Prof Sospeter Muhongo Unasubiri nini?

Prof Sospeter Muhongo Unasubiri nini?

Mara ya kwanza nilidhani swala la gesi Mtwara ni la wananchi wa Mtwara kumbe ni la Chadema.

Evidence....Mtwara kumbe kuna CDM nilijua wako Kaskazini tu
 
mtoa hoja uko kisiasa swala lenyewe liko kisiasa.ndio maana zinazo chomwa ni ofisi za chama kimoja tu.je hiyo sio issue ya kisiasa kweli?
 
mtwara wawakumbusha watawali jinsi wanavyo kuyla nchi kwaniaba yao sasa wanasema basi wanataka watawala wauone umaskini ulivyotawala mtwara hivyo acheni hizo nganjera zenu za kuwaona wananchi wamtwara kuwa hawataki na gesi hii ni msg kwawatawale kuwa hawako tena tayari kuukumbatia umaskini tena watawala wajifunje kwahili vinginevyo wengine nao wataalianzisha mwanzoni mliwaita wahuni sijui kwasasa mtawaitaje
 
Jamani tuacheni unafiki, ukweli ubaki kuwa ukweli. Huyu jamaa Prof Muhongo sasa hivi ana mwaka mzima wizarani na hajafanya lolote kuhusu elimu kwa wana Mtwara na Lindi sasa kwa nini asiwajibike? 1 yr inatosha kuuelimisha umma. Ukweli ni kwamba Muhongo ni mzee wa sound, ni muongo sana kama lilivyo jina lake kwa sababu zifuatazo:

1. Mwaka jana wakati anawasilisha bajeti yake alitoa kauli za ulaghai na kuuhadaa umma kwamba kuna wabunge wanafanya biashara na Tanesco. Tume ya Bunge ilipoundwa ikabaini yeye na Katibu Mkuu wake Maswi wote walilidanganya Bunge kwa makusudi ili kulinda mikate yao! Ofcoz kwa kosa hilo walipaswa kuachia ngazi lakini wengi tunajua kwamba Serikali ilitumia nguvu nyingi kumrubuni Spika Makinda ili awapunguzie adhabu, hivyo akawapa onyo kinyume na matarajio ya wengi kwamba wangewajibishwa ili kuwa funzo kwa wanaoongopa ndani ya jumba takatifu.

2. Ni Prof Muhongo huyo huyo aliyetoa kauli ya kianaharakati kwamba Tanesco ilikuwa haihitaji mkopo wa kupambana na mgawo wa umeme isipokuwa tatizo lilikuwa kwa Menejimenti. lakini Hotuba ya Muhongo huyohuyo kwa sasa Uk 12 inakiri kutoa ruzuku kwa Tanesco ya mabilioni ya walipa kodi (zaidi ya bil 402 kwa mwaka mmoja tu tangu aingie madarakani). Fedha yote hii imetumika kununua mafuta za kuzalishia umeme. Hii inashangaza sana maana Ngeleja alikuwa akipigiwa kelele kwa kuomba fedha ya kununulia mafuta isiyofikia bil 50 lakini wafitini wake wakaona anachonga deal, sasa kwa ukweli huu nani aliyekuwa makini huyu Muhongo muongo au Ngeleja aliyetolewa kafara kwa wivu, unafiki na fitna za kisiasa?

3. Prof Muhongo na Maswi mwaka jana wakashirikiana kuvunja sheria ya manunuzi kwa kununua mafuta kutoka kampuni ya Puma kinyume na taratibu kwa kigezo cha uzalendo kumbe jamaa waliwekwa sawa, Wabunge walipotaka kuwawajibisha PM akawakingia kifua, ingawa taarifa ya CAG imewaumbua!

4. Pamoja na majigambo mengi aliyoingia nayo wizarani, Prof Muhongo na wasaidizi wake hawajafanya lolote jipya. Angalia hotuba yake, imejaa miradi aliyoianzisha Mr Megawati (Ngeleja). Jamaa hana jipya ila mbwembwe kibao!

5. Prof Muhongo na Naibu wake Simbachawene mwaka jana wakaihadaa dunia kwamba mgawo wa umeme ulikuwa unatengenezwa mezani. Kauli hiyo ililenga kujipatia umaarufu na kuwadhalilisha Ngeleja na Malima, lakini sasa kila mwenye akili timamu anajua kwamba Muhongo na Simbachawene ni waongo na walaghai waliobobea, wanameza matapishi yao. Mfano, mgao wa umeme waliotaka kuutumia kujipatia umaarufu umewaumbua kwa sababu wametumia zaidi ya bil 400 kununua mafuta wakati akina Ngeleja na Malima hawakuwahi kutufikisha huko! Madhara ya ulaghai wao umeifanya Serikali ishindwe kutekeleza miradi mingi ya maendeleo kwa mwaka huu-mfano fedha zote zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya umeme vijijini kwa mwaka 2012/2013 zilipelekwa kununua mafuta ya umeme ili kumkinga Muhongo asiaibike kwa kauli zake.

Mwisho,

Ni jambo la kusikitisha kwamba viongozi waongo kama hawa wanafumbiwa macho, sijui Idara ya Usalama wako wapi kumshauri Rais, credibility ya Serikali inashushwa na hawa jamaa,sijui labda tusubiri tuone!
 
Alifungulia mbwa wakamla muke yake aliliwa na mbwa mpaka akafa halafu yeye anashuhudia na kushangilia mama kupiga kelele watu kuja kumuokoa na kumpeleka hospital it was too late
Tuhuma nzito sana! Toka siku ya kwanza nilipomuona ktk Tv,alionekana ni mtu hasiye na amani na akili haijatulia! Kwa ufupi anaonekana ni mgonjwa wa akili. Issue ya Mtwara isingefikia hapa kama siyo dharau na kukosa umakini kwa huyu msomi ambaye hakuelimika.
 
hivi kwani Prof Muhongo alikuja katika hii wizara akakuta mradi tayari ama alikuta bado?? hivi kwann usiseme kwamba liwajiabishwe bunge lote ambalo wao ndio waliounga mkono hoja ya mradi kuwepo??

je waliposema mradi uwepo na uanze walishaufanyia tathmini stahiki?? je kabla ya project implementation waliwashirikisha wananchi wakajua wananchi wanataka nini??

je wafikiri angekuja na jibu gani ilihali pesa nyingi zimeshachimbiwa chini kwenye ujenzi wa mabomba?? je viongozi na hawa wananchi wa mtwara wakiongozwa na wabunge wao walikuwa wapi wasitoe madukuduku yao kabla ya mradi kuanza ili wahoji watafaidika je na watoe mawazo yao wanataka mradi uweje??

kimsingi ningekuwa mm ningeanza na wabunge na viongozi hadi wa kata na vijiji wa mtwara as wao walikuwa ni watu muhimu sana wa kusema wanataka mradi uweje na kwann hawakusema haya kabla ya mradi kuanza.

Tatizo la huyu waziri ni kwamba siyo diplomatic. Ashukuru Mungu ubunge wake ni wa kuteuliwa. Huyu akienda kugombea ubunge hawezi kupata kura kwa kuwa maneno yake ni ya kuudhi. Huwa hajui hadhira anayozungumza nayo. Mara nyingi anafikiri anatoa lecture. He could be intelligent, fine. But he lacks diplomacy.:smash:
 
Waziri wa nishati na Madini Prof Dr Sospeter Muhongo, tunakuomba ujiudhulu nafasi uliyo nayo sababau umeshindwa kabisa kuiongoza wizara. Vurugu zilizotekea Mtwara kupelekea kuuwawa kwa wananchi na uharibu wa mali za serikali na raia ni ushahidi tosha unahusika. Kulazimisha Gas ije Dar es Salaam kufurahisha wakubwa zako (KInana na wingine) bila kujali wananchi wazawa wa Mtwara ni udhaifu wa kiuongozi. Hili suala kutizamwa kisiasa kuliko uhalisia utaigharimu serikali ya CCM. Tafadhali jiudhulu kuepusha madhara zaidi maana jina lako tayari limeingizwa kwenye historia Prof asiye na uwezo wa kufikiri na kuamua.

Mch Masa Safarini Mtwara

Profesa muhongo ni mropokaji anayeweza kuharibu amani ya Nchi, tatizo lake kubwa ni ujuaji as if yeye ndie mtanzania wa kwanza kupata shahada ya uzamivu (phd) katika miamba (geology). Kauli zake ni chafu na za kuudhi, kitu asichojua ni kuwa serikali kaikuta na ataaicha. Hapa ndo na mkumbuka mzee wa sound na megawatss negereja, alikuwa na mbwembwe nyingi ila amani ilitawala kwenye gesi, alijua siasa.
 
Am sorry but every time when i See this Prof. I remember about his wife.
He is very dangerous, a murderer i wonder why he is a minister while we all know that he kill his wife just because he doesn't love her anymore.


Vyombo vya sheria hauvifahamu?
 
prof MUhongo si kiongozi ni mtawala mgomvi,mjivuni,na aliyejaa dharau kuliko kawaida uliona jana kaja na ramani bdala ya mikataba eti anaonyesha bomba na viwanda vya kufikirika vitakavyojengwa Mtwara
hana Courtesy kabisa,hajui neon gani atamke wapi na wakati gani,yeye ameuchochea ugomvi huu kuliko mwingine, aondoke atuachie nchi yetu salama
 
Am sorry but every time when i See this Prof. I remember about his wife.
He is very dangerous, a murderer i wonder why he is a minister while we all know that he kill his wife just because he doesn't love her anymore.


Umeona kuongelea ngono MMU hakukutoshi sasa unatafuta matatizo. WE ALL KNOW, wewe na nani?

Wewe binti yaelekea vag..a yako ni more active than brain.
 
Waziri MUHONGO NI JANGA LA TAIFA. Huyu mzee anadharau zisizo za kawaida. Anajiona bora kuliko kila mtanzania. Ni mwana majigambo na MNAFIKI HASWA. NI BORA JK Akamuondoa kwenye huo wadhifa kwa maslahi ya taifa

HAKUNA MTUMISHI wizarani ambaye Muhongo hajamzungumzia mbovu. Rais Kikwete, kwa Maslahi ya taifa, muondoe Muhongo. Huyu mtu ana historia mbaya sehemu zote ambako amefanya kazi.

Huyu mtu alimuua mkewe kikatili huku akisherekea maafa hayo. Kauli zake anazoendelea kutoa huku machafuko yakiendelea Mtwara inaonyesha wazi kabisa kwamba siyo mtu mwenye akili TIMAMU ATAKAYEWEZA KULETA MAENDELEO. Waziri Mkuu Pinda na Rais Kikwete, Bora Mkachukua Hatua dhidi ya huyu waziri. Bora David Mathayo na hata Mulugo kuliko Muhongo
 
Waziri MUHONGO NI JANGA LA TAIFA. Huyu mzee anadharau zisizo za kawaida. Anajiona bora kuliko kila mtanzania. Ni mwana majigambo na MNAFIKI HASWA. NI BORA JK Akamuondoa kwenye huo wadhifa kwa maslahi ya taifa

HAKUNA MTUMISHI wizarani ambaye Muhongo hajamzungumzia mbovu. Rais Kikwete, kwa Maslahi ya taifa, muondoe Muhongo. Huyu mtu ana historia mbaya sehemu zote ambako amefanya kazi.

Huyu mtu alimuua mkewe kikatili huku akisherekea maafa hayo. Kauli zake anazoendelea kutoa huku machafuko yakiendelea Mtwara inaonyesha wazi kabisa kwamba siyo mtu mwenye akili TIMAMU ATAKAYEWEZA KULETA MAENDELEO. Waziri Mkuu Pinda na Rais Kikwete, Bora Mkachukua Hatua dhidi ya huyu waziri. Bora David Mathayo na hata Mulugo kuliko Muhongo

Yaani aliua mke halafu bado anatembea barabarani akiwa huru? Why? Ni lini hiyo? Akina Hellen Kijo Bisimba na Sungusia wanajua hili? Poor woman! Why then is he a minister? Kwa nini aliendelea kuwa mhadhiri UDSM? Labda mnamsingizia. Kama ni kweli it is highly unacceptable. :shetani:
 
hivi kwani Prof Muhongo alikuja katika hii wizara akakuta mradi tayari ama alikuta bado?? hivi kwann usiseme kwamba liwajiabishwe bunge lote ambalo wao ndio waliounga mkono hoja ya mradi kuwepo??

je waliposema mradi uwepo na uanze walishaufanyia tathmini stahiki?? je kabla ya project implementation waliwashirikisha wananchi wakajua wananchi wanataka nini??

je wafikiri angekuja na jibu gani ilihali pesa nyingi zimeshachimbiwa chini kwenye ujenzi wa mabomba?? je viongozi na hawa wananchi wa mtwara wakiongozwa na wabunge wao walikuwa wapi wasitoe madukuduku yao kabla ya mradi kuanza ili wahoji watafaidika je na watoe mawazo yao wanataka mradi uweje??

kimsingi ningekuwa mm ningeanza na wabunge na viongozi hadi wa kata na vijiji wa mtwara as wao walikuwa ni watu muhimu sana wa kusema wanataka mradi uweje na kwann hawakusema haya kabla ya mradi kuanza.


Ili kutoa maoni yao juu ya mradi wowote ule wananchi inabidi washirikishwe ; inaelekea katika huu mradi wa gesi asilia wananchi wa Mtwara hawakushirikishwa ipasavyo wakati wa project preparation na ndio maana matatizo yanazuka sasa wakati wa utekelezaji wa mradi!!! Kikwete na serikali yake wanafanya makosa makubwa kutaka kutumia nguvu za dola ili kufanikisha utekelezaji wa mikataba yao walioingia na serikali ya China kwasababu hawawezi kufanikiwa otherwise it will be very costly to implement those projects in terms of human life and financial resources!!
 
Masanilo,

..hapa nilipo najiuliza Waziri wa mambo ya Ndani, Mkuu wa Usalama wa taifa, IGP, na RPC, walikuwa wapi mpaka vurugu zote hizi zitakatokea?

..Vurugu hizi zimetokea ghafla tu, au kuna watu walipanga kufanya vurugu na uharibifu wa mali??

gfsonwin,

..ulipopendekeza wabunge washughulikiwe, ulikuwa unafahamu kwamba kwa mfumo wetu RAISI ni sehemu ya bunge??

..je, unafahamu kwamba RAISI ana mamlaka ya kukataa kupitisha jambo lolote lile liloridhiwa bungeni??

..binafsi nadhani kitu cha msingi ni SERIKALI kwenda kuzungumza tena na wananchi wa Mtwara.

..wawaelimishe kuhusu hatua za muda mfupi na muda mrefu watakazochukua kurekebisha makosa yaliyofanyika kwa muda mrefu.

CC: Maundumula, THE BIG SHOW, ZeMarcopolo
 
Back
Top Bottom