Prof. Tibaijuka ashauri wabunge wasiwe Mawaziri!

Prof. Tibaijuka ashauri wabunge wasiwe Mawaziri!

batazoba

Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
58
Reaction score
29
Aliyekuwa waziri wa ardhi na makazi wa Tanzania mh. Anna Tibaijuka anaitaka serikali kubadirisha utaratibu wa mbunge kutokuwa waziri ili wabunge waweze kuwahudumia wapiga kura wao badala ya kutumia muda mwingi kufanya kazi za serikali.

Wadau kama sio uchizi ni nn hiki au ndio kapagawa baada ya kufutwa kwake?

Hilo lilikuwemo ktk rasimu ya katiba mpya kwa wingi wao CCM wote walilipinga sasa imekuwaje baada ya kutolewa alione ni suala la msingi,hiyo inaonyesha kuwa CCM wengi wameburuzwa kumbe wana matakwa yao binafsi na sio kufuata matakwa ya chama hata kama huridhii.

Aliyekuwa Waziri wa Nyumba, Ardhi na Maendeleo ya Makazi Prof Anna Tibaijuka ameibuka na kusema Mbunge anapokuwa Waziri kama ilivyo sasa, anakuwa anafanya kazi za kuitetea Serikali badala ya kuisimamia.

Mbunge huyo wa jimbo la Muleta Kusini amesema pia anakosa nafasi ya kuwatumikia ipasavyo wananchi wa jimbo lake ambao ndio wamemchagua kuwasilisha matatizo yao Serikalini kwa ajili ya utatuzi.

Prof Tibaijuka ameibuka baada ya kuvuliwa wadhifa wake wa uwaziri na Rais Jakaya Kikwete kufuatia kupokea Bil 1.6 kutoka kwa James Rugemalira kinyume na masharti ya maadili kuhusu zawadi kwa mtumishi wa UMMA.

Prof Tibaijuka amesema sasa amerudi jimboni kwake Muleba Kusini kuwatumikia Wananchi. Amesema moja ya changamoto ambayo alikumbana nayo alipokuwa Waziri ni kuwa hakupata muda wa kutosha kuwatumikia Wananchi wa jimbo lake.

Muda mwingi alikuwa analazimika kufanya shughuli za Serikali badala ya kuisimamia Serikali ili itekeleze mahitaji ya wananchi wa jimbo lake kwa wakati. Hivyo kwa kuwa sasa yeye sio Waziri tena, basi anao muda wa kutosha kutatua kero za wananchi.

Ikumbukwe jambo hili la Mawaziri wasitokane na Wabunge lilipendekezwa kwenye rasimu ya pili ya katiba iliyokuwa imewasilishwa bungeni na iliyokuwa tume ya Katiba chini ya aliyekuwa Mwenyekiti wake Jaji Joseph Warioba.

Hata hivyo jambo hilo lilipingwa na bunge la katiba, na wengi waliopinga pendekezo hilo ni wabunge wa Chama cha Mapinduzi akiwemo Prof Anna Tibaijuka.

Sasa ni jambo la kushangaza kumuona Prof Tibaijuka leo anatoa kauli hiyo wakati alipokuwa kwenye bunge la katiba hakusema chochote na alipiga kura ya ndio vipengele vyote vya katiba iliyopendekezwa.
 
....ccm wanalijua sana hilo bali hawakubali kwakuwa wantaka vyote ubunge na uwaziri(uroho wa madaraka) pili serikali inajua kwa staili hii itakuwa automatically imejiunganisha na bunge so watakuwa hawaiwajibishi ipasavyo kwa kuhofia kukosa uwaziri. maccm majinga sana sikuzote yanawaza tumbo tu....
 
Huyo Mama Tiba muhurumieni jama kwani bado ana ile 'hungover' ya kutimuliwa Uwaziri...Wazungu wansema 'she is still in state of shock' na pengine anayo yazungumza hayajui wala hayatambui🙂

Hii inaonyesha jinsi gani watu wanavyo shindwa kutambua sheria za utumishi wa umma ya kuwa 'cheo ni dhamana..." Mama anaonyesha ameumia sana na kuna kila dalili kuwa na yeye ameamua kupambana (retaliate) maamuzi ya bosi wake yaani waswahili wanasema (wamemwaga kitoweo/mboga acha na yeye amwage ugali🙂 na 'liwalo na liwe"...Alianza mtoto mtu juzi sasa mama anaingia ulingoni🙂
 
Sifa mojawapo ya mchumia tumbo ni hubadilikabadilika kutokana na tumbo linakoelekea, TUACHANE NAYE KAMA JK ALIVYOACHANA NAYE.
 
Hakuna shock wa la nini kwa Mwizi, unapokea rushwa na kutimuliwa VINGINEVYO ALIDHANI RUSHWA NI MCHEZO
 
Aliyekuwa waziri wa ardhi na makazi wa tanzania mh anna tibaijuka anaitaka serikali kubadirisha utaratibu wa mbunge kutokuwa waziri ili wabunge waweze kuwahudumia wapiga kura wao badala ya kutumia muda mwingi kufanya kazi za serikali.
Wadau kama sio uchizi ni nn hiki au ndio kapagawa baada ya kufutwa kwake?
Hilo lilikuwemo ktk rasimu ya katiba mpya kwa wingi wao ccm wote walilipinga sasa imekuwaje baada ya kutolewa alione ni suala la msingi,hiyo inaonyesha kuwa ccm wengi wameburuzwa kumbe wana matakwa yao binafsi na sio kufuata matakwa ya chama hata kama huridhii.

Sizitaki MBICHI hizi?
 
Huyo anaongea tu kwa sababu chu.pi imelowana

Aliyekuwa waziri wa ardhi na makazi wa tanzania mh anna tibaijuka anaitaka serikali kubadirisha utaratibu wa mbunge kutokuwa waziri ili wabunge waweze kuwahudumia wapiga kura wao badala ya kutumia muda mwingi kufanya kazi za serikali.

Wadau kama sio uchizi ni nn hiki au ndio kapagawa baada ya kufutwa kwake?

Hilo lilikuwemo ktk rasimu ya katiba mpya kwa wingi wao ccm wote walilipinga sasa imekuwaje baada ya kutolewa alione ni suala la msingi,hiyo inaonyesha kuwa ccm wengi wameburuzwa kumbe wana matakwa yao binafsi na sio kufuata matakwa ya chama hata kama huridhii.
 
Umenena mkuu. Ni vyema akahurumiwa. Maana anatoa ushu.zi mdomoni

Huyo Mama Tiba muhurumieni jama kwani bado ana ile 'hungover' ya kutimuliwa Uwaziri...
Wazungu wansema 'she is still in state of shock' na pengine anayo yazungumza hayajui wala hayatambui🙂

Hili ndo hasa linalomsumbua. Kachanganyikiwa.

Hii inaonyesha jinsi gani watu wanavyo shindwa kutambua sheria za utumishi wa umma ya kuwa 'cheo ni dhamana..." Mama anaonyesha ameumia sana na kuna kila dalili kuwa na yeye ameamua kupambana (retaliate) maamuzi ya bosi wake yaani waswahili wanasema (wamemwaga kitoweo/mboga acha na yeye amwage ugali🙂 na 'liwalo na liwe"...Alianza mtoto mtu juzi sasa mama anaingia ulingoni🙂
 
Unawezakuona ni kwakiasi gani watu wa SIASA wanavyowafanya watu wasio jitambua km maPUNGUANI huyu na maGAMBA wenzie sindio walikuwa wanatoka miPOVU Bungeni kukataa mapendekezo ya WARIOBA leo anaongea uPUMBAVU sababu kapigwa chini....!
 
Ha ha ha maCCM yakiwa kwenye system yanakuwa vipofu yakitimliwa kwenye system yanajifanya Yana nacho ya kuona.
 
Aliyekuwa waziri wa ardhi na makazi wa tanzania mh anna tibaijuka anaitaka serikali kubadirisha utaratibu wa mbunge kutokuwa waziri ili wabunge waweze kuwahudumia wapiga kura wao badala ya kutumia muda mwingi kufanya kazi za serikali.

Wadau kama sio uchizi ni nn hiki au ndio kapagawa baada ya kufutwa kwake?

Hilo lilikuwemo ktk rasimu ya katiba mpya kwa wingi wao ccm wote walilipinga sasa imekuwaje baada ya kutolewa alione ni suala la msingi,hiyo inaonyesha kuwa ccm wengi wameburuzwa kumbe wana matakwa yao binafsi na sio kufuata matakwa ya chama hata kama huridhii.

No No Prof Tibaijuka huku ni kujidhalilisha kwa hali ya juu!

Ulikuwa na all time and opportunity you can imagine in this world kuyasema haya kwenye BMK. Lakini wewe na ma-CCM wenzako mkaikataa rasimu ya Warioba iliyokuwa imependekeza mawaziri wasiwe wabunge!

Ndiyo maana watanzania wanaona CCM kama a MENTAL DISEASE, Once you're in CCM you can't think properly, STD VII. Lusinde na wewe Professor mnakuwa same level of thinking.

But you still have only one chance, if you real believe on currently what you're talking.

Wahamasishe wananchi wako wa Jimbo la Muleba waikatae katiba pendekezwa inayotaka mawaziri wawe wabunge. The ball is in your court honorable Prof Tibaijuka
 
Aliyekuwa waziri wa ardhi na makazi wa tanzania mh anna tibaijuka anaitaka serikali kubadirisha utaratibu wa mbunge kutokuwa waziri ili wabunge waweze kuwahudumia wapiga kura wao badala ya kutumia muda mwingi kufanya kazi za serikali.

Wadau kama sio uchizi ni nn hiki au ndio kapagawa baada ya kufutwa kwake?

Hilo lilikuwemo ktk rasimu ya katiba mpya kwa wingi wao ccm wote walilipinga sasa imekuwaje baada ya kutolewa alione ni suala la msingi,hiyo inaonyesha kuwa ccm wengi wameburuzwa kumbe wana matakwa yao binafsi na sio kufuata matakwa ya chama hata kama huridhii.

Ndumila kiwili....
 
Kwa hili nitamsaidia Prof Tiba. Kwenye bunge la katiba, wakati akichangia aliunga mkono hoja ya mawaziri kutokuwa wabunge. Nilimsikia mwenyewe
 
Ni yale yale ya sizitaki mbichi hizi. Huyu ajuza hana pumzi akalale tu, ni miongoni mwa wanaCCM waloliokubali kushikiwa akili wakati wa BMK wakayafuta maoni yetu na kuleta Ilani ya uchaguzi ya CCM 2015 wakiita "Katiba pendekezwa" ImageUploadedByJamiiForums1419574855.987072.jpg , leo hii baada ya kubinuliwa anakuja mbio kula matapishi? Mgonjwa kweli huyu bibi!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Back
Top Bottom