kunguru2016
JF-Expert Member
- Aug 4, 2016
- 299
- 245
Sasa we we mbona unawashwawashwa ungekuwa we we ndio upon kwenye nafasi yake usingefanya hivyo???? Mbali na hayo tumeona waziri wa ujenzi akijinunulia nyumba tens mpaka mahawara wamenunuliwa. Mwisho kabisa hili jambo ni kwanini ulilete Leo wakati ni la muda mrefuuuu???? Umeona mini??
Zipo nyumbani kwako mkuu!
We mwehu soma hapa.Acha upuuzi wako wewe! Tuletee kifungu kinachoonyesha kwamba wajumbe wa Board ya NSSF walikuwa hawaruhusiwi kununua nyumba hizo ambazo zilikuwa zinauzwa.
Profesa Assad akiwa mjumbe wa Bodi ya NSSF miaka michache iliyopita na tena akiwa ni mjumbe kwenye kamati ya Bodi ya uwekezaji ya NSSF(MIC) alijinufaisha katika kununua nyumba za NSSF huko Tanga bila kujali conflict of interest.
Nyumba hizo zilizouzwa pia kuna Mkurugenzi mmoja wa NSSF, Bwana Kidula ambaye nae alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tenda ya Menejiment ya NSSF naye alijitwalia nyumba kadhaa za Tanga na Dodoma.
Katika kipindi cha Dau NSSF, mauzo ya nyumba yalifanyika kwa upendeleo mkubwa ili watu wake wazinunue. Mfano nyumba za Kijichi zilipata wateja wengi ila waliambiwa zimeisha kumbe ni uongo ili ziweze kugawiwa jamaa zake kupitia majina ya wake zao na jamaa zao.
Kwa mfano kuna mtoto wa profesa Mlawa (rafiki wa dau) ambaye yuko NSSF alijipatia hizo nyumba kwa usiri mkubwa. Zoezi la kuwauzia nyumba wafanyakazi wa NSSF lilifanyika kwa ubaguzi maana wale makafiri au wagalatia kama walivyokuwa wanaitwa na wenzao( wakati huo) walifichwa kuhusu uuzaji huo.
Hayo yote aliyajua Prof Assad lakini hakuchukua hatua zozote tena zaidi alikuwa Mwenyekiti wa BOARD YA AUDIT COMMITEE.
Huyo ndo Assad ambaye anataka sasa kufanya kazi zake kwa weledi mkubwa akisahau wakati wa Dau NSSF ilikuwa na madudu ya kufa mtu.
Mkuu pumba hapo ni ipi, labda utusaidie alikokosea maana ni kosa mtu aliye na conflict of interest ku own asset ktk organization anayosimamia tena akiwa mteule wa serikali ku oversee interest za serikali mahali hapo.
Naunga mkono hoja lkn kuitwa na spika siungi mkono. Ni huyu professel ni mdini Sana tena wale wagalatia wanawaita makafili kinakera Sana kitendo hicho yy na dau lao mojaProfesa Assad akiwa mjumbe wa Bodi ya NSSF miaka michache iliyopita na tena akiwa ni mjumbe kwenye kamati ya Bodi ya uwekezaji ya NSSF(MIC) alijinufaisha katika kununua nyumba za NSSF huko Tanga bila kujali conflict of interest.
Nyumba hizo zilizouzwa pia kuna Mkurugenzi mmoja wa NSSF, Bwana Kidula ambaye nae alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tenda ya Menejiment ya NSSF naye alijitwalia nyumba kadhaa za Tanga na Dodoma.
Katika kipindi cha Dau NSSF, mauzo ya nyumba yalifanyika kwa upendeleo mkubwa ili watu wake wazinunue. Mfano nyumba za Kijichi zilipata wateja wengi ila waliambiwa zimeisha kumbe ni uongo ili ziweze kugawiwa jamaa zake kupitia majina ya wake zao na jamaa zao.
Kwa mfano kuna mtoto wa profesa Mlawa (rafiki wa dau) ambaye yuko NSSF alijipatia hizo nyumba kwa usiri mkubwa. Zoezi la kuwauzia nyumba wafanyakazi wa NSSF lilifanyika kwa ubaguzi maana wale makafiri au wagalatia kama walivyokuwa wanaitwa na wenzao( wakati huo) walifichwa kuhusu uuzaji huo.
Hayo yote aliyajua Prof Assad lakini hakuchukua hatua zozote tena zaidi alikuwa Mwenyekiti wa BOARD YA AUDIT COMMITEE.
Huyo ndo Assad ambaye anataka sasa kufanya kazi zake kwa weledi mkubwa akisahau wakati wa Dau NSSF ilikuwa na madudu ya kufa mtu.
Na tukiongelea swala la nyumba tutaenda kumgusa hadi aliye kuwa boss wa boss wa sasa hivi ndugu SumayiNaona wajumbe wa kamati ya maadili ya bunge mmeanza kuvujisha maswali ya Profesa Assad siku hiyo ya wito.
Ni hivi, hilo suala la nyumba za umma linaanza na mkuu wa nchi na wala hutajasahau kwa hivyo, na hili haliondoi ukweli kuwa bunge ni dhaifu fullstop.
Vichwa vya familia yenu katika kufikiri nisawasawa na⅛ ya akili ya prof Assad
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena wakiendelea kuropoka tutafumua hata yale ambayo hawakuwahi kusikia .Naona wajumbe wa kamati ya maadili ya bunge mmeanza kuvujisha maswali ya Profesa Assad siku hiyo ya wito.
Ni hivi, hilo suala la nyumba za umma linaanza na mkuu wa nchi na wala hutajasahau kwa hivyo, na hili haliondoi ukweli kuwa bunge ni dhaifu fullstop.
Mnaanza sasa kufukua makaburi ... mmejiandaa na mtakayo yakuta huko?/1Tunaomba uchunguzi ufanyike ktk hilo ili kumsafisha na tuhuma hiyo.Kama kweli alishiriki kununua nyumba akiwa mjumbe wa board nssf basi awajibishwe.