Deus F Mallya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 705
- 440
CV nzito sana.
Lakini,haitokuwa na maana kwa taifa, kama akishindwa kubadili utendaji na mfumo wa sekta ya nishati na madini hapa TZ.
Taifa linataraji kuona uwezo huo unajidhiirisha katika sekta anayoisimamia.
Itakuwa bure kabisa,kama atakubali kutumiwa na wanasiasa wachafu wa CCM na watendaji wengine wa wizara, pasipo kuzingatia maslahi mazima ya taifa.
Kwa ruhusa yako naomba Comment yako iwe yangu pia!.. I agree with u for 100%