Nimjuavyo Muhungo ni mtu anayejiamini sana. Pia swala la kuwa mwenyekiti wa kijiji au kuwa kiongozi sioni kuwa ni sababu ya kutojua kuongoza maana uwaziri hausomewi popote. Pia tambua huyu jamaa amefanya kazi nyingi sana na akina Eli Bara dei na ndiyo walisema Iraki hakua silaha za nyuklia. Pia tutambue waziri anasimamia sera.
Cha msingi tuweke pembeni siasa chafu na tamaa ya pesa au utajiri wa mkato.
Kama Symbion wamehonga akimpigia balozi ndiyo ataogopa. Ujue hao mabalozi wako hapa kwa maslahi ya nchi na watu wao hasa matajiri wa madini na wafanyabiashara wengine. So Rais akasirikie ukweli upi. Tuache dharau.
Watu wakisimamia sheria tunawachukia, wakilegeza kamba tunawadharau. Duuuh
cv tumeziona nyingi sana wala hatuzihitaji. what we need ni utendaji tu> full stop
Huwezi kuwa mtendaji bila upeo
ha ha fact,mohamed al baradei ana kitabu cha huo mkasa,the age of deception.
Nimjuavyo Muhungo ni mtu anayejiamini sana. Pia swala la kuwa mwenyekiti wa kijiji au kuwa kiongozi sioni kuwa ni sababu ya kutojua kuongoza maana uwaziri hausomewi popote. Pia tambua huyu jamaa amefanya kazi nyingi sana na akina Eli Bara dei na ndiyo walisema Iraki hakua silaha za nyuklia. Pia tutambue waziri anasimamia sera.
Cha msingi tuweke pembeni siasa chafu na tamaa ya pesa au utajiri wa mkato.
Kama Symbion wamehonga akimpigia balozi ndiyo ataogopa. Ujue hao mabalozi wako hapa kwa maslahi ya nchi na watu wao hasa matajiri wa madini na wafanyabiashara wengine. So Rais akasirikie ukweli upi. Tuache dharau.
Watu wakisimamia sheria tunawachukia, wakilegeza kamba tunawadharau. Duuuh
Nimjuavyo Muhungo ni mtu anayejiamini sana. Pia swala la kuwa mwenyekiti wa kijiji au kuwa kiongozi sioni kuwa ni sababu ya kutojua kuongoza maana uwaziri hausomewi popote. Pia tambua huyu jamaa amefanya kazi nyingi sana na akina Eli Bara dei na ndiyo walisema Iraki hakua silaha za nyuklia. Pia tutambue waziri anasimamia sera.
Cha msingi tuweke pembeni siasa chafu na tamaa ya pesa au utajiri wa mkato.
Kama Symbion wamehonga akimpigia balozi ndiyo ataogopa. Ujue hao mabalozi wako hapa kwa maslahi ya nchi na watu wao hasa matajiri wa madini na wafanyabiashara wengine. So Rais akasirikie ukweli upi. Tuache dharau.
Watu wakisimamia sheria tunawachukia, wakilegeza kamba tunawadharau. Duuuh
Tukimpa ushirikiano atatusaidia sana watanzania huyu mtu. CV yake inatisha. anatakiwa apate ushirikiano wetu ili atembeapo ajue kuna watanzania maskini milioni 39 nyuma yake wanaotamani wakombolewe kutokana na shida zakimfumo uliojengeka ndani ya sekta nyeti anayoiongoza.
CV ni makaratasi tu,utendaji Kaz ni tofauti kabisa.Alisema pesa za escrow sio za serkali lakini baadae ikabainika ni pesa za serkali.Sasa hapo uprofesa wake na CV yake vina umuhimu gani? Kama sio makaratasi tu