Prof. Ndalichako, kiatu kishampwaya!

Prof. Ndalichako, kiatu kishampwaya!

Aliyekupa wewe na familia yako ni Mungu, usitutoe thamani sisi watoto wa wakulima na wavuvi. Mshukuru Mungu wewe ni mboga saba.

*Tunasomeshwa kwa tabu ada ya A'level mpk wazazi wanashindwa. Wazazi wetu hawawezi kutulipia ada ya vyuo, tukikosa mikopo tutakosa elimu.

*Taifa linahitaji wasomi hata kama watakuwa wengi.


Mkuu, ahsante kwa busara zako.

Huyu kilio changu ni mpuuzi sana! anadhani kila mtanzania ni [HASHTAG]#mboga[/HASHTAG] saba kama yeye. Na si ajabu hiyo financial stability ya wazazi wake waliiba kodi za watanzania.

Anaongea urojo kabisa bila hata aibu, eti Serikali ifute Loan!!

Hawa ndiyo wale wakisikia kuwa "maisha ni safari"... wao wanabeba mabegi kuwahi stendi. Na wanaposikia jogoo kawika, wanajua ni asubuhi.

-Kaveli-
 
Huyo mama mwezio naogopa kuchangia mana, wizara imemshinda mpaka bas anajikubali mwenyewe na uprof, tatizo Elim hapimwi kwa ubunifu bali kwa kukalili, alishindwa Kaz ndio alijiuzur huu mwaka unaisha sector ya Elim haieleweki, Mara hatua 2 mbele tatu nyuma daahaa cjuwi lkn
 
Huyo mama mwezio naogopa kuchangia mana, wizara imemshinda mpaka bas anajikubali mwenyewe na uprof, tatizo Elim hapimwi kwa ubunifu bali kwa kukalili, alishindwa Kaz ndio alijiuzur huu mwaka unaisha sector ya Elim haieleweki, Mara hatua 2 mbele tatu nyuma daahaa cjuwi lkn


Sector ya elimu Tanzania ni kama gari bovu. Supana mkononi, hakuna uhakika wa safari.

Kila waziri anayeingia pale, anakuja na mitazamo yake!

-Kaveli-
 
Hapana Mkuu
Huyu kaisha shindwa
Kama hotuba yake ya leo madudu kabisa
Rais anajiaifu kunyima watoto wetu mikopo sababu tu wamesema private schools?
Why hasemi tu ukweli kama HAZINA ni nyeupe?
Mkuu kuna hulka nyingine kwenye bongo zetu wanadamu ni rahisi sana kurecord na kukumbuka mabaya na kuyatumia kuconclude jambo na wepesi wa kuyasahau mazuri,narudi tena na mfano wa family pattern,hata kama mume au mke atatenda mema kwa kiwango gani,linaweza kutokea baya moja na mke au mume huyo ambaye amekuwa akienjoy mazuri ya mwenzake na baya hilo hilo akalitumia kuconclude kuwa mwenza wake hafai bila hata kurejea ya nyuma,ila wakati ndio ufumbuzi wa reality,ni mapema sana kusema kashindwa na mwisho wa siku asilimia kubwa ya watakaoweka ushabiki pembeni watamkubali.
 
Hahahaa, hilo nalo neno.

-Kaveli-
Mnamlaumu sana huyu mama lakini unamlaumu yeye kwenye issue ya mikopo wakati Serikali kuu ndio inapaswa kutoa fungu kwa ajili ya mikopo,unamaanisha kwamba yeye ndio amegoma kutoa fedha ?

Unapaswa kufahamu matatizo yaliyo kwenye mfumo wetu wa elimu na kibaya zaidi watu wanafikiri Ndalichako/Magufuli watayamaliza,tuna matatizo makubwa sana kwenye mfumo wetu wa elimu.Tatizo kuhusu mikopo

1.Bodi ilivyoanzishwa wanafunzi elimu ya juu wanafunzi walikuwa wachache mno,vyuo vimeongezeka na fungu la linalotolewa haliongezeki kukidhi waliodahiliwa

2.Mfumo wa utoaji mikopo ulikuwa mbovu wengi wasiostahili walikuwa wanapewa na wasiostahili wanakosa,kuna watu wanasomesha watoto wao nursery/primary/sekondari ada zao ni kubwa kuliko za vyuo maajabu wakifika elimu ya juu wanalilia mikopo

2.Kulikuwa na mfumo mbovu wa kukusanya fedha kutoka kwa waliokopa wengi hawakurudisha hizo fedha kwa wakati na hakukuwa na utaratibu mzuri wa kukusanya hizo fedha
 
2020 huyu hawezi shinda
Kuna watoto mm nawajua wamesomeshwa private schools na makanisa na misikiti
na Taasisi hizi za dini zinajitoa ukifika form 6 sababu wanajua serikali itatoa mkopo!
Magufuli kaisha shindwa,imebaki porojo tu
Jamaa linakera sana
 
Nilihuzunishwa sana na lile agizo alilotoa la kutaka wanafunzi wote wa O- level wasome masomo ya sayansi. Taifa linapata hasara mbili:
1. Wanafunzi hao wengi wanaokataa masomo ya sayasi wana uwezo mdogo sana! Kuwalazimisha wasome masomo tisa au kumi ni kuwatwisha msalaba mzito kuliko aliobebeshwa Yesu. Hivyo tutarajie daraja sifuri kuongezeka in geometric progression.
2. Serikali itatumia gharama kubwa wakati wa mitihani. Hii ipo hivi:
a) Mitihani itafanyika kwa siku nyingi zaidi hivyo gharama za usimamizi zitaongezeka. Ikumbukwe kwa sasa mitahani ya kitadato cha nne inamalizika wiki ya kwanza kwa kuwa inafanyika kwa siku saba.
b) sambamba na (a) hapo juu, pia gharama za usimamizi zitaongezeka.
c). Serikali itatumia gharama kubwa kuandaa mitihani ya sayansi. Hii ipo hivi:
(i) kutakuwa na ongezeko la ghaarama za kuchapisha na kusafirisha mitihani.
(ii) gharama za kununua vifaa vya sayansi zitaongezeka. Hii itaanzia gharama za kununua vifaa na kemikali za mazoezi, na wakati wa mitihani husika.
Swali la msingi, JE KUNA HAJA GANI YA KULIPIA GHARAMA ZISIZO NA TIJA???
Ni vyema waalimu wangepewa 'mamlaka' ya kuwashauri kwa juhudi zao zote wanafunzi wenye uwezo wa kusoma masomo ya sayansi, ndio wasome masomo ya sayansi.
Nahisi waliomshauri Waziri ni wale wanaonyenyekea vyeo na kuogopa kuonekana wanam-drive waziri.
Tukumbuke ya kwamba serikali inatoa harama za Elimu Bure kulingana na idadi ya wanafunzi waliopo shule husika, na fungu hilo haliongezeki lulingana na mahitaji ya ziada yatokanayo na 'matamko' ya viongozi.
Sitarajii tija kubwa katika Elimu zama za Elimu Bure.
 
Huyu mama NECTA kulimshinda akaondoshwa.
Wizi wa mitihani
Upendeleo
Uliua kabisa morali ya wanafunzi.
JK alimuondoa....kwani alishindwa.
Sasa tumempa mzigo mwengine...hauwezi
Ndalichako hakuishindwa NECTA ila siasa ndo zilifanya awekwe kando.
 
Nilihuzunishwa sana na lile agizo alilotoa la kutaka wanafunzi wote wa O- level wasome masomo ya sayansi. Taifa linapata hasara mbili:
1. Wanafunzi hao wengi wanaokataa masomo ya sayasi wana uwezo mdogo sana! Kuwalazimisha wasome masomo tisa au kumi ni kuwatwisha msalaba mzito kuliko aliobebeshwa Yesu. Hivyo tutarajie daraja sifuri kuongezeka in geometric progression.
2. Serikali itatumia gharama kubwa wakati wa mitihani. Hii ipo hivi:
a) Mitihani itafanyika kwa siku nyingi zaidi hivyo gharama za usimamizi zitaongezeka. Ikumbukwe kwa sasa mitahani ya kitadato cha nne inamalizika wiki ya kwanza kwa kuwa inafanyika kwa siku saba.
b) sambamba na (a) hapo juu, pia gharama za usimamizi zitaongezeka.
c). Serikali itatumia gharama kubwa kuandaa mitihani ya sayansi. Hii ipo hivi:
(i) kutakuwa na ongezeko la ghaarama za kuchapisha na kusafirisha mitihani.
(ii) gharama za kununua vifaa vya sayansi zitaongezeka. Hii itaanzia gharama za kununua vifaa na kemikali za mazoezi, na wakati wa mitihani husika.
Swali la msingi, JE KUNA HAJA GANI YA KULIPIA GHARAMA ZISIZO NA TIJA???
Ni vyema waalimu wangepewa 'mamlaka' ya kuwashauri kwa juhudi zao zote wanafunzi wenye uwezo wa kusoma masomo ya sayansi, ndio wasome masomo ya sayansi.
Nahisi waliomshauri Waziri ni wale wanaonyenyekea vyeo na kuogopa kuonekana wanam-drive waziri.
Tukumbuke ya kwamba serikali inatoa harama za Elimu Bure kulingana na idadi ya wanafunzi waliopo shule husika, na fungu hilo haliongezeki lulingana na mahitaji ya ziada yatokanayo na 'matamko' ya viongozi.
Sitarajii tija kubwa katika Elimu zama za Elimu Bure.


Elimu bure + big results now... tutapata jawabu huko mbeleni.

-Kaveli-
 
Huyo mama mwezio naogopa kuchangia mana, wizara imemshinda mpaka bas anajikubali mwenyewe na uprof, tatizo Elim hapimwi kwa ubunifu bali kwa kukalili, alishindwa Kaz ndio alijiuzur huu mwaka unaisha sector ya Elim haieleweki, Mara hatua 2 mbele tatu nyuma daahaa cjuwi lkn

Hii sekta kipindi kirefu iko hoi, lakini huu mwaka mmoja wa huyu mama, dah hali mbaya sana. Ukiona mpaka walimu wakuu hawataki cheo hiko leo ujue mambo yameharibika.
 
We mwenyewe ushajitambua? 'kilio chako' ni cha nini?

Sasa twende kwenye point:

1. Culture ipi hiyo? kuwa specific.

2. Universal minimum entry qualification into University, ni ipi?

3. Amefanya kazi kwenye sector ya elimu kwa muda mrefu, shida na matobo yote ya elimu yetu anayajua vyema. Ghafla kupandisha GPA to 3.5, then ghafla kushusha to 3.0... sio kukurupuka huko?

4. Serikali ifute Loan??!! are you serious? nchi hii wananchi maskini ndiyo the majority kuliko wenye uwezo. Hata huko developed countries kwenyewe, wanatoa Students Loan grants. Acha kuandika kama vile huna kichwa. Si ajabu wewe mwenyewe ulisoma kwa huo huo mkopo, leo hii unatapika uharo wako hapa eti Serikali ifute Loan.

5. Kwenye inshu ya kupunguza uzazi, una hoja. Kwamba watu wanafyatua tu watoto kwa wingi wakati wazazi hawana uwezo hata basic needs tu. Ndiyo maana kuna baadhi ya nchi, mfano Finland, elimu ni completely FREE kabisa hadi University! coz wana population ndogo sana.

Lakini kwa upande mwingine, ishu ya population is immaterial in this regard. Tujiulize, kuna nchi nyingi tu za kiafrica zenye uchumi na population kama Tanzania, why wao serikali zao zimeweza kusomesha (by loan) wananchi bila migogoro? Lakini education sector ya Tanzania ni kama gari bovu!

Mimi binafsi, naamini mambo yafuatayo (by serikali) ndiyo yanakwamisha Taifa hili:

-Bad governance (embezzlement, poor prioritization)
-Siasa za maji taka (To politicize everything even crucial development issues)
-Rushwa
-Intellectual laziness


-Kaveli-

Sijaona bado kama kuna litakalotatulika, watu wakielewa kuwa maelezi ya watoto ni jukumu lao itapunguza pia kuongeza watoto wasioweza kuwamudu. Hili ni suala la muhimu sana, yapasa kila mzazi afahamu wajibu wake. Unaelewa kuwa kuna kujijengea fikra tu kuwa hii lazima ifanywe na serkali na ikakuzuia wewe binafsi kuangalia other alternative.

kama unafikiria suala la kushikilia GPA si muhimu kwa kuendeleza elimu . GPA ikiwa kubwa watu wakajua ili uende chuo lazima uwe nayo watu conditionally watajituma na tutapata wasomi bora nchini, kuendelea kubeba watu kufurahisha watu sio sahihi. Watanzania wanao Uwezo mzuri sana, ila kufungua milango wazi hata ambao wangenurture elimu zao hawajali kwani wanajua wataenda tu kirahisi na hii inawadidimiza unknowingly
 
Wizara hizi zinahitaji ubunifu wa hali ya juu kuwaokoa watanzania÷
*Mama Ndalichako (elimu)
*Mama Umi mwalim (afya)
*Mama Angela Kairuki (utumishi)

Viongozi hawa waige kazi nzuri na kasi ya mama Jenister Mhagama, mama Tulia na mama Samia Suluhu.

Hebu Thibitisheni kwamba wanawake wanaweza na tupo 50/50. Wanawake wenzenu wanawaangalia nyinyi kama kioo chao, ongezeni juhudi na kupiga kazi pamoja na kutetea maslahi ya wananchi kikweli kweli. Sio kila siku kupewa lawama na kuwapa huzuni wananchi wenu.

Madanikio hayapatikani kwa kuoneana huruma na unafiki bila kuwaeleza watu chanzo cha matatizo yao ni nini. Yapasa kuwajibika kila mmoja hafikie kiwango. Kusema eti waende Mbele tu kwa kuwa hawapo sio sahihi. Lazima kubana ili kila mtu afanye juhudi kufika kiwango.

Hata hizo nchi za wenzetu kama haujafika kiwango haupelekwi Mbele, watafikiri kukuendeleza kama umefika kiwango kinachotakikana
 
Back
Top Bottom