ni siku 90000.Kinachojitokeza ni kunenepeana kwa Nepi bila majibu ya siki 90.
Zito nae kaja na gear hiyo hiyo, nilijiunga cdm nikiwa na miaka16 so what oh wengine wametoka ccm wanajifanya wanakijua chama, hizi ni kauli na kijuha ambazo hazina mshiko sijui zito alitaka watu watokee mwandiga au kwa ndugu zake wa asili Bujumbura? Kama unakipeleka chama mahakamani unategemea huruma gani kwa wana cdm? Tamaa na kutaka sifa ndiko kunakowasumbua waili hawa na hawatafika popote kisiasz maana WANAFIKI walilaaniwa hata kwenye vitabu vya dini mwisho wa zito na nape 2015 sababu Kikwete akitoka Nepi inabini akajiunge na Frelimo ya msumbiji na MM Zito mahakama itakulinnda mpaka 2015 baada ya hapo utatupwa chali,
Kwani magamba huwa mnakiri ukweli? Wajuuzi wa mambo wanajua CDM mwakani inatimba magogoni.
Hiyo DOLA ya kukabidhiwa CHADEMA bado haijaexist!
hiyo dola ya kukabidhiwa chadema bado haijaexist!
Hiyo DOLA ya kukabidhiwa CHADEMA bado haijaexist!