Prof Sospeter Muhongo Unasubiri nini?

Prof Sospeter Muhongo Unasubiri nini?

Waziri wa nishati na Madini Prof Dr Sospeter Muhongo, tunakuomba ujiudhulu nafasi uliyo nayo sababau umeshindwa kabisa kuiongoza wizara. Vurugu zilizotekea Mtwara kupelekea kuuwawa kwa wananchi na uharibu wa mali za serikali na raia ni ushahidi tosha unahusika. Kulazimisha Gas ije Dar es Salaam kufurahisha wakubwa zako (KInana na wingine) bila kujali wananchi wazawa wa Mtwara ni udhaifu wa kiuongozi. Hili suala kutizamwa kisiasa kuliko uhalisia utaigharimu serikali ya CCM. Tafadhali jiudhulu kuepusha madhara zaidi maana jina lako tayari limeingizwa kwenye historia Prof asiye na uwezo wa kufikiri na kuamua.

Mch Masa Safarini Mtwara

Mch Masa nadhani una malaria Au umetoroka Mirembe wewe. Dunia hii ya karne ya 21 wewe unadhani gesi itasafirishwa Kwa vibuyu Au ndoo. Nchi zilizoendelea zina mitandao ya mabomba ya kusafarisha gesi kutoka Kwenda sehemu mbalimbali Kwa ajili ya matumizi mbalimbali.
 
Serikali ya ccm inaepeleka tanzania vitani kwa kuingia kwenye mikataba batili ya gas ya mtwara.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mch Masa nadhani una malaria Au umetoroka Mirembe wewe. Dunia hii ya karne ya 21 wewe unadhani gesi itasafirishwa Kwa vibuyu Au ndoo. Nchi zilizoendelea zina mitandao ya mabomba ya kusafarisha gesi kutoka Kwenda sehemu mbalimbali Kwa ajili ya matumizi mbalimbali.


Aisee! Kuna sehemu nimeandika ndoo ama kibuyu?
 
Masanilo,

..hapa nilipo najiuliza Waziri wa mambo ya Ndani, Mkuu wa Usalama wa taifa, IGP, na RPC, walikuwa wapi mpaka vurugu zote hizi zitakatokea?

..Vurugu hizi zimetokea ghafla tu, au kuna watu walipanga kufanya vurugu na uharibifu wa mali??

gfsonwin,

..ulipopendekeza wabunge washughulikiwe, ulikuwa unafahamu kwamba kwa mfumo wetu RAISI ni sehemu ya bunge??

..je, unafahamu kwamba RAISI ana mamlaka ya kukataa kupitisha jambo lolote lile liloridhiwa bungeni??

..binafsi nadhani kitu cha msingi ni SERIKALI kwenda kuzungumza tena na wananchi wa Mtwara.

..wawaelimishe kuhusu hatua za muda mfupi na muda mrefu watakazochukua kurekebisha makosa yaliyofanyika kwa muda mrefu.

CC: Maundumula, THE BIG SHOW, ZeMarcopolo
JokaKuu hayo yote niliyawaza ila kwann nasema awawajibishe wabunge?? wao walitakiwa kuwawakilisha wananchi wao kwahiyo kama hawakufanya hivyo basi ni wazi kwamba wamewauza wananchi wao kwa wazi kabisa.

na yeye rais anatakiwa muda mwingine aone kabisa kweli kupo alipokosea awaambie wananchi wa mtwara kwamba kweli sisi kama serikali tumekosea tuwieni radhi ila tutafanya yafuatayo kurekebisha makosa haya. sidhan kama wangegoma kumsiliza rais wao.

binaafsi sitaki kuona kwamba mwenye kosa hapa ni waziri aliyeyopo ilihali yeye kakabidhiwa ofc ikiwa tayari na mradi kwenye line.

unajua JokaKuu ifike mahali tuone kabisa watu wanastahili kulipa makosa yao. na binafsi nasema na narudia tena kwamba hili ni kosa la pili kutokea ndani ya idara hiyo hiyo na lenye kuasilika kwenye mzizi wa aina moja tu kwamba hakukuwa na stakeholder analysis na hii inatupa picha kwamba hata kwenye madini hali ni hii hii.

sasa serikali ilishindwa kujifunza kwa kakobe na mradi wao wa mabilion wa umeme, imekuja kurudia tena kosa hilo hilo???

wito wangu kwa akina THE BIG SHOW na @ze marcopolo watafute kukaa meza moja na serikali wawape msimamo wao kwamba wanataka wabenefit vipi kwenye huu mradi na pia mradi uwe implemented vipi basi.................mbona sisi watanzania ni waskivu sana na wala hatujazoea kuona mitutu kama kwa wenzetu??
 
Last edited by a moderator:
JokaKuu hayo yote niliyawaza ila kwann nasema awawajibishe wabunge?? wao walitakiwa kuwawakilisha wananchi wao kwahiyo kama hawakufanya hivyo basi ni wazi kwamba wamewauza wananchi wao kwa wazi kabisa.

na yeye rais anatakiwa muda mwingine aone kabisa kweli kupo alipokosea awaambie wananchi wa mtwara kwamba kweli sisi kama serikali tumekosea tuwieni radhi ila tutafanya yafuatayo kurekebisha makosa haya. sidhan kama wangegoma kumsiliza rais wao.

binaafsi sitaki kuona kwamba mwenye kosa hapa ni waziri aliyeyopo ilihali yeye kakabidhiwa ofc ikiwa tayari na mradi kwenye line.

unajua JokaKuu ifike mahali tuone kabisa watu wanastahili kulipa makosa yao. na binafsi nasema na narudia tena kwamba hili ni kosa la pili kutokea ndani ya idara hiyo hiyo na lenye kuasilika kwenye mzizi wa aina moja tu kwamba hakukuwa na stakeholder analysis na hii inatupa picha kwamba hata kwenye madini hali ni hii hii.

sasa serikali ilishindwa kujifunza kwa kakobe na mradi wao wa mabilion wa umeme, imekuja kurudia tena kosa hilo hilo???

wito wangu kwa akina THE BIG SHOW na @ze marcopolo watafute kukaa meza moja na serikali wawape msimamo wao kwamba wanataka wabenefit vipi kwenye huu mradi na pia mradi uwe implemented vipi basi.................mbona sisi watanzania ni waskivu sana na wala hatujazoea kuona mitutu kama kwa wenzetu??



Umeongea vyema,ila kukaa meza moja na mtu aliediploy jeshi kuja kupambana na wapiga kura yahitaji moyo wa ujasiri kupitliza,
Sisi tunamwangalia kwanza,tujue hasa ipi ni dhamira yake??
 
Umeongea vyema,ila kukaa meza moja na mtu aliediploy jeshi kuja kupambana na wapiga kura yahitaji moyo wa ujasiri kupitliza,
Sisi tunamwangalia kwanza,tujue hasa ipi ni dhamira yake??
ni kweli kaka mkubwa kwamba imetumika nguvu kubwa sana lkn sasa je mtaacha vijana wenu wawe wakimbizi kwenye nchi yao?? na je ipi itakuwa rahisi kuacha watu wauwawe wanawake na watoto wenu wateseke kisa mnaogopa kukaa nae??

go for it msiruhusu hali izidi kuwa tete namna hii, imagine watoto hawaendi shule haina maana mock ya form 4 na la saba itatungwa wakiwaza kwamba wanafunzi wa mtwara hawakuweza kwenda shule wiki nzima, na kwamba iundo mbinu yao iliharibiwa hivyo wapewe maksi za bure.


Lakini pia ifike mahali watanzania wote kwa umoja wetu tunyanyue vinywa vyetu tuseme tumechoshwa na hali hii kila kukicha bora ya jana, vikiisha vita vya kuchinja, vinakuja vya kuua mashehe na mapadri, vikiisha hivi vinakuja vya kutekana na kuua watu wazi sasa tuko na vita ya mtwara vimeisha vya korosho sasa vimekuja vya gesi soon utaskia vya bandari.................we shld be serious manake hatujui kesho tutaamka kwa staili gani nakuambia.
 
kimsingi ningekuwa mm ningeanza na wabunge na viongozi hadi wa kata na vijiji wa mtwara as wao walikuwa ni watu muhimu sana wa kusema wanataka mradi uweje na kwann hawakusema haya kabla ya mradi kuanza.
Kwa taarifa yako tayari wameshaanza nao.
 
Most often I have been thinking that a Professor is a well knowledgeable being with high intergrity which could help the ones surrounding him or her live happier because they have someone to help them by giving reasonable solutions to their lives' constraints.This is a myth which I had not known yet till recently when most of them when they are given certain high positions in the government do lots of blunder.
It is time now to reshuffle the whole system of the government by hooks and crooks,failure to which we shall be the wretch of the earth while we are rich in all aspects of lives.
 
Ama kweli rafiki yangu Zitto aliwahi kutilia shaka uwezo wa huyu waziri Muhongo na mimi nikampinga sana tena sana kwa kudai kwamba huyu mteule apewe muda zaidi; hali yenyewe kumbe ndio hivi??????

Hivi kweli Professa Muhongo, kwa mtaji wa gharika la damu kule Lindi na Mtwara kwa hisani ya wewe kufanya maamuzi kinyume na sera yetu ya taifa juu ya nini kifanyike kwanza pindi tunapovuna rasilmali yoyote nchini (VALUE ADDITION BEFORE ANY TRANSIT MEASURES), kweli kabisa - BADO UNASUBIRI NINI KATIKA HIYO OFISI YA UMMA??????????????????????


Waziri wa nishati na Madini Prof Dr Sospeter Muhongo, tunakuomba ujiudhulu nafasi uliyo nayo sababau umeshindwa kabisa kuiongoza wizara.

Vurugu zilizotekea Mtwara kupelekea kuuwawa kwa wananchi na uharibu wa mali za serikali na raia ni ushahidi tosha unahusika. Kulazimisha Gas ije Dar es Salaam kufurahisha wakubwa zako (KInana na wingine) bila kujali wananchi wazawa wa Mtwara ni udhaifu wa kiuongozi.

Hili suala kutizamwa kisiasa kuliko uhalisia utaigharimu serikali ya CCM. Tafadhali jiudhulu kuepusha madhara zaidi maana jina lako tayari limeingizwa kwenye historia Prof asiye na uwezo wa kufikiri na kuamua.

Mch Masa Safarini Mtwara
 
Kama unajua kabisa central government ina nguvu, kwa hiyo ni hili ni tatizo la kimfumo kuwa mapato na maamuzi yanafanywa na central government


Je, tubadili mfumo rasilimali ziwe chini ya Tamisemi?

Je, sehemu zingine za TZ wanataka mfumo gani? Isije kuwa mkoa mmoja wa Mtwara u-bully mikoa 20+

Hili ni suala la kitaifa maana linahitaji mabadiliko ya mfumo, kwa hiyo mtwara ni sehemu tu, sio wao tu wanaopaswa kutuamulia kama taifa.

Kongosho wanamtwara hawajasema wanaitaka gesi iwafaidishe wao peke yao. Ili mtu awe fair kutoa hukumu sahihi ni nzuri kuwasikiliza pasipo kuwa biased kisiasa. Sisupport vurugu hata chembe lakini pia sisupport Central Govt kujiona kama Mungu fulani hv kwamba ikiamua kitu no matter what inabidi kifanyike vile inavyotaka pasipokusikiliza upande wa pili una mawazo gani tofauti. Hii speed ya kuvuna gesi wakati ndio kwanza rasimu husika huyo waziri muongo kapresent wk iliyopita inatoka wapi? Na hiyo inflation ya gharama la hilo bomba 4x market price nani ananufaika nayo? Im sure wanamtwara wamejifunza kwa wenzao wa Arusha, Shinyanga, Mwanza na kwingineko ambako madini imeishia kuwa laana badala ya baraka.
 
Am sorry but every time when i See this Prof. I remember about his wife.
He is very dangerous, a murderer i wonder why he is a minister while we all know that he kill his wife just because he doesn't love her anymore.


Kumbe prof ni muuwaji?
 
Kama unajua kabisa central government ina nguvu, kwa hiyo ni hili ni tatizo la kimfumo kuwa mapato na maamuzi yanafanywa na central government


Je, tubadili mfumo rasilimali ziwe chini ya Tamisemi?

Je, sehemu zingine za TZ wanataka mfumo gani? Isije kuwa mkoa mmoja wa Mtwara u-bully mikoa 20+

Hili ni suala la kitaifa maana linahitaji mabadiliko ya mfumo, kwa hiyo mtwara ni sehemu tu, sio wao tu wanaopaswa kutuamulia kama taifa.
Kongosho no wonder kidatu nao wanajipanga kung'ang'ania umeme wao, na Hale pia.
sasa jiulize hivi wenye mito inayopeleka maji kidatu wakisema mito yetu isiende kidatu tunataka hivi vinu vijengwe hapa kwetu itawezekana??

na je ikifika mahali watu wakigomea rasilimali zao zisiwe centralized wadhani tunaweza kusoga mbele?? maisha yetu yanajitosheleza kimahitaji kimkoa??
 
Last edited by a moderator:
Kuna vitu ukisema hapa unaonekana insensitive, lakini ndio ukweli wenyewe
Hakuna mradi usiokuwa na uchumi wake, vinginevyo unaweza ingia hasara tu

Siasa na uchama vimetufanya hatuoni wala kuelewana tena

Kongosho no wonder kidatu nao wanajipanga kung'ang'ania umeme wao, na Hale pia.
sasa jiulize hivi wenye mito inayopeleka maji kidatu wakisema mito yetu isiende kidatu tunataka hivi vinu vijengwe hapa kwetu itawezekana??

na je ikifika mahali watu wakigomea rasilimali zao zisiwe centralized wadhani tunaweza kusoga mbele?? maisha yetu yanajitosheleza kimahitaji kimkoa??
 
Kuna vitu ukisema hapa unaonekana insensitive, lakini ndio ukweli wenyewe
Hakuna mradi usiokuwa na uchumi wake, vinginevyo unaweza ingia hasara tu

Siasa na uchama vimetufanya hatuoni wala kuelewana tena
umenena vyema Kongosho.
unajua haya mambo ya kuona chama fulan ndio mkosa na kwamba wewe chama fulan ndio malaika wa kurekebisha ni makosa sana.
sion hata sababu ya watu kuona kwamba serikali imekosea kuwanyamazisha wana mtwara eti imedeploy jeshi jambo ambaloo ni nguvu kubwa sana. sasa najiuliza walitaka waachwe hadi lini?? je kuna mtu yyte ambaye anauchungu na maisha yao kiukweli?? hao waliopoteza maisha walikuwa wanategemewa je tegemezi wao wataish vipi??

imagine wanabomoa na kuchoma nyumba sasa wote waliotia uchochez nyumba zao hazijaguswa manake ziko mbali wameishia kuchoma za watu ambao hawana hatia kabisa kwao je hii ni sahihi?? imagine watoto ambao walizoea kulala ndani leo hii unawalaza kwa ndugu kisa nyumba imechomwa na wao wako innocent hawajui hata iyo gesi ni kitu gani still wanataka serikali ikae kimya??

siasa hazipaswi kuwa chuki bali zilete maendeleo ukiona zinaleta chuki basi jua siasa






hizo ni za wivu na wala hazina nia ya kumkomboa mtanzania.
 
Last edited by a moderator:
hivi kwani Prof Muhongo alikuja katika hii wizara akakuta mradi tayari ama alikuta bado?? hivi kwann usiseme kwamba liwajiabishwe bunge lote ambalo wao ndio waliounga mkono hoja ya mradi kuwepo??

je waliposema mradi uwepo na uanze walishaufanyia tathmini stahiki?? je kabla ya project implementation waliwashirikisha wananchi wakajua wananchi wanataka nini??

je wafikiri angekuja na jibu gani ilihali pesa nyingi zimeshachimbiwa chini kwenye ujenzi wa mabomba?? je viongozi na hawa wananchi wa mtwara wakiongozwa na wabunge wao walikuwa wapi wasitoe madukuduku yao kabla ya mradi kuanza ili wahoji watafaidika je na watoe mawazo yao wanataka mradi uweje??

kimsingi ningekuwa mm ningeanza na wabunge na viongozi hadi wa kata na vijiji wa mtwara as wao walikuwa ni watu muhimu sana wa kusema wanataka mradi uweje na kwann hawakusema haya kabla ya mradi kuanza.


Mambo ya watanganyika yanafurahisha sana. Watu wa Mtwara walishasema toka awali kwamba gesi hii haitaend adar mpaka wamejua wao watanufaika vipi. Viongozi wakaenda baada ya zile fujo za awali. Wakaja wakatuambia kwamba wananchi wa mtwara sasa wameelewa na mgogoro umeisha. Leo wananchi wale wale wanasema hapana kw agesi toka mtwara. Viongozi wetu wanasema yawezekana kuna mkono wa mtu toka nje ya nchi. Kwa nini hatusemi ukweli wa mambo? Kungekuwa kuw ana Mbunge wa CDM siku nyingi ungesikia kakamatwa kuchochea vurugu. Ndugu zangu wananchi sasa wameamka wanapigania maslahi ya maliasili yao baada ya mwenye dhamana hiyo kushindwa. Hakuna mkono wa mtu wala siasa ni hali ngumu ya maisha na kutokujua kesho itakuaje??????? Wito wangu kwa viongozi kujali kwanz amaslahi ya wananchi na wawekezaji baadae. Vinginevyo ni class struggle kila mahali.
 
Sometimes natamani niwe namuda na fund

Nikakae tu pale Mtwara afu nije na kitabu "Inside-out ya gesi ya Mtwara"

Kuna vitu vingi sana vinaancha maswali kwa mtu wa kawaida kama mie

umenena vyema Kongosho.
unajua haya mambo ya kuona chama fulan ndio mkosa na kwamba wewe chama fulan ndio malaika wa kurekebisha ni makosa sana.
sion hata sababu ya watu kuona kwamba serikali imekosea kuwanyamazisha wana mtwara eti imedeploy jeshi jambo ambaloo ni nguvu kubwa sana. sasa najiuliza walitaka waachwe hadi lini?? je kuna mtu yyte ambaye anauchungu na maisha yao kiukweli?? hao waliopoteza maisha walikuwa wanategemewa je tegemezi wao wataish vipi??

imagine wanabomoa na kuchoma nyumba sasa wote waliotia uchochez nyumba zao hazijaguswa manake ziko mbali wameishia kuchoma za watu ambao hawana hatia kabisa kwao je hii ni sahihi?? imagine watoto ambao walizoea kulala ndani leo hii unawalaza kwa ndugu kisa nyumba imechomwa na wao wako innocent hawajui hata iyo gesi ni kitu gani still wanataka serikali ikae kimya??

siasa hazipaswi kuwa chuki bali zilete maendeleo ukiona zinaleta chuki basi jua siasa






hizo ni za wivu na wala hazina nia ya kumkomboa mtanzania.
 
Kama unajua kabisa central government ina nguvu, kwa hiyo ni hili ni tatizo la kimfumo kuwa mapato na maamuzi yanafanywa na central government


Je, tubadili mfumo rasilimali ziwe chini ya Tamisemi?

Je, sehemu zingine za TZ wanataka mfumo gani? Isije kuwa mkoa mmoja wa Mtwara u-bully mikoa 20+

Hili ni suala la kitaifa maana linahitaji mabadiliko ya mfumo, kwa hiyo mtwara ni sehemu tu, sio wao tu wanaopaswa kutuamulia kama taifa.

Kongosho, thanks partly ninakubaliana na wewe na partly sikubaliani. Ninakubaliana na wewe kwamba the way mambo yalivyo Central gov imekuwa dictator lakini sikubaliani na wewe kwamba hili limesababishwa na mfumo, nionanvyo mimi limesababishwa na aina ya watu wanaotuongoza. Nitakupa mifano miwili, Ghana na Botwana ambazo zinafuata exactly mfumo wetu wa kiserikali lakini huwezi kusikia migogoro ya kipuuzi kama ya Mtwara. Sioni ambacho central gov ingekipoteza kama ingeanza na wana mtwara wakati wa kubuni huu mradi kwa kuwasikiliza upande wao na kueleza kwa undani kwanini serikali inafikiria kufanya vile inavyofiria na manufaa kwa wanamtwara na watanzania kwa ujumla yatakuwa yapi. I know hilo serikali haiwezi kulifanya kwa sbb ya ubinafsi wa viongozi wetu. Kwa mfano sijasikia watu wakihoji kwanini gharama ya hilo bomba ni 4X ya gharama halisi? Kimsingi huu mradi kwa ujumla umegubikwa na harufu kibao za rushwa. Tulikosea kwenye SONGAS kwa kuweka gesi kwenye makazi ya binandamu Ubungo tunarudia tena kwa kuweka Kinyerezi why hatujifunzi kwa makosa?
 
Nakubaliana na wewe, kuna human factor imeingia kwenye suala la Mtwara, lakini je, wananchi wa Mtwara wanapinga gharama ya ujenzi kuwa 4X au wanataka gesi ibaki mtwara? ana why?

Tukikubaliana kwanza gesi kuja dar, ndio tutaanza kuhoji kwa nini gharama ni 4x, sasa hivi tunapigana vita viwili, kimoja na itoke ama isitoke, matokeo yake suala la gharama kuwa 4x hata hatulikumbuki.

Kuhusu suala la Ghana na Botswana sina hakika na kwamba wako perfcet, bukt niliwahi angalia documentary moja BBC au CNN, Ghana hatuna tofauti nao sana, sailing in the same boat of sh.t. Ila kama usikiavyo, godoro usolalia huwajui kunguni wake. Kukaa kwao kimya inaweza kuwa na sababu nyingi, uhuru wao umebanwa?? Kiongozi aliyepo si dhaifu? Sidhani kama ni jibu la moja kwa moja kirahisi.



Kongosho, thanks partly ninakubaliana na wewe na partly sikubaliani. Ninakubaliana na wewe kwamba the way mambo yalivyo Central gov imekuwa dictator lakini sikubaliani na wewe kwamba hili limesababishwa na mfumo, nionanvyo mimi limesababishwa na aina ya watu wanaotuongoza. Nitakupa mifano miwili, Ghana na Botwana ambazo zinafuata exactly mfumo wetu wa kiserikali lakini huwezi kusikia migogoro kama ya Mtwara. Sioni ambacho central gov ingekipoteza kama ingeanza na wana mtwara wakati wa kubuni huu mradi kwa kuwasikiliza upande wao na kueleza kwa undani kwanini serikali inafikiria kufanya vile inavyofiria na manufaa kwa wanamtwara na watanzania kwa ujumla yatakuwa yapi. I know hilo seraikai haiwezi kulifanya kwa sbb ya ubinafsi wa viongozi wetu. Kwa mfano sijasikia watu wakihoji kwanini gharama ya hilo bomba ni 4X ya gharama halisi? Kimsingi huu mradi kwa ujumla umegubikwa ni harufu kibao za rushwa. Tulikosea kwenye SONGAS kwa kuweka gesi kwenye makazi ya binandamu Ubungo tunarudia tena kwa kuweka Kinyerezi why?
 
Nakubaliana na wewe, kuna human factor imeingia kwenye suala la Mtwara, lakini je, wananchi wa Mtwara wanapinga gharama ya ujenzi kuwa 4X au wanataka gesi ibaki mtwara? ana why?

Tukikubaliana kwanza gesi kuja dar, ndio tutaanza kuhoji kwa nini gharama ni 4x, sasa hivi tunapigana vita viwili, kimoja na itoke ama isitoke, matokeo yake suala la gharama kuwa 4x hata hatulikumbuki.

Kuhusu suala la Ghana na Botswana sina hakika na kwamba wako perfcet, bukt niliwahi angalia documentary moja BBC au CNN, Ghana hatuna tofauti nao sana, sailing in the same boat of sh.t. Ila kama usikiavyo, godoro usolalia huwajui kunguni wake. Kukaa kwao kimya inaweza kuwa na sababu nyingi, uhuru wao umebanwa?? Kiongozi aliyepo si dhaifu? Sidhani kama ni jibu la moja kwa moja kirahisi.

Mkuu Kongosho lets put the records right, wanamtwara hawajasema kwamba hawataki gesi itoke Mtwara. Issue yao ni kwamba gesi itoke ikiwa final product na si ghafi kusafirishwa na kuja kusafishwa Dar. Ombi lao ni kwamba vijengwe viwanda vya kusafisha hiyo gesi Mtwara kutokana na sababu za kiuchumi ambazo hata mjinga anaziona kwani ziko wazi kabisa. Hivi Mtwara Corridor imefia wapi? Hii si ingekuwa avenue nzuri kabisa ya kupromote maendeleao ya Mtwara Corridor.

Dangote (the richest person in Africa) anajenga plant kubwa sana ya cement Mtwara, I'm sure angepunguza gharama kubwa sana ya umeme kama gesi ingesafishiwa Mtwara. Yamkini hata viwanda vingine kibao vingeweza kujengwa Mtwara kwa ajili ya kuexport Msumbiji, Malawi na kwingine ambako ni karibu sana ukitokea Mtwara ili tuondokane na tabia mbaya kbs ya kurundika kila kitu Dar.
 
Back
Top Bottom