Ni jambo la heri sana tuwe realistic kuliko kukurupuka na kuzusha vitu ambavyo si vya kweli. Alichokizungumza Profesa Sospeter Mwijarubi Muhongo mara baada ya kuapishwa ni kwamba anatambua tatizo la umeme liliopo nchini kwa sasa na amejipanga kikamilifu kukabiliana nalo ambapo akasisitiza kwa wakati huu tulitakiwa tuwe angalau na 1500MGW kitu ambacho hatuna mpaka sasa. Kitu alichokieleza ni kuwa na mipango mifupi na mirefu kuhakikisha kuwa tunakuwa na umeme wa kutosha infuture angalau 3000MGW ili tuweze kuwa na excess ambayo tunaweza kuuza mpaka nchi za jirani. Changamoto nyingine aliyoianisha ni kuweza kuongeza idadi ya watumiaji kutoka 14% mpaka 75% kwa siku za baadaye ambapo alizungumza atajitahidi kutumia uwezo wake na utalamu wake kuona anawezesha taifa letu kufikia hatua hizo siku za usoni.
Na kwa tunaomfahamu Profesa tunasema hilo linawezekana kabisa kwa kuzingatia uwezo alionao mwanazuoni huyu nguli. Kimsingi nchi yetu imejaliwa kuwa na vyanzo vingi vya umeme ambavyo tumekuwa hatuvitumii. Tangu tupate uhuru zaidi ya miaka 50 tumekuwa tukitegemea uzalishaji wa umeme through Hydro Electric Power through mabwawa yetu ya Mtela, Kidatu na kwengineko. Kuna mradi mkubwa wa stieglers gorge ambao kama ukikamilika tunaweza kupata dhaidi ya 3000MGW. So kwa uwekezaji katika mradi kama huu uwezekano wa kuwa na umeme wa kutosha na kuuza mpaka nje ya nchii upo kabisa. Mauritius wameweza wamefanikiwa 95% ya watu wake wana umeme kwa nini hapa wenye kila aina ya sources tushindwe????
By 2020, Africa will account for 20% of global oil and gas discoveries, e.g. Tanzania has natural gas reserves estimated at 7.5 trillion cu. Ft. A conservative estimate shows that Africa has coal deposits to last it for over 300 years (e.g. Tanzania has over 1.5 billion tons of coal). Jamani kwa haya makaa yam awe yote yaliopo na kiasi ikubwa cha gas reserves tunashindwaje kufikia hizo 3000MGW???
Renewable energies are the energies of the future. Scientists argue that the solar energy that hits the Earth exceeds the global energy needs by ~10,000 times. (Je ni kiasi gani cha jua tulichonacho jamani??) Tunahitaji kuwa na massive investment kwenye miradi mikubwa ya kuzalisha umeme kwa kutumia nguvu za jua?? Tazameni sasa wenzetu walivyo serious, Europe has set a target of reaching 20% of its total energy consumption to be generated, by 2020, from renewable energy sources. The global solar energy market is considered to be increasing by 40% every year and is expected to grow from US$13 billion (2011) to US$32 billion by this year. The European Desertec solar project in northern Africa is investing 400 billion for the utilization of the Saharan solar energy.
The largest wind farm in Africa is located in the Gulf of El Zayt, Red Sea, Egypt (Zafarana wind farm, 200 MW) and has attracted an investment of 340 million from Germany. Kule Singida kwa kina Tundu Lissu na Lazaro Nyalandu kuna potential kubwa sana ya kuwa na windfarm ambapo tunaweza kupata zaidi ya 200MGW
Bado tuna potential sites for georthermal katika nchi hii where two potential target areas for geothermal exploration singled out so far are: Arusha region near the Kenyan border in the North; and Mbeya region between Lake Rukwa and Lake Nyasa in the southwest. Another potential area (Luhoi) was prospected during 1998-2002 by First Energy Company of Tanzania. Haya yote tukisema tuyatumie tunaweza tukafanya makubwa sana??
Uwezo wa Profesa una fahamika wasi wasi upo kwenye mfumo wa serikali je utakuwa tayari kupokea mapendekezo yake na kuamua kuwekeza kwenye miradi mikubwa ya umeme???
Tumpe Profesa Ushirikiano ni kiongozi wa dhati na mjamaa kweli kweli aliye tayari kusave for this nation kama navyosema mwenyewe sio mwana siasa ni mwanasayansi mtaalamu...........