M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Hii hapa chini ni excerpts kutoka gazeti la Mwananchi la leo likinukuu a very bold pledge kutoka kwa waziri mpya wa nishati na madini, prof sospeter muhongo.
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo alisema umeme ni kipaumbele muhimu kwake akisema sasa anashangaa kwa nini nchi haina megawati 1,500 za uhakika.
Alisema atahakikisha Watanzania wanapata umeme wa uhakika na kujitahidi kuwa na megawati zipatazo 5,000ambazo zitasaidia kukuza uchumi na kupunguza makali ya umeme kwa wananchi.
my take:
sote twajua kwamba there has been a lot of hype kuhusu uwezo wa prof muhongo. hii imepelekea watu wengi kuwa na expectations kubwa baada ya yeye kuchukua portfolio hii muhimu sana kiuchumi.
my only (and biggest) concern ni hili la yeye kutoa pledge ya 5,000 MW. this is massive, isn't it?
is this one of those unfortunate political outbursts or the guy really knows what's talking about? does he realise the odds stacked up against him and has therefore factored them into this massive pledge?
if it's a political outburst, then this extensively hyped professor has shot himself on the foot even before climbing an inch up his political career ladder!
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo alisema umeme ni kipaumbele muhimu kwake akisema sasa anashangaa kwa nini nchi haina megawati 1,500 za uhakika.
Alisema atahakikisha Watanzania wanapata umeme wa uhakika na kujitahidi kuwa na megawati zipatazo 5,000ambazo zitasaidia kukuza uchumi na kupunguza makali ya umeme kwa wananchi.
my take:
sote twajua kwamba there has been a lot of hype kuhusu uwezo wa prof muhongo. hii imepelekea watu wengi kuwa na expectations kubwa baada ya yeye kuchukua portfolio hii muhimu sana kiuchumi.
my only (and biggest) concern ni hili la yeye kutoa pledge ya 5,000 MW. this is massive, isn't it?
is this one of those unfortunate political outbursts or the guy really knows what's talking about? does he realise the odds stacked up against him and has therefore factored them into this massive pledge?
if it's a political outburst, then this extensively hyped professor has shot himself on the foot even before climbing an inch up his political career ladder!