Prof Sospeter Muhongo Unasubiri nini?

Prof Sospeter Muhongo Unasubiri nini?

Mkuu Kongosho lets put the records right, wanamtwara hawajasema kwamba hawataki gesi itoke Mtwara. Issue yao ni kwamba gesi itoke ikiwa final product na si ghafi kusafirishwa na kuja kusafishwa Dar. Ombi lao ni kwamba vijengwe viwanda vya kusafisha hiyo gesi Mtwara kutokana na sababu za kiuchumi ambazo hata mjinga anaziona kwani ziko wazi kabisa. Hivi Mtwara Corridor imefia wapi? Hii si ingekuwa avenue nzuri kabisa ya kupromote maendeleao ya Mtwara Corridor..

Kitaalamu ikoje? Ni rahisi kusafirisha final product au ghafi?

Dangote (the richest person in Africa) anajenga plant kubwa sana ya cement Mtwara, I'm sure angepunguza gharama kubwa sana ya umeme kama gesi ingesafishiwa Mtwara. Yamkini hata viwanda vingine kibao vingeweza kujengwa Mtwara kwa ajili ya kuexport Msumbiji, Malawi na kwingine ambako ni karibu sana ukitokea Mtwara ili tuondokane na tabia mbaya kbs ya kurundika kila kitu Dar.

Sawa, kipi bora kuhudumia 10 na kumwacha Dangote au kuhudumia mmoja na kuwaacha 10, market strategy yao ikoje?
Okay, mtwara wanaweza kuwa na viwanda baadae ama gesi ikawa chachu ya viwanda, lakini huku kuna ready mafe market tayari, kwa nini wasubiri hadi ya Mtwara ije iatamiwe? Naangalia kwa jicho la kibiashara hapa, afterall haipelekwi Kenya, ni Tanzania hii hii.

Anyway, hili suala linahitaji research zaidi na majadiliano zaidi
 
Anyway, hili suala linahitaji research zaidi na majadiliano zaidi

Now you are talking Kongosho, nimependa sana the way ulivyoconclude hapo nilipobold. Ninakubaliana na wewe mia kwa mia kwamba kuna kama kurush hivi kwenye hili jambo and I dont know why sijuwi ndio watu wamekwisha kunja chao kiko mfukoni au lah. Imagine sera ya gesi ndio kwanza waziri muongo ameitable for discussion. Kwanini tusikubaliane kwanza kwenye sera ndio hayo mengine yafuate? Tutajuaje kama tumefika tunakoenda wakati hatujui tunakoenda? Nini hicho kinachotukimbiza na kuanza safari kabla ya kuamua wapi tunaenda na tutafika kwa means zipi? Serikali ya kikwete huenda ina majibu kwenye haya maswali ambayo bahati nzuri au mbaya wanamtwara na wengine kama mimi hatujayaelewa vzr.
 
hivi kwani Prof Muhongo alikuja katika hii wizara akakuta mradi tayari ama alikuta bado?? hivi kwann usiseme kwamba liwajiabishwe bunge lote ambalo wao ndio waliounga mkono hoja ya mradi kuwepo??

je waliposema mradi uwepo na uanze walishaufanyia tathmini stahiki?? je kabla ya project implementation waliwashirikisha wananchi wakajua wananchi wanataka nini??

je wafikiri angekuja na jibu gani ilihali pesa nyingi zimeshachimbiwa chini kwenye ujenzi wa mabomba?? je viongozi na hawa wananchi wa mtwara wakiongozwa na wabunge wao walikuwa wapi wasitoe madukuduku yao kabla ya mradi kuanza ili wahoji watafaidika je na watoe mawazo yao wanataka mradi uweje??

kimsingi ningekuwa mm ningeanza na wabunge na viongozi hadi wa kata na vijiji wa mtwara as wao walikuwa ni watu muhimu sana wa kusema wanataka mradi uweje na kwann hawakusema haya kabla ya mradi kuanza.

Nitakupata wapi ni kupe ofa ya DINNER? You are among very few critical thinkers of this country.
 
Waziri wa nishati na Madini Prof Dr Sospeter Muhongo, tunakuomba ujiudhulu nafasi uliyo nayo sababau umeshindwa kabisa kuiongoza wizara. Vurugu zilizotekea Mtwara kupelekea kuuwawa kwa wananchi na uharibu wa mali za serikali na raia ni ushahidi tosha unahusika. Kulazimisha Gas ije Dar es Salaam kufurahisha wakubwa zako (KInana na wingine) bila kujali wananchi wazawa wa Mtwara ni udhaifu wa kiuongozi. Hili suala kutizamwa kisiasa kuliko uhalisia utaigharimu serikali ya CCM. Tafadhali jiudhulu kuepusha madhara zaidi maana jina lako tayari limeingizwa kwenye historia Prof asiye na uwezo wa kufikiri na kuamua.

Mch Masa Safarini Mtwara

Mchungaji wa kanisa gani vile..........hebu nikumbushe.
 
hivi kwani Prof Muhongo alikuja katika hii wizara akakuta mradi tayari ama alikuta bado?? hivi kwann usiseme kwamba liwajiabishwe bunge lote ambalo wao ndio waliounga mkono hoja ya mradi kuwepo??

je waliposema mradi uwepo na uanze walishaufanyia tathmini stahiki?? je kabla ya project implementation waliwashirikisha wananchi wakajua wananchi wanataka nini??

je wafikiri angekuja na jibu gani ilihali pesa nyingi zimeshachimbiwa chini kwenye ujenzi wa mabomba?? je viongozi na hawa wananchi wa mtwara wakiongozwa na wabunge wao walikuwa wapi wasitoe madukuduku yao kabla ya mradi kuanza ili wahoji watafaidika je na watoe mawazo yao wanataka mradi uweje??

kimsingi ningekuwa mm ningeanza na wabunge na viongozi hadi wa kata na vijiji wa mtwara as wao walikuwa ni watu muhimu sana wa kusema wanataka mradi uweje na kwann hawakusema haya kabla ya mradi kuanza.


Kwa maoni yangu, suluhisho si kwa Bw. Muhongo kujiuzulu au ke sepa. Tuliambiwa kuwa huyu Bwana ni mwanasayansi wa ki-mataifa. Na kwamba wanasayansi si watu wa blaablaa.
Nimwonavyo huyu ndugu ni kwamba anatenda kwelikweli:
1. Linganisha suala la umeme na waziri aliyepita,
2. Angalia sasa hivi hata serikali nayo ina hisa kwenye migodi,
3. Angalia sasa, Wizara yake indhamini Elimu-na huu ndo ukombozi wa wananchi,
4. Aliwaonesha wa bunge mkakati wa Wizara yake wa kujenga bomba, wakasema ndiyoooooooooooo, sasa, je, ajiuzulu kwa lipi?
Laumuni wabunge wenu, si waliwagawia khanaga mkawapa zote. Mlipokuwa mnakula wali kwenye uchaguzi mlitegemea nini?
 
Namkubali sana waziri Muhongo kwa utendaji wake ambao ni visionary. Mwisho wa yote the ends will justify the means.
 
Kwa maoni yangu, suluhisho si kwa Bw. Muhongo kujiuzulu au ke sepa. Tuliambiwa kuwa huyu Bwana ni mwanasayansi wa ki-mataifa. Na kwamba wanasayansi si watu wa blaablaa.
Nimwonavyo huyu ndugu ni kwamba anatenda kwelikweli:
1. Linganisha suala la umeme na waziri aliyepita,
2. Angalia sasa hivi hata serikali nayo ina hisa kwenye migodi,
3. Angalia sasa, Wizara yake indhamini Elimu-na huu ndo ukombozi wa wananchi,
4. Aliwaonesha wa bunge mkakati wa Wizara yake wa kujenga bomba, wakasema ndiyoooooooooooo, sasa, je, ajiuzulu kwa lipi?
Laumuni wabunge wenu, si waliwagawia khanaga mkawapa zote. Mlipokuwa mnakula wali kwenye uchaguzi mlitegemea nini?

Ukweli ulivyo ni kwamba Muhongo hajafanya lolote kustahili sifa unayojaribu kumpa. Kasome Hotuba yake uk 12 inaeleza wazi kwamba mgawo wa umeme umedhibitiwa kutokana na ruzuku ambayo Hazina ilitoa (zaidi ya bil 402), wakati Ngeleja hakuwahi kupata ruzuku ya kutosha kudhibiti mgawo, ndo maana kuna kipindi alitoa tamko akasema mgawo wa umeme ni janga la taifa.

So kwa maneno mengine ni sawa na kusema Serikali ilimhujumu Ngeleja kwa kutompa ushirikiano wakati Muhongo kapewa kila kitu, tena hiyo ilitokea mara tu Prof alipotamka Bungeni kwamba mgawo utakuwa historia! Bila ruzuku hyo mgawo ungekuwa unatuchoma hadi sasa.
 
Waziri wa nishati na Madini Prof Dr Sospeter Muhongo, tunakuomba ujiudhulu nafasi uliyo nayo sababau umeshindwa kabisa kuiongoza wizara. Vurugu zilizotekea Mtwara kupelekea kuuwawa kwa wananchi na uharibu wa mali za serikali na raia ni ushahidi tosha unahusika. Kulazimisha Gas ije Dar es Salaam kufurahisha wakubwa zako (KInana na wingine) bila kujali wananchi wazawa wa Mtwara ni udhaifu wa kiuongozi. Hili suala kutizamwa kisiasa kuliko uhalisia utaigharimu serikali ya CCM. Tafadhali jiudhulu kuepusha madhara zaidi maana jina lako tayari limeingizwa kwenye historia Prof asiye na uwezo wa kufikiri na kuamua.

Mch Masa Safarini Mtwara

Homeboy ki ukweli DAR tunaihitaji sana gesi si kwa matumizi ya kuzalisha umeme tu bali kwa kwa matumizi ya viwandani na majumbani pia. Hivi sasa wenzetu wa Mikocheni wanatumia gesi majumbani kwa matumizi ya kupikia badala ya mitungi ya Oryx ambayo ni ghali sana. Kwa mfano mama mmoja aliyeonekana kwenye TV akisema hivi sasa anatumia maximum Tsh. 150,000 tu kwa mwaka wakati kwa mitungi ya Oryx alikuwa anatumia Tshs. 648,000. Kwahiyo ujenzi wa bomba la gesi kutoka huko inakozalishwa kuja DAR hauepukiki. Serikali inatakiwa iwaeleweshe wana Mtwara na wawatengenezee mazingira mazuri ya kunufaika nayo huko na si kuiona gesi inakwenda kwingine wao wakiwa wanaiangalia tu. Soma Post ya Nazdaz hapa chini kachambua vizuri.

Binafsi hiyo Ripoti ya juu kabisa ambayo inazungumzia suala la kujenga njia za umeme kutoka Mtwara hadi Singida sizani kama ni ripoti ambayo ilifanya utafiti wa kutosha kiuchumi!!

Hilo moja, lakini vile vile nazani wengi wetu hapa tunachukulia suala la Gesi kama raw material ya umeme peke yake, lakini gesi ni zaidi ya umeme! Kama tutaamua kutekeleza project ya hapo juu (kuzalisha umeme Mtwara) hapo manake Gas is just for electricity unless hapo baadae serikali iingie gharama zingine za kujenga njia kwa ajili ya matumizi ya gesi kama gesi! Unapojenga bomba la gesi kimsingi ni kwamba unaua ndege wawili kwa jiwe moja at the same time minimizing cost! HOW? Coz' the same transported gas itakuwa ni raw material for production of electricity baada kufikishwa kwenye processing plant and another portion for domestic and industrial use!

Economically, always goods zina-flow to places where there's higher demand, na ndio maana popote utakapoenda gas inakuwa transported to urban areas where there's higher demand and large number of consumers. So, tukichukua gas kama gas, haina enough consumers in Mtwara, and probably in many areas of Tanzania! Lakini Dar es salaam, demand hiyo ipo; not only for industrial but also for domestic use!

Hoja yangu hapa ni kwamba, hata kama tutalazimika kuifanya Mtwara ndiyo processing and production centre ya umeme kisha usambazwe sehemu zingine nchini, bado ulazima wa kujenga bomba utabaki pale pale endapo tunataka kuwa rational kwenye matumizi ya raslimali! Dar es salaam and other cities need gas for industrial and domestic use! So, suala la kujenga bomba is inevitable!

Vile vile kiuchumi huwezi kusema kwamba Gesi ikibaki pale pale kwavile ita-stimulate viwanda! Nasema huwezi kuweka hiyo hoja coz' suala la zima linahusu large investment! Huwezi kuwekeza Millions of Dollars kisha ndipo usubiri wateja watakaotumia gesi husika! Hicho kitu hakipo kwenye uchumi wowote duniani!

From economic point of view, Gas need to be transported to regions where's there's high demand and not otherwise! Na kwavile gas inayosafirishwa inakuwa imeshasafishwa, then sioni kama ndugu zangu wa Mtwara wana cha kupoteza. Jambo la kuzingatia hapa ni kwamba ni lazima gesi isafishwe Mtwara na vile vile pawe na outlet pale Mtwara ili ukifika wakati wa Gas demand, iweze kutumika hata Mtwara.
 
Homeboy ki ukweli DAR tunaihitaji sana gesi si kwa matumizi ya kuzalisha umeme tu bali kwa kwa matumizi ya viwandani na majumbani pia. Hivi sasa wenzetu wa Mikocheni wanatumia gesi majumbani kwa matumizi ya kupikia badala ya mitungi ya Oryx ambayo ni ghali sana. Kwa mfano mama mmoja aliyeonekana kwenye TV akisema hivi sasa anatumia maximum Tsh. 150,000 tu kwa mwaka wakati kwa mitungi ya Oryx alikuwa anatumia Tshs. 648,000. Kwahiyo ujenzi wa bomba la gesi kutoka huko inakozalishwa kuja DAR hauepukiki. Serikali inatakiwa iwaeleweshe wana Mtwara na wawatengenezee mazingira mazuri ya kunufaika nayo huko na si kuiona gesi inakwenda kwingine wao wakiwa wanaiangalia tu. Soma Post ya Nazdaz hapa chini kachambua vizuri.

Homeboy

Unajua huu mkataba wa Gas ya Mtwara uko na siri kubwa sana! Kuna wajanja wamekula 10% gharama za ujenzi ni mara nne ya gharama halisi. Ningependa hiyo gas ifike mpaka kanda ya ziwa ili tusiendelee kukata miti kwa kuni za kupikia. Ila wanamtwara waone na wao wananufaikaje. Nilikuwa Geita ni mashimo tupu na uchafuzi wa mazingira ile dhahabu ndugu zetu kule hawaoni sababu yake. Kosa hilo lisiotokee Mtwara. Prof Muhongo afanye kazi kama msomi asipelekeshwe na wanasiasa. kuna siri kubwa sana na huu mradi kumbuka kuna watu wamegawana vitalu wanamtwara wanataka haribu dili. UMENISOMA WA KUKAYA
 
Kwa maoni yangu, suluhisho si kwa Bw. Muhongo kujiuzulu au ke sepa. Tuliambiwa kuwa huyu Bwana ni mwanasayansi wa ki-mataifa. Na kwamba wanasayansi si watu wa blaablaa.
Nimwonavyo huyu ndugu ni kwamba anatenda kwelikweli:
1. Linganisha suala la umeme na waziri aliyepita,
2. Angalia sasa hivi hata serikali nayo ina hisa kwenye migodi,
3. Angalia sasa, Wizara yake indhamini Elimu-na huu ndo ukombozi wa wananchi,
4. Aliwaonesha wa bunge mkakati wa Wizara yake wa kujenga bomba, wakasema ndiyoooooooooooo, sasa, je, ajiuzulu kwa lipi?
Laumuni wabunge wenu, si waliwagawia khanaga mkawapa zote. Mlipokuwa mnakula wali kwenye uchaguzi mlitegemea nini?

Mkuu kuna watu wanamshambulia Prof. Muhongo bila kujuwa mapinduzi aliyoyaleta katika vizara yake. Alikuta migodi mikubwa hailipi lile gawiwo la mil. 200 kwa halmashauri ilimo migodi na wakaanza kulipa mara moja. Wengine walikuwa hawajalipa kodi kwa miaka kadhaa wakaadha kulipa. na Kama ulivyosema hivi sasa tunapa share kwenye migodi badala ya ile 3 % tu. TPDC walikuwa wanakula tu pesa zilizokuwa zinatolewa na Norway na wafadhili wengine kwa ajili ya kusomesha vijana wetu kwenye sekta ya mafuta na gesi, hivi sasa zinatumika inavyotakiwa. Mgawo wa umeme kauthibiti na hata kama alipata hiyo ruzuku ya Bil. 402 toka hazina inaonyesha jitihada zake. Na mipango/mikakati aliyonayo kwenye umeme, mafuta, gesi na madini inaleta matumaini ya nchi kunufaika sasa na rasilimali hizo tofauti na ilivyokuwa huko nyuma.
 
Homeboy

Unajua huu mkataba wa Gas ya Mtwara uko na siri kubwa sana! Kuna wajanja wamekula 10% gharama za ujenzi ni mara nne ya gharama halisi. Ningependa hiyo gas ifike mpaka kanda ya ziwa ili tusiendelee kukata miti kwa kuni za kupikia. Ila wanamtwara waone na wao wananufaikaje. Nilikuwa Geita ni mashimo tupu na uchafuzi wa mazingira ile dhahabu ndugu zetu kule hawaoni sababu yake. Kosa hilo lisiotokee Mtwara. Prof Muhongo afanye kazi kama msomi asipelekeshwe na wanasiasa. kuna siri kubwa sana na huu mradi kumbuka kuna watu wamegawana vitalu wanamtwara wanataka haribu dili. UMENISOMA WA KUKAYA

Nakusomaga chiza gete wakukaya.
Hapo kwenye gharama ndo pana tatizo na bunge lilitakiwa sasa kuibana serikali kwa ufisadi huo mkubwa. Inaonekana hata Prof. Muhongo ana implement tu ila pesa zilishaliwa na wajanja na huenda zikawa zimeingia kwenye akaunti kuu ya chama cha kijani. Kwa maana wajuzi wa mambo wanasema kuwa pesa hizo japo ni mkopo kutoka benkiya exim ya China hazijaingia hazina ya hapa kwetu TZ bali zimepelekwa moja kwa moja kwenye kampuni inayojenga bomba hilo, unaona hapo. Hapo sasa unauona ufisadi kiwaziwazi .
 
Homeboy

Unajua huu mkataba wa Gas ya Mtwara uko na siri kubwa sana! Kuna wajanja wamekula 10% gharama za ujenzi ni mara nne ya gharama halisi. Ningependa hiyo gas ifike mpaka kanda ya ziwa ili tusiendelee kukata miti kwa kuni za kupikia. Ila wanamtwara waone na wao wananufaikaje. Nilikuwa Geita ni mashimo tupu na uchafuzi wa mazingira ile dhahabu ndugu zetu kule hawaoni sababu yake. Kosa hilo lisiotokee Mtwara. Prof Muhongo afanye kazi kama msomi asipelekeshwe na wanasiasa. kuna siri kubwa sana na huu mradi kumbuka kuna watu wamegawana vitalu wanamtwara wanataka haribu dili. UMENISOMA WA KUKAYA
Mkuu wangu Masanilo,
Kwanza hapa sitazungumzia hilo la 10% manake nafahamu hata kama mradi wote utabaki Mtwara bado hakuna guarantee kwamba hapatakuwa na 10%. Hapa nitaeleza juu ya gas kusafirishwa kuja Dar na endapo wana-Mtwara wanaweza kunufaika na gesi hiyo.

Awali ya yote, lazima tufahamu kwamba ONLY purified gas ndiyo inaweza kusafirishwa kwa pipelines. Gas in gas wells inakuwa in mixture form na purification inafanyika at or karibu kabisa na visima vya gesi. So, there's no way kwamba Gas inaweza kusafishwa/purified nje ya Mtwara! Hata Gas kutoka Songosongo inasafishwa kule kule kisiwani before the purified gas kuwa transported to Dar es salaam through the pipeline.

After purification kinachobaki ni pure gas for transport/use na byproduct. Hizi byproducts is not waste product bali ni raw materials ambazo zinaweza kutumika kwa matumizi ya vitu vingine kama vile utengenezaji wa mbolea. Kwahiyo, opportunity ya kwanza kwa wana-Mtwara ni hii byproduct ambayo inaweza kutumika kwa ujenzi wa viwanda vya mbolea.....na kama sikosei, nazani inatumika hadi katika utengenezaji wa saruji na bidhaa za plastic.

Mtwara kama Mtwara kuna favorable condition for investments hivyo sioni mwekezaji (say) kwenye sekta ya mbolea akaamua kusafirisha gas byproducts from Mtwara na kwenda kujenga kiwanda cha mbolea sehemu nyingine mbali na Mtwara! Na kama kumbukumbu zangu zipo sawa, nazani kule kuna mwekezaji ambae ana mpango wa kujenga the largest fertilizer factory kule kule Mtwara. Hivyo basi, kitu cha kwanza ambacho wana-Mtwara wanatakiwa kukipigania kwa nguvu zote ni kuhakikisha any investments as a results of natural gas byproducts zinafanyika Mtwara and nowhere else! Na yeyote atakayetaka kufanya nje ya Mtwara hatakuwa na sababu za msingi za kufannya hivyo!

Tukirudi kwenye suala la pipeline, hapa tunapaswa kukumbuka kwamba kinachotaka kujengwa is not just a pipeline but like a Highway Pipeline. Mabomba ya aina hii huwa yanakuwa na outlets. Hivyo basi, hapa kinachotakiwa kupiganiwa na wana-Mtwara ni kuhakikisha lazima kunakuwa na at least one outlet ndani ya Mtwara. Hii outlet ndiyo itakayotoa gesi kwa ajili ya matumizi ya Mtwara, domestically na kwenye viwanda. Uwepo wa hii outlet ndani ya Mtwara ndiyo itakayochochea investment ndani ya Mtwara yenyewe. So, wakati gas inakuja Dar es salaam bado kutakuwa na gas nyingine ndani ya Mtwara yenyewe. Kama alivyozungumza rmashauri, Dar es salaam kuna mahitaji makubwa sana ya gas. Na hii sio kwamba ni kuipendelea Dar es salaam, bali hali yenyewe ipo hivyo na uletwaji wa Gas Dar es salaam una positive effect not only for wana-Dar es salaam but for the whole Tanzanian economy. Dar es salaam kuna consumption kubwa sana ya energy to the point kwamba, leo hii tukisema umeme wote unaotumika Dar es salaam uhamishiwe mikoani, basi mikoani hapatakuwa na shida tena ya umeme! Mimi nazani ukiondoa miji kama Mwanza na Arusha, si ajabu umeme unaotumika kwenye mikoa yote collectively hauwezi kufukia ule wa Dar es salaam! So, kui-diversify Dar es po salaam with energy sources, kutasaidia sana kuongeza availability of power/energy kwenye mikoa/miji mingine.

Vile vile kuna cku nilikuwa naongea na bwana mmoja, huyu ni senior official wa mamlaka ya bandari. Huyu bwana si mwanasiasa na wala hana affiliation yoyote na mambo ya siasa! Na kimsingi, tulikuwa tunaongelea jambo lingine kabisa ambalo wala halihusiani na masuala ya serikali au ya gesi. Katika maongezi yake aliniambia mpango wa mamlaka ya bandari kupanua bandari ya Mtwara! Sina hakika mpango huo utafanyika lini, lakini mpango kwenye vitabu vya bandari upo!

Nini lengo kuu la kupanua bandari ya Mtwara? Kimsingi kuna kiasi kikubwa sana cha gas kwenye pwani ya Lindi na Mtwara kiasi ambacho ni kingi mno even for the whole Tanzanian economy. So, mpango uliopo ni kufanya exportation ya Liquefied Natural Gas(LNG). So, jambo lingine ambalo wana-Mtwara wanatakiwa kulipigania wana-Mtwara ni hili la kuhakikisha kwamba LNG inakuwa exported just through Mtwara Habor!

Hata hivyo, bado katika hili sina shaka nalo sana coz' sioni ni namna gani Liquefaction Plant (plant to convert gas from gaseous to liquid form) for offshore gas available in Mtwara inaweza kujengwa sehemu nyingine mbali na Mtwara!! Vilevile hii gas ikishakuwa liquefied ni lazima iwe loaded kwenye special ships ambazo ni maalumu for transportation of LNG. So, ukiangalia hapa napo, sioni ni namna gani unaweza kukwepa uwezekano wa bandari ya Mtwara kuwa ndiyo loading terminal.

So, ukiangalia mambo yote hayo utagundua kwamba shughuli nyingi zitakazohusiana na gas zitafanyika Mtwara kwenyewe na challenge iliyopo ni kwa wana-Mtwara wenyewe kuangalia ni namna gani wanaweza ku-take advantage of gas economy/activities in the area.

c.c THE BIG SHOW, rmashauri, JokaKuu, EMT, Invisible, Gesi-Mtwara, RevolutionaryTZ, Fidel80, Ibambasi, Kobello, Nambukwa
 
Back
Top Bottom