Prof. Sospeter Muhongo's latest CV

Chief, with that kind of a CV, he should be a one man army within the ministry and the gas/oil/minerals sector.
Yes, he needs support, but again with that kind of a CV, support comes automatically due to the work that the don does.
Anatia nguvu na hamasa kwamba at last Wizara imepata mtu.
 
Kwa CV ya profesa naamini anawza fanya kazi popote duniani, akiogopa kutenda yaliyo mema yampasayo kutenda basi itakuwa ni ajabu. Lakini Mungu wetu yu pamoja nae naamini hatamuangusha.
 
Kuwa na CV kubwa ni jambo moja na kutenda kadiri ya CV ni kitu kingine tofauti. Ningefurahi kama angeitumia kuinasua Tz ktk ujinga huu!!!!
 



s.muhongo@bol.co.tz
-kama ni hivyo hapo kwenye red,inaonekana CV yake kajiandikia mwenyewe.hata hivyo tunampongeza kuwa na CV nzito namna hii na tungependa utendaji wake uende sambaba na hadhi yake ya ki-prof.
 
Mzee kwa taarifa yako, kama uliwahi kusoma kitu inaitwa "Maslow's Hierachy of Neesds", (of course you can google it as well), zipo tano na ya juu kabisa kupita zote inaitwa "Self Esteem". Huyu ameshafikia hapo na hahitaji chochote kile zaidi ya "urge" na "good faith", ya kufanya kazi. Kwa mfano, mhakikishie kuwa atakula, atalala, anaweza kukufanyia kazi bila hata kumlipa mshahara! Wapo watu wa namna hii, and is just one of them!

I am not sure if this can be true.Naelewa kabisa kazi za nje ya nchi mara nyingi sana zinatumia muda wa mtu kupita kiasi na income aipatayo interms of cash inakatwa kodi kubwa so kama hakuweza ku-invest hapa nchini kuna taabu kidogo kwani pension scheme yetu ni mbovu ajabu.

So unaweza shangaa kwa sasa Prof. atapata mawazo sana ya jinsi ya ku-sustain life yake after office.

Angekuwa nafasi ya PM ama Rais basi hapo tungeshuhudia maajabu kwani angekuwa amebakiwa na self actualization tu.

Simfahamu vizuri undani wake lakini kama yuko kama wengine wa calibre yake ninaowafahamu ambao wamerudi sasa nchini wakiwa na CV nzito nzito lakini mfukoni ndo kama wanaanza nursary basi shida ni kubwa mno!
 
C.V is meaningless if he can not touch people's lives.Anatakiwa kupiga mzigo kupunguza wizi wa rasilimali za madini unaofanywa na wezi wanaojiita wawekezaji
 
Tukimpa ushirikiano atatusaidia sana watanzania huyu mtu. CV yake inatisha. anatakiwa apate ushirikiano wetu ili atembeapo ajue kuna watanzania maskini milioni 39 nyuma yake wanaotamani wakombolewe kutokana na shida zakimfumo uliojengeka ndani ya sekta nyeti anayoiongoza.
Mkuu CV ya huyu Prof ni nzito lakini kwa mfumo tulionao wa hawa magumashi cam Govnt sijui kama ataweza kuachive lolote zaidi zaidi ni kupapasa tu mipango ya kawaida lakini kubadili mwelekeo kwa nia ya kuleta maendeleo ya kweli sijui!!! Maana ni kuvuruga supu ya wakubwa, nasikia wameisha anza kumjadili amekanyaga nyanya za watu!!! Wapenda maendeleo ya nchi yetu tumuombee kwa kipindi hiki azidi kupambana !!!
Tunamshauri Prof aende pole pole, yeye ni kijana na muda anao mwingi tuu ili wakati muafaka aweze kutumikia watanzania kwa ukamilifu!!!
 
Kama vile mafuta yanavyojitenga kutoka kwenye maji; Prof. Muhongo CV yake ni nzuri na sasa tunampa moyo aendelee kujitenga na mafisadi wanaohujumu TANESCO & sekta ya Madini. Waziri asiyejiamini ndiye atabaki analialia na kuchekeana na mafisadi, akijali wanatoka wapi, wana rangi gani, wana mali kiasi gani! Kinyume chake pia ni kweli kwa Waziri yeyote mchapa kazi anayejiamini na mwadilifu. CV ya mtu yeyote huandikwa au kusemwa na mtu mwenyewe kwanza. Kwa uthibitishio huu hata Mungu alijiandikia CV yake kwenye mbao kabla ya kumpa Musa akisema "Mimi ni Bwana Mungu wako" Ref. Exodus 20.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hiyo habari mbona ni ya mtu mwingine na sio huyo ktk picha?copy and paste!!!!
 
Sospter Muhongo hajawati kuwa hata mwenyekiti wa kijiji, hana uzoefu katika uongozi na ni mtu mwenye jazba sana. Tuhuma alitozoa dhidi ya wabunge zitamtokea puani. Amefanya makosa makubwa sana kumpigia simu balozi wa marekani ni kumtuhumu kuwa shirika la kuzalisha umeme la Symbion limewaonga wabunge ili kumtetea mkurugenzi wa Tanesco aliyepita. Hili jambo rais Kikwete hakulipenda na anaweza kupoteza nafasi yake ya uwaziri.
]
CV yake ni zaidi ya uwaziri. Mimi naomba huyu Prof. akaze hapohapo na ikiwezekana 2015 aangalie kale ka nafasi ka juu zaidi.
 
Hiyo ni CV ya Uprofesa wa GEology sio CV Uprofesa wa siasa za magamba na system.....tulipokuwa pale mlimani tulimchagua kuwa head wa department...madudu aliyoyafanya kila mtu hakuwa na hamu naye awe mwanafunzi au lecturer.... na kumbuka dk mmoja alitoa mfano wa kumdhalilisha tea room mpaka akaiacha chai....." ....ukimfundisha mtu ni sawa sawa na kumbikiri mwanamke hata kusahau kamwe...." hiyo ili kuwa kauli ya lecturer mwenzie ambaye alimfundisha kabla na yeye kubalizwa kwa mizengwe pale UDsm

Uongozi siyo cv kuuubwa ni talent
 
CV ni nzuri lakini kwa ufisadi na udharimu uliomo ndani ya ccm tusitegemee kama itafanya kazi itakuwa kapi. tunamifano mingi tu angalia professor Mwandosya, peter Msolla, mwakusya, mang'hembe yaani walipokuwa hawako kwenye siasa walikuwa ni watetezi wa wanyonge lakini leo hii ni aibu sana maana elimu zao zimetawaliwa na siasa
 
Hiyo ni CV ya Uprofesa wa GEology sio CV Uprofesa wa siasa za magamba na system.....tulipokuwa pale mlimani tulimchagua kuwa head wa department...madudu aliyoyafanya kila mtu hakuwa na hamu naye awe mwanafunzi au lecturer.... na kumbuka dk mmoja alitoa mfano wa kumdhalilisha tea room mpaka akaiacha chai....." ....ukimfundisha mtu ni sawa sawa na kumbikiri mwanamke hata kusahau kamwe...." hiyo ili kuwa kauli ya lecturer mwenzie ambaye alimfundisha kabla na yeye kubalizwa kwa mizengwe pale UDsm

Uongozi siyo cv kuuubwa ni talent

Unaonekana una kitu cha kutujulisha kuhusu huyu mkubwa. Ingawa ni personal issue, imwage tu hapa mkubwa tumjue zaidi.
 
I am not sure if this can be true.Naelewa kabisa kazi za nje ya nchi mara nyingi sana zinatumia muda wa mtu kupita kiasi na income aipatayo interms of cash inakatwa kodi kubwa so kama hakuweza ku-invest hapa nchini kuna taabu kidogo kwani pension scheme yetu ni mbovu ajabu.

So unaweza shangaa kwa sasa Prof. atapata mawazo sana ya jinsi ya ku-sustain life yake after office.

Angekuwa nafasi ya PM ama Rais basi hapo tungeshuhudia maajabu kwani angekuwa amebakiwa na self actualization tu.

Simfahamu vizuri undani wake lakini kama yuko kama wengine wa calibre yake ninaowafahamu ambao wamerudi sasa nchini wakiwa na CV nzito nzito lakini mfukoni ndo kama wanaanza nursary basi shida ni kubwa mno!

Take it from me, nilichosema kichukue hivyo, kwenye ukweli huwa sichakachui, and I hate uchakachuaji. Sema ni vigumu kuamini kuwa watu wa namna hii bado tunao ndani ya system yetu, ila ukweli ni kwamba tunao. Tatizo ni kupata consesus ya kwamba huyu ndiye na huyu siye!

Unajua its awkward kukusanya mimali utadhani unaishi miaka 200,?
 
  • Thanks
Reactions: Ame
kama ni CV, tanzania hatuhitaji tena CV, kama ni uprofesa tanzania hatuhitaji, katika uongozi ni afadhali mtu awe darasa la saba ila mwenye maono ya kuipeleka nchi kwenye next level. hao wenye Cv wabaki kwenye utendaji tu. Kwani nani hajui kama Chenge ana degree ya sheria ya Havard, angalia mikataba alioisimamia akitanguliza tumbo lake mbele 'Ushuzi wa bata' inatugharimu sisi na wajukuu zetu.

Ndio maana wenzetu huko nje mtu akiifanyia jamii mambo mazuri makubwa wanampa degree za heshima ambazo zinaheshimika kuliko hizo za ushuzi wa bata pale udsm. Wenzetu mtu akiwa profesa wa darasani na hana mchango wowote unaotambulika kwenye jamii anaogopa kujitambulisha kama ni profesa mbele za watu atajiita MR. fulani tu maana hukawii kuonekana huna tofauti na PROF. MAJI MAREFU.

sijui kwanini Mh. Ag Mrema hakupewa degree ya heshima kwa mabo aliyoyafanya. au ndio siasa za vyuo vikuu.
 

Huyu hafanyi siasa, anatenda. Asimwambie balozi wa Marekani kama nchi yake imefanya pumba na udanganyifu na wezi wa rasilimali za nchi kisa anaogopa Mkulu atamtoa kwenye nafasi!!! Kwani alimwambia amteue? Huyu hateteleki na kukosa huo uwaziri ni sisi tunaomhitaji yeye bali yeye anahitajiwa na wengi duniani (soma CV).
Hivi ni nani aliyewaambia wachimbaji wa Dhahabu na wanakijiji huko (Meremeta) Musoma waliotishia kuishtaki serikali kwa kuacha mashimo na kuondoka na mali zote kuwa km ni HIVYO MM SIKO NANYI MNAOISHTAKI SERIKALI
Kwani hajabishana na Zitto kuhusu Symbion kulipwa hadi leo hela za umeme wa kila siku km Dowans, biashara ya nguzo? acha kumsifia myu aliyeingia na maji moto tusbiri awataje kwanza au aanze kuwatimua wabadhirifu kama anavyofanya MWAKYEMBE
 
Back
Top Bottom