All truth23
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 1,217
- 1,397
Bibi Fei hawezi kukuelewaWaziri na Mbunge mstaafu mh Anna Tibaijuka amewashukuru Maaskofu wa Kanisa Katoliki kwa kusimama Imara kwenye mkataba wa Bandari
Prof Tibaijuka amesema hakuna Udini Kwenye mkataba wa Bandari kwani Viongozi hawakuambatana na Mashehe wala Maaskofu walipoenda Dubai kutia Saini
Amesema Anna kwenye ukurasa wake wa twitter
Kwako FaizaFoxy