Prof. Sospeter Muhongo's latest CV

Prof. Sospeter Muhongo's latest CV

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,141
Reaction score
951
Prof. Sospeter Muhongo's latest CV



Professor Sospeter Muhongo, a Tanzanian, Officier, Ordre des Palmes Academiques, is a full professor of Geology at the University of Dar es Salaam, Tanzania, and an Honorary Professor of Geology at the
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Prof. Sospeter Muhongo, (Officier, Ordre des Palmes Academiques), FGSAf, FAAS, FASI, FASSAf, FGIGE, FTWAS, HonFCAGS, HonFGS, CGeol, EurGeol[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
University of Pretoria, South Africa. He is an Honorary Fellow of the Geological Society of London (HonFGS), an Honorary Research Fellow of the Chinese Academy of Geological Sciences (HonFCAGS), a Fellow of the Academy of Sciences for the Developing World (FTWAS), a Fellow of the Geological Society of Africa (FGSAf) and a Fellow of the African Academy of Sciences (FAAS). He is a fellow of eight highly learned professional societies, and the first recipient (2004) of the Robert Shackleton Award (Outstanding Research on the Precambrian Geology of Africa). He is the Vice President of the Commission of the Geological Map of the World (CGMW). Prof. Muhongo is the Chair of the Jury of the African Union (AU) Kwame Nkrumah Scientific Awards - Continental Awards for Outstanding Scientists 2011 Edition. He is a member of the Executive Board of the African Inter-Parliamentary Forum on Science, Technology and Innovation (AIPF-STI).


He is Editor-in-Chief of the Journal of African Earth Sciences (Elsevier), Associate Editor of Precambrian Research (Elsevier) and a member of several editorial boards of science journals and bulletins. Prof. Muhongo is the Senior Editor of the published book (2009) on "Science, Technology and Innovation for Socio-Economic Development: Success Stories from Africa."

Prof. Muhongo was the President of the Geological Society of Africa (1995 - 2001). He was the founding Regional Director (2005 - 2010) of the ICSU Regional Office for Africa, Pretoria, South Africa. He was the Chairperson of the UNESCO-IUGS-IGCP Scientific Board of International Geoscience Programme (2004 - 2008), and the Chair (2007 - 2010) of Science Programme Committee (SPC) of the UN-proclaimed International Year of the Planet Earth (IYPE). Prof. Muhongo is a Member of the International Experts Group (Global Science Forum) of OECD.

He was the Chairman (1999 - 2005) of the Board of Directors of the State Mining Corporation (STAMICO), Tanzania; and was the Head (1997 - 2000) of the Department of Geology, University of Dar es Salaam, Tanzania. Prof. Muhongo was the Chairman (2002) of the Tanzania Government's Commission of Inquiry on the deadliest Mererani Tanzanite mine's accident.

Prof. Muhongo has published over 200 well acknowledged research articles, geological and mineral maps. He has delivered more than 300 invited keynote speeches around the world at international conferences. He has undertaken over 100 contracted scientific research projects, and consultancy services in the mineral industry, environmental issues and STI policy matters. Pro. Muhongo has been on many STI review/evaluation panels and advisory boards for both national and international institutions and organizations. He has been an external Examiner/Referee for numerous universities, i.e. examinations moderator and academic staff referee/evaluator (e.g. candidates for professional positions). Over the past two decades, Prof. Muhongo has co-organized over 100 expert group meetings and international earth sciences, STI and science policy conferences, including those on "Science with Africa (Rapporteur-General)" which are hosted by the United Nations Economic Commission for Africa (UNECA), the African Union Commission (AUC) and their partners. He has occupied numerous important national, regional and international professional positions dealing with science, technology, innovation, earth resources, science policy and science diplomacy.

Prof. Muhongo is intensively mentoring young scientists, engineers and technologists around the world and has developed a special interest in the application of STI for the sustainable growth and socio-economic development of the global society. Prof. Muhongo, recipient of numerous scholarly and professional awards, recognitions, grants, and fellowships studied geology at the Universities of Dar es Salaam and Goettingen (Germany). He graduated with Dr.rer.nat. degree from the Technical University of Berlin, Germany. Prof. Muhongo is fluent in Kiswahili, English, German and French (basic). s.muhongo@bol.co.tz
 
CV nzito sana.
Lakini,haitokuwa na maana kwa taifa, kama akishindwa kubadili utendaji na mfumo wa sekta ya nishati na madini hapa TZ.

Taifa linataraji kuona uwezo huo unajidhiirisha katika sekta anayoisimamia.

Itakuwa bure kabisa,kama atakubali kutumiwa na wanasiasa wachafu wa CCM na watendaji wengine wa wizara, pasipo kuzingatia maslahi mazima ya taifa.
 
duh jamaa ana CV nzito sana aisee

khaaa. Anyway tumpe sapoti yetu coz ameanza ulingo wa siasa vizuri pamoja na ugeni wake kwenye siasa alimudu kuoenesha tofauti kidogo ya kimaono na kiutendaji katika wizara nyeti ya nishati na madini
 
Tukimpa ushirikiano atatusaidia sana watanzania huyu mtu. CV yake inatisha. anatakiwa apate ushirikiano wetu ili atembeapo ajue kuna watanzania maskini milioni 39 nyuma yake wanaotamani wakombolewe kutokana na shida zakimfumo uliojengeka ndani ya sekta nyeti anayoiongoza.
 
Tukimpa ushirikiano atatusaidia sana watanzania huyu mtu. CV yake inatisha. anatakiwa apate ushirikiano wetu ili atembeapo ajue kuna watanzania maskini milioni 39 nyuma yake wanaotamani wakombolewe kutokana na shida zakimfumo uliojengeka ndani ya sekta nyeti anayoiongoza.
Sospter Muhongo hajawati kuwa hata mwenyekiti wa kijiji, hana uzoefu katika uongozi na ni mtu mwenye jazba sana. Tuhuma alitozoa dhidi ya wabunge zitamtokea puani. Amefanya makosa makubwa sana kumpigia simu balozi wa marekani ni kumtuhumu kuwa shirika la kuzalisha umeme la Symbion limewaonga wabunge ili kumtetea mkurugenzi wa Tanesco aliyepita. Hili jambo rais Kikwete hakulipenda na anaweza kupoteza nafasi yake ya uwaziri.
 
Kwa cv kama hii hana sababu ya kutumiwa na wenye njaa ccm kwani ataiabisha na kujidharaulisha mbele ya jamii. He needs to hold his reputation kwa kuinua sector ya madini nchi hii. Ccm kuna watu ila wakishakaa humo ndani cjui wanaingia mapepo gani. Fanya kazi mzee.


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Sospter Muhongo hajawati kuwa hata mwenyekiti wa kijiji, hana uzoefu katika uongozi na ni mtu mwenye jazba sana. Tuhuma alitozoa dhidi ya wabunge zitamtokea puani. Amefanya makosa makubwa sana kumpigia simu balozi wa marekani ni kumtuhumu kuwa shirika la kuzalisha umeme la Symbion limewaonga wabunge ili kumtetea mkurugenzi wa Tanesco aliyepita. Hili jambo rais Kikwete hakulipenda na anaweza kupoteza nafasi yake ya uwaziri.

Acha kuota mchana.
 
Sospter Muhongo hajawati kuwa hata mwenyekiti wa kijiji, hana uzoefu katika uongozi na ni mtu mwenye jazba sana. Tuhuma alitozoa dhidi ya wabunge zitamtokea puani. Amefanya makosa makubwa sana kumpigia simu balozi wa marekani ni kumtuhumu kuwa shirika la kuzalisha umeme la Symbion limewaonga wabunge ili kumtetea mkurugenzi wa Tanesco aliyepita. Hili jambo rais Kikwete hakulipenda na anaweza kupoteza nafasi yake ya uwaziri.

Sasa we hofu yako nini; tunahitaji watu kama hawa wenye uthubutu na sio wale wanaofanya kazi hili kumfurahisha jk.kama hajamfurahisha jk sisi wananchi ambao ni bosi wake jk katufurahisha.
 
Salute to you prf!! Go go go and lets your colors shine and seen by normal Tanzanians!!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
CV ya Muhongo imesheheni kwelikweli ingawa kuwa na elimu bora na ya juu ni jambo moja na kuitumia vizuri ni jambo jingine. Tuliwaona maprofesa kama Kapuya, Maghembe, Sarungi na wengine lakini waliishia kuchakachuliwa na CCM kiasi cha kutelekeza taaluma zao na kugeuka vikaragosi vya ufisadi. Tumshauri prof Muhongo aepuke njia ya akina Kapuya na wenzake.
 
CV nzito sana.
Lakini,haitokuwa na maana kwa taifa, kama akishindwa kubadili utendaji na mfumo wa sekta ya nishati na madini hapa TZ.

Taifa linataraji kuona uwezo huo unajidhiirisha katika sekta anayoisimamia.

Itakuwa bure kabisa,kama atakubali kutumiwa na wanasiasa wachafu wa CCM na watendaji wengine wa wizara, pasipo kuzingatia maslahi mazima ya taifa.


Yeye mwenyewe hawezi badili mfumo fisadi wa nchi yetu uliojengwa kwa miongo mitatu kuanzia pale Azimio la Zanzibar lilipo ibomoa mising imara ya Taifa letu lililojielekeza katika kujenga uchumi wake kijamaa na kwakutengea rasilimali tulizonazo yaani watu kwa maana ya nguvukazi na akili zao; maliasili yetu; viwanda na nyezo mbalimbali zinazosaidia utendaji kazi na umoja wetu pamoja kama Taifa (Mass active participation in socio-economic activities).....Walaaniwe wote walioshiriki na wanaoendelea kubomoa misingi yetu kwakisingizio cha kwenda na wakati ama kuleta maendeleo huku wakilenga katika kuneemesha matumbo yao na familia zao. Lakini hatima ya yote watu kama Prof. Muhongo wapo na maadamu wapo kwasababu yeye kaanza amekuwa mbegu bora ambayo itamea hata kutoa matunda mengi kusababisha miti yoye miovu isichipue tena...
 
Cv yenyewe kaandika mwenyewe Manamini kila kitu
 
Prof. Muhongo kaza buti kutetea maslahi wa Watanzania wenzio nasi tunakuahidi ushirikiano. CV nzuri sana usikubali mafisadi waichafue kwa tamaa zao.
 
CV ya Muhongo imesheheni kwelikweli ingawa kuwa na elimu bora na ya juu ni jambo moja na kuitumia vizuri ni jambo jingine. Tuliwaona maprofesa kama Kapuya, Maghembe, Sarungi na wengine lakini waliishia kuchakachuliwa na CCM kiasi cha kutelekeza taaluma zao na kugeuka vikaragosi vya ufisadi. Tumshauri prof Muhongo aepuke njia ya akina Kapuya na wenzake.

Nakubaliana na wewe kwa 100%!
 
CV ya Muhongo imesheheni kwelikweli ingawa kuwa na elimu bora na ya juu ni jambo moja na kuitumia vizuri ni jambo jingine. Tuliwaona maprofesa kama Kapuya, Maghembe, Sarungi na wengine lakini waliishia kuchakachuliwa na CCM kiasi cha kutelekeza taaluma zao na kugeuka vikaragosi vya ufisadi. Tumshauri prof Muhongo aepuke njia ya akina Kapuya na wenzake.

Wakati mwingine pia pamoja nakuwa siasa yetu ya ujamaa na kujitegemea ilikuwa nzuri ilihitaji dhamira ya dhati kuiboresha...Bahati mbaya hatukupata watu wakuirekebisha kwa manufaa ya Taifa bali kwaajili ya ubinafsi wa viongozi wakati wa mabadiliko wakaamua kugawana kidogo kilichopo kwamanufaa yao kwakuwa wao waliwahi kufika jikoni kabla ya chakula kuandaliwa mezani...Siasa ile (Original baada ya Azimio la Arusha) ilikuwa na shortcoming moja kubwa....Kutokulipa watu accordigly (Earning what you produce) na pia retirement benefits hasa kwa wasomi na wanasiasa kwani wengi hata baada ya kujitoa sana kuijenga nchi baada ya uhuru hatimaye baadaye kuadhirika (Think of People like Kackson Makweta; the late Prof Machuna etc. ..Namkumbuka Prof. Kapuya wakati ule alipokuwa UD department of Botany kiti na ofisi aliyokuwa nayo haikulingana na cheo chake pia maisha yake yalikuwa duni saanaaa.... Hatari kubwa kwa watu wenye maono na uelewa wajuu (hasa walioenda shule na waliokuwa vinara darasani) they learn quick from mistakes. Nadhani wakaona pakutokea ni kwenye decision making (Siasa) ikabidi waingie huko kwa wingi (You can recall ni wakati huo maprof; Drs etc ndiyo waliibukia wengi kwenye siasa) ndipo walipoamua kugeuza sera na kuzifanya ziweze kuwa mukukuta binafsi japo kwenye majukwaa waliweza kuwa manipulate watu minds zao kuwa ni kwafaida ya kila mtu kumbe behind the curtens wao walikuwa wanajigawia mapande makubwa makubwa ya keki ya Taifa ili kufidia muda wao walioupoteza kwenye academic investments!

Siasa imekuwa sasa sehemu ya kutajirika haraka na bila kutumia nguvu jambo ambalo ni hatari kwa mstakabali wa Taifa letu kwani nafasi za kisiasa zenye kuweza kuleta neema hiyo nichache na ina ex-clude majority from enjoying the prosperity of their country. Kwamaana hiyo ndiyo maana bishara zote zimefungamanishwa na wanasiasa nao ni wakwepaji wazuri wa kodi...Kwa jinsi hii maendeleo tunayoyatamani yatatokea kwa muujiza upi wakati wengi ni walaji na wanaozalisha kwanza wanazalisha kwakutumia utaalamu duni tena bila elimu sahihi ya uzalishaji hata baada ya kuvuruga elimu yetu ya zamani?

Hatari ninayoiona kwa Prof. Muhongo ni hiyo hiyo....sijui kama ataweza survive temptations zilizoko mbele yake kwani na yeye ni ama ame retire au yupo karibu sana ku-retire so anakuja gundua hataweza sustain a kind of life was living so kama hajajiandaa vilivyo (which is most likely kwa mfumo wa nchi yetu) anaweza akaanguka katika dhambi haraka na mapema sana....Wengi wa age mates zake waliokuwa nje ya nchi wamerudi nchini na wamejikuta wenzao wako mbele zaidi kimaendeleo (Wame wekeza) kuliko wao kwani huko waliko hawakuwa raia na hivyo uzeeni ndipo reality inapoaanza kuji-unfold. Hivyo wamerudi kama professors in universities kwa contract (a big clap to this government kwakuwakubali kwani pia academicians ni scarce resource nchini kwa sasa which is not my topic ila in nutshellkwasababu ya sera mbovu ya succession). So kuna hii hatari naye yaweza kumkumba na sintoshangaa kama ataangukia kwenye mikono mipana ya ufisadi (Mungu epusha mbali).

Nchi imegota we need to think big nakukubali kuisaidia kuinasua hapo ilipogotea!
 
Hawa ndo jk (kambarage) alisema tusomeshe kwanza watz haf ndo tuchimbe madini yetu au! madini wanakuja kuchimba mageological wa kizungu wenye diploma tu hawa watz wenye profesorz wanakunywa konyagi tu duh! i love my tanzania
 
Tukimpa ushirikiano atatusaidia sana watanzania huyu mtu. CV yake inatisha. anatakiwa apate ushirikiano wetu ili atembeapo ajue kuna watanzania maskini milioni 39 nyuma yake wanaotamani wakombolewe kutokana na shida zakimfumo uliojengeka ndani ya sekta nyeti anayoiongoza.

Nchi hii na wasomi ni vitu mbalimbali si muda utasikia maandamano tena yanaanzishwa na wasaniiiiiii std 4 negative
 
Sospter Muhongo hajawati kuwa hata mwenyekiti wa kijiji, hana uzoefu katika uongozi na ni mtu mwenye jazba sana. Tuhuma alitozoa dhidi ya wabunge zitamtokea puani. Amefanya makosa makubwa sana kumpigia simu balozi wa marekani ni kumtuhumu kuwa shirika la kuzalisha umeme la Symbion limewaonga wabunge ili kumtetea mkurugenzi wa Tanesco aliyepita. Hili jambo rais Kikwete hakulipenda na anaweza kupoteza nafasi yake ya uwaziri.

Pengine. Kwa cv yake kuwa waziri sidhani kama ni deal. Ni kama anatusaidia tu na siyo kuganga njaa.
 
Sospter Muhongo hajawati kuwa hata mwenyekiti wa kijiji, hana uzoefu katika uongozi na ni mtu mwenye jazba sana. Tuhuma alitozoa dhidi ya wabunge zitamtokea puani. Amefanya makosa makubwa sana kumpigia simu balozi wa marekani ni kumtuhumu kuwa shirika la kuzalisha umeme la Symbion limewaonga wabunge ili kumtetea mkurugenzi wa Tanesco aliyepita. Hili jambo rais Kikwete hakulipenda na anaweza kupoteza nafasi yake ya uwaziri.

Huyu hafanyi siasa, anatenda. Asimwambie balozi wa Marekani kama nchi yake imefanya pumba na udanganyifu na wezi wa rasilimali za nchi kisa anaogopa Mkulu atamtoa kwenye nafasi!!! Kwani alimwambia amteue? Huyu hateteleki na kukosa huo uwaziri ni sisi tunaomhitaji yeye bali yeye anahitajiwa na wengi duniani (soma CV).
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom