Prof. Safari, Maandamano yapo palepale

Prof. Safari, Maandamano yapo palepale

tutakuwepo, lazima tuandamano wanataka au hawataki.
Twambieni, tuje na nini viongozi wetu.
 
Tunawaomba polisi wasituingilie tunapotetea haki, ni pamoja na haki zao wenyewe, waache kutumika kama kondomu, isije ikafikia wakatulazimisha tukawaita na wao ni mbwa, akiamriwa kubweka anabweka hovyo hovyo!

Sasa mnashinda jf kufanya nini??

Andamaneni kwani dawa yenu si mnaijua??
 
Haya ona sasa,.....

167116_10150115988438384_508543383_7639630_2013089_n.jpg
3.jpg

Du! Hamjajifunza Kwamba Fujo na maandamano ndio vinawagharimu Haya endeleeni.
 
Ajabu ni hii kwa nini polisi wa tz ni wapenda fujo na wasio na taaluma zaidi ya namna ya kulinda mandamano?
 
Punguani mpo wengi. Hujaombwa wala kulazimishwa kuandamana, unawashwa na nini? Kaa chumbani na mkeo na wanao, hakuna anayekuhitaji. Wenye akili na uzalendo wataandamana, majuha na waoga watajifungia majumbani mwao.

Tuwaone viongozi wa chadema wako mbele na wake zao na watoto wao.. sio.kila siku kuwaacha waandamaji wanaumizwa wao wamejifungia nyumbani
 
Tuwaone viongozi wa chadema wako mbele na wake zao na watoto wao.. sio.kila siku kuwaacha waandamaji wanaumizwa wao wamejifungia nyumbani

Hata mama yako anakaribishwa dada na mumeo pia!!
 
hawa jamaa wanao zuia maandamano ndio wanaoleta vurugu ila mtumwenye busara huwq hatumii nguvu ktk haya mambo kabisa,mm naiman sna na MANGU ni mtu anaejielewa ila wapo wanaotumiwa na chama tawala kuumiza wananchi ambao waliwekwa kwa kubebwa leo ndio wanalipa fadhila
 
Haya kumbe yanaendelea

yanaendelea Monica minga.... Ni ngumu kujua kama yanaendelea kama hushuhudii akina mama wakijifungulia njiani, wajawazito wakibebwa ktk mikokoteni, watoto wakidumaa kwa kukosa lishe, watoto WA shule wakiketi ktk mawe mashuleni, akinamama wakiamka saa kumi alfajiri kufuata maji......wakati huohuo Kuna watu wapo Dom wakiteketeza mabilioni kuandaa kitu ambacho kila mmoja kakiri kuwa hakiwezi kupatikana!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom