Prof. Ndalichako, kiatu kishampwaya!

Prof. Ndalichako, kiatu kishampwaya!

Wadanganyika tupunguze kulalamika na kulialia, tatizo letu kila mtu anajifanya anajua zaidi, tumekuwa wakwanza kujikosoa na tumekuwa wakwanza kuwasifia wenzetu eti wanaweza. Tumebaki kuwa wakwanza kutojikubali hadharani na piya Tumebaki kuwa wakwanza kujikubali MIOYONI.


Hahahaa, Mkuu nimependa kuntu yako.

Wadanganyika tupo 'njia panda' hatujuwui tuendapo! Majangest.

-Kaveli-
 
Siku anateuliwa kuongoza Wizara ya elimu (wizara ambayo ndiyo 'backbone' ya ustawi wa Taifa), nilifurahi sana. Nikajisemea moyoni kwamba sasa gari limepata 'suka' na safari itakuwa salama.

Safari ikaanza suka akiwa imara. Lakini kadri safari ilivyoendelea, nikagundua kuwa kumbe suka wetu ni 'deiwaka' tu, na sio 'profesheno' !

Akaanza ubabaishaji. Siku akalala akaota GPA ya 3.5... na kweli kesho yake tu rukwili ikapitishwa GPA ya 3.5! Nikajisemea moyoni... ohooo sasa suka kaanza kuacha reli, ngoja ni-fasten my belt kabisa mapema.

Haijaisha week, akalala akaota GPA ya 3.0... na kweli kesho yake tu rukwili GPA ya 3.0 ikapitishwa! Nikasema "toba, suka kaanza kupiga ramli kwenye safari yetu?!!"

Yote tisa.... kumi kwenye mikopo ya chuo! Hapa sasa ndiyo nimeconclude kuwa kumbe Wizara ya Elimu bado haina suka, bali deiwaka tu!

75% kukosa mkopo hii ni ajabu ya mwaka!

Mtoto wa maskini kapanda ngorika kutoka sitimbi kijijini kaja mjini kusoma chuo, eti anapewa mkopo wa Tsh. 77,000 ajikimu chuoni! Seriously kabisa Officer mzima yupo Heslb kwenye kiti cha kuzunguka ana-approve Tsh 77,000 kwa ajili ya mkopo wa mwanafunzi wa chuo??!! Hizi ni dharau kwakweli. Otherwise naanza kuamini ule utafiti kwamba nchi hii wengi wana matatizo ya akili. Heslb wanastahili wachapwe bakora nyingi sana kama mvua!

Tanzania inahitaji overhaul ya hali ya juu sana. La sivyo, dharau hizi za viongozi zitazidi kuwafanya wananchi waishi kama mashetani kweli.

Mama Ndali, absolutely sasa kiatu kinakupwaya! Ubabaishaji kwenye elimu ya nchi, Taifa mnaliweka bondi.

Mhe. Rais Magufuli anahitaji kuona Tanzania ya viwanda. Ni jambo jema sana. Ili kuifikia Tanzania ya viwanda, basi tuacheni siasa na ubabaishaji kwenye sekta ya Elimu.

-Kaveli-


Siku utakapojitambua wewe binafsi na wajibu wako twaweza discuss jambo ukaelewa. Ondoa culture zetu tulizojijengea wenyewe tukafikiria ni haki yetu, hii ndio chanzo cha matatizo yanayoendelea kila corner.
Suala la GPA 3.5 ndio kiwango cha chini kabisa cha mtu anayetakiwa kuendelea na academic path, otherwise you have to look on other alternative. hii kufanya siasa imeingiza watu wengi kwenye boat likalemewa na matokeo yake ni kuwapotezea muda na hawatawamudu, sio lazima kila mtui apite hapo ndo maana kuna mtihani, ili wengine wangie sehemu nyngine na sio kupotezeana muda. Kubadili tu 3.0 yawezekana baada ya kuona elimu ilishakuwa na shida, ila alichofikiria awali ni sahihi

Suala la kusomeshewa wanetu limetufanya tukabetweka tukajisahau na kuacha kuchukua wajibu wetu. Naamini serkali ingefuta loan kabisa tungejipanga tukawasomesha watoto wenyewe na ingepunguza uzazi maana tungejua itakakuiwa ni mzigo kwetu. Ngumu kuelewa naongea nini maana ni culture ilyojengeka tayari kufikiria hata kutaarisha future za watoto wetu ni serkali. wazazi wangapi wanasomesha watoto shule za gharama Zaidi ya gharama za vyuoni. Serkali ili overlook hili na sasa imejkuta imeruhusu idadii kubwa ambayo kamwe haitaweza kuimudu. Kukosa uzalendo ndo kumesababisha hata wale wenye huitaji kweli kuchindwa kupewa stahiki yao.
Narudia sio wote kweli wahitaji, tuweke uzalendo mbele kwanza.
 
Kele za chura,chadema kila MTU mbaya,watu mnalalamika na Julia lia kila siku


Mkuu, ifike mahala tuwe watu wenye reasoning. Mungu kakupa hicho kichwa kikusaidie kufikiri na kung'amua mambo.

Kweli kabisa wewe unaona ni sawa mwanafunzi kupewa mkopo wa Tsh 77,000 ajikimu chuoni?

Unaona ni sawa wanafunzi 25% tu ndiyo wapate huo mkopo?

Kwenye masuala ya msingi yanayogusa umma moja kwa moja, tuwekeni siasa pembeni.

-Kaveli-
 
Huyu Mama mnamuonea bure tu! Nitajieni Waziri mmoja tu ambaye mpaka sasa ana maamuzi ndani ya hii govt ya Tembo, hamwakumbuki kina Kigwa'la, Nchemba, nk jinsi walivyoanza kwa kasi? Umeshawasikia tena? Mwacheni mama wa watu, tembo ndio muamuzi wa kila kitu kwenye awamu hii, he's Alfa & Omega! Ukitaka kujitutumua kwake kitakachokupata muulize aliyekuwa katibu mkuu Wizara ya fedha (Likwilile).
Kama ndivyo, basi ajitumbue arudi kufundisha chuoni!
 
Siku anateuliwa kuongoza Wizara ya elimu (wizara ambayo ndiyo 'backbone' ya ustawi wa Taifa), nilifurahi sana. Nikajisemea moyoni kwamba sasa gari limepata 'suka' na safari itakuwa salama.

Safari ikaanza suka akiwa imara. Lakini kadri safari ilivyoendelea, nikagundua kuwa kumbe suka wetu ni 'deiwaka' tu, na sio 'profesheno' !

Akaanza ubabaishaji. Siku akalala akaota GPA ya 3.5... na kweli kesho yake tu rukwili ikapitishwa GPA ya 3.5! Nikajisemea moyoni... ohooo sasa suka kaanza kuacha reli, ngoja ni-fasten my belt kabisa mapema.

Haijaisha week, akalala akaota GPA ya 3.0... na kweli kesho yake tu rukwili GPA ya 3.0 ikapitishwa! Nikasema "toba, suka kaanza kupiga ramli kwenye safari yetu?!!"

Yote tisa.... kumi kwenye mikopo ya chuo! Hapa sasa ndiyo nimeconclude kuwa kumbe Wizara ya Elimu bado haina suka, bali deiwaka tu!

75% kukosa mkopo hii ni ajabu ya mwaka!

Mtoto wa maskini kapanda ngorika kutoka sitimbi kijijini kaja mjini kusoma chuo, eti anapewa mkopo wa Tsh. 77,000 ajikimu chuoni! Seriously kabisa Officer mzima yupo Heslb kwenye kiti cha kuzunguka ana-approve Tsh 77,000 kwa ajili ya mkopo wa mwanafunzi wa chuo??!! Hizi ni dharau kwakweli. Otherwise naanza kuamini ule utafiti kwamba nchi hii wengi wana matatizo ya akili. Heslb wanastahili wachapwe bakora nyingi sana kama mvua!

Tanzania inahitaji overhaul ya hali ya juu sana. La sivyo, dharau hizi za viongozi zitazidi kuwafanya wananchi waishi kama mashetani kweli.

Mama Ndali, absolutely sasa kiatu kinakupwaya! Ubabaishaji kwenye elimu ya nchi, Taifa mnaliweka bondi.

Mhe. Rais Magufuli anahitaji kuona Tanzania ya viwanda. Ni jambo jema sana. Ili kuifikia Tanzania ya viwanda, basi tuacheni siasa na ubabaishaji kwenye sekta ya Elimu.

-Kaveli-
Huyu mama hana tatizo. Kuna daktari wa falsafa anaitwa Shukuru....aisee yule jamaa alikuwa Bomu kuliko nyuklia. Huyu mama huenda anayumbishwa na anticipations za aliyemteua. Ili ku-meet objectives zake ndo unaona 'anabinjuka' na kuruka samasoti. But she is still on the right parh. Kuhusu mikopo tunakimbilia kumlaumu bure tu bila kufanya utafiti. Unajua kiasi cha fedha alizoomba na alizopewa? Na ukiwa na limited resources si maana yake Uzi utilize optimumly? This is what she has been doing.
Ingawa kama binadamu hawezi kukamilika lakini hajapoteza mwelekeo bado. Kama kuna wa kumlaumu, labda yule aliyemteua
 
mambo

yanayofanyika siku hizi mpaka unaogopaaa,ule msemo wa waswahili kua unaweza kufanya dhambi mpaka shetani akaanza kukuogopa nimeanza kuona enzi hizi...Daaaaahhhh so sad 77000?mi nilifikiri wazee wa kucheza na mtandaoni,kumbe kweliiiiiii
Sijaelewa
Hiki kiasi ndo cha nn ,accomodation? And if so, kwa muda gani?
 
Hapana Mkuu
Huyu kaisha shindwa
Kama hotuba yake ya leo madudu kabisa
Rais anajiaifu kunyima watoto wetu mikopo sababu tu wamesema private schools?
Why hasemi tu ukweli kama HAZINA ni nyeupe?
halafu sasa cha ajabu kuna majitu yalikuwa yanampigia makofi

Nilimshangaa sana kwa kauli ile ya kunyima mkopo waliosoma private, kwa kuwa inawezekana mtu alikupa ufadhiri tu wa kukusomesha advance ili akuvushe uende chuo kizuri


Pia wazazi wengi wanauza vitu vyao vya gharama kama vile viwanja ,nyumba ili mradi watoto wasome na mpaka mtoto anafikia ngazi ya chuo mzazi anakuwa kashauza vitu vingi kiasi kwamba hana kingine cha ziada cha kuuza ili apate pesa ya ada ya mtoto

Sasa mzazi kama huyu kitendo cha kumnyima mtoto wake pesa ya mkopo mnazidi kumtia msongo wa mawazo na kupelekea kufa kwa mawazo



Pia hata kama mzazi kweli alikuwa na pesa miaka ya nyuma ,sasa je kama uchumi umetetereka je hapaswi kusaidiwa??
 
Wabongo hatuna akili ndo maana yesu, mtume. Manabii wote ni wazungu amna ata mbongo
Simtetei Ndalichako, na ninaunga hoja ya mleta Uzi, Kuna mheshimiw aliwahi kusimama kwenye jengo tukufu la serikali(BUNGE) akasema wabunge wa CCM wanafikili kwa kutumia Mata... Hahaha hiyo kitu nikiifikilia halafu nikawazia huu mfumo sijui Means Test inayopelekea mtu apewe mkopo wa 77,000/= wakati gharama za ku apply to huo mkopo ametumia karibu 90,000/= nasikitika sana.

Pili Yesu na Manabii wengine hawakua wazungu kama ulikua hujui hilo tambua sasa. Nakuibia siri Yesu alikua na asili ya Kiafrica yani rangi na nywele za jamii yake hawakuwa weupe na hawakua na nywele kama za wazungu, walikua na nywele kama za sufi, na rangi ya ngozi kama kahawia ama chocolate soma sana vitabu vya dini na maandiko mengi yanayoelezea siri za kale utagundua hilo...usipotoshwe na Movie za wazungu walizo act kama Yesu ukajua yule ndo Yesu.
 
Mkuu, ifike mahala tuwe watu wenye reasoning. Mungu kakupa hicho kichwa kikusaidie kufikiri na kung'amua mambo.

Kweli kabisa wewe unaona ni sawa mwanafunzi kupewa mkopo wa Tsh 77,000 ajikimu chuoni?

Unaona ni sawa wanafunzi 25% tu ndiyo wapate huo mkopo?

Kwenye masuala ya msingi yanayogusa umma moja kwa moja, tuwekeni siasa pembeni.

-Kaveli-
Hizo data mnazipata wapi?mnapewa taarifa za kutengeneza bavicha.wenzenu bavicha walikua wanataka kuchochea mgomo ndio maana wakatunga taarifa feki
 
Siku utakapojitambua wewe binafsi na wajibu wako twaweza discuss jambo ukaelewa. Ondoa culture zetu tulizojijengea wenyewe tukafikiria ni haki yetu, hii ndio chanzo cha matatizo yanayoendelea kila corner.
Suala la GPA 3.5 ndio kiwango cha chini kabisa cha mtu anayetakiwa kuendelea na academic path, otherwise you have to look on other alternative. hii kufanya siasa imeingiza watu wengi kwenye boat likalemewa na matokeo yake ni kuwapotezea muda na hawatawamudu, sio lazima kila mtui apite hapo ndo maana kuna mtihani, ili wengine wangie sehemu nyngine na sio kupotezeana muda. Kubadili tu 3.0 yawezekana baada ya kuona elimu ilishakuwa na shida, ila alichofikiria awali ni sahihi

Suala la kusomeshewa wanetu limetufanya tukabetweka tukajisahau na kuacha kuchukua wajibu wetu. Naamini serkali ingefuta loan kabisa tungejipanga tukawasomesha watoto wenyewe na ingepunguza uzazi maana tungejua itakakuiwa ni mzigo kwetu. Ngumu kuelewa naongea nini maana ni culture ilyojengeka tayari kufikiria hata kutaarisha future za watoto wetu ni serkali. wazazi wangapi wanasomesha watoto shule za gharama Zaidi ya gharama za vyuoni. Serkali ili overlook hili na sasa imejkuta imeruhusu idadii kubwa ambayo kamwe haitaweza kuimudu. Kukosa uzalendo ndo kumesababisha hata wale wenye huitaji kweli kuchindwa kupewa stahiki yao.
Narudia sio wote kweli wahitaji, tuweke uzalendo mbele kwanza.


We mwenyewe ushajitambua? 'kilio chako' ni cha nini?

Sasa twende kwenye point:

1. Culture ipi hiyo? kuwa specific.

2. Universal minimum entry qualification into University, ni ipi?

3. Amefanya kazi kwenye sector ya elimu kwa muda mrefu, shida na matobo yote ya elimu yetu anayajua vyema. Ghafla kupandisha GPA to 3.5, then ghafla kushusha to 3.0... sio kukurupuka huko?

4. Serikali ifute Loan??!! are you serious? nchi hii wananchi maskini ndiyo the majority kuliko wenye uwezo. Hata huko developed countries kwenyewe, wanatoa Students Loan grants. Acha kuandika kama vile huna kichwa. Si ajabu wewe mwenyewe ulisoma kwa huo huo mkopo, leo hii unatapika uharo wako hapa eti Serikali ifute Loan.

5. Kwenye inshu ya kupunguza uzazi, una hoja. Kwamba watu wanafyatua tu watoto kwa wingi wakati wazazi hawana uwezo hata basic needs tu. Ndiyo maana kuna baadhi ya nchi, mfano Finland, elimu ni completely FREE kabisa hadi University! coz wana population ndogo sana.

Lakini kwa upande mwingine, ishu ya population is immaterial in this regard. Tujiulize, kuna nchi nyingi tu za kiafrica zenye uchumi na population kama Tanzania, why wao serikali zao zimeweza kusomesha (by loan) wananchi bila migogoro? Lakini education sector ya Tanzania ni kama gari bovu!

Mimi binafsi, naamini mambo yafuatayo (by serikali) ndiyo yanakwamisha Taifa hili:

-Bad governance (embezzlement, poor prioritization)
-Siasa za maji taka (To politicize everything even crucial development issues)
-Rushwa
-Intellectual laziness


-Kaveli-
 
halafu sasa cha ajabu kuna majitu yalikuwa yanampigia makofi

Nilimshangaa sana kwa kauli ile ya kunyima mkopo waliosoma private, kwa kuwa inawezekana mtu alikupa ufadhiri tu wa kukusomesha advance ili akuvushe uende chuo kizuri


Pia wazazi wengi wanauza vitu vyao vya gharama kama vile viwanja ,nyumba ili mradi watoto wasome na mpaka mtoto anafikia ngazi ya chuo mzazi anakuwa kashauza vitu vingi kiasi kwamba hana kingine cha ziada cha kuuza ili apate pesa ya ada ya mtoto

Sasa mzazi kama huyu kitendo cha kumnyima mtoto wake pesa ya mkopo mnazidi kumtia msongo wa mawazo na kupelekea kufa kwa mawazo



Pia hata kama mzazi kweli alikuwa na pesa miaka ya nyuma ,sasa je kama uchumi umetetereka je hapaswi kusaidiwa??
2020 huyu hawezi shinda
Kuna watoto mm nawajua wamesomeshwa private schools na makanisa na misikiti
na Taasisi hizi za dini zinajitoa ukifika form 6 sababu wanajua serikali itatoa mkopo!
Magufuli kaisha shindwa,imebaki porojo tu
 
Siku utakapojitambua wewe binafsi na wajibu wako twaweza discuss jambo ukaelewa. Ondoa culture zetu tulizojijengea wenyewe tukafikiria ni haki yetu, hii ndio chanzo cha matatizo yanayoendelea kila corner.
Suala la GPA 3.5 ndio kiwango cha chini kabisa cha mtu anayetakiwa kuendelea na academic path, otherwise you have to look on other alternative. hii kufanya siasa imeingiza watu wengi kwenye boat likalemewa na matokeo yake ni kuwapotezea muda na hawatawamudu, sio lazima kila mtui apite hapo ndo maana kuna mtihani, ili wengine wangie sehemu nyngine na sio kupotezeana muda. Kubadili tu 3.0 yawezekana baada ya kuona elimu ilishakuwa na shida, ila alichofikiria awali ni sahihi

Suala la kusomeshewa wanetu limetufanya tukabetweka tukajisahau na kuacha kuchukua wajibu wetu. Naamini serkali ingefuta loan kabisa tungejipanga tukawasomesha watoto wenyewe na ingepunguza uzazi maana tungejua itakakuiwa ni mzigo kwetu. Ngumu kuelewa naongea nini maana ni culture ilyojengeka tayari kufikiria hata kutaarisha future za watoto wetu ni serkali. wazazi wangapi wanasomesha watoto shule za gharama Zaidi ya gharama za vyuoni. Serkali ili overlook hili na sasa imejkuta imeruhusu idadii kubwa ambayo kamwe haitaweza kuimudu. Kukosa uzalendo ndo kumesababisha hata wale wenye huitaji kweli kuchindwa kupewa stahiki yao.
Narudia sio wote kweli wahitaji, tuweke uzalendo mbele kwanza.
Hivi unafikiri kila mtu ni mboga saba km ww?
 
unaposhidwa kujua jambo gani lianze na lipi lifuate ndipo yanapijiri mambo haya


Umenena Mkuu. Hili ni tatizo huku kwetu Africa.

"Poor prioritization"... unaanza kujenga Airport huko porini wakati huna hela ya mkopo kwa wanafunzi.

Afrika sijuwi nani alitulaani. It is like we are misplaced creatures on earth.

-Kaveli-
 
Mtasema sana lkn maamuzi yameshapita kulingana na uwezo na vigezo vilivyopo.
 
Huyu Waziri kama Rais wake tu
Porojo mno hamna lolote so far kalifanya
Walidhani kuwa viongozi ni kila mmoja anaweza
Uongozi ni karama sio porojo kama zao
Ukiwekwa hapo hutaweza huyo amejitahidi sana.
 
Wizara hizi zinahitaji ubunifu wa hali ya juu kuwaokoa watanzania÷
*Mama Ndalichako (elimu)
*Mama Umi mwalim (afya)
*Mama Angela Kairuki (utumishi)

Viongozi hawa waige kazi nzuri na kasi ya mama Jenister Mhagama, mama Tulia na mama Samia Suluhu.

Hebu Thibitisheni kwamba wanawake wanaweza na tupo 50/50. Wanawake wenzenu wanawaangalia nyinyi kama kioo chao, ongezeni juhudi na kupiga kazi pamoja na kutetea maslahi ya wananchi kikweli kweli. Sio kila siku kupewa lawama na kuwapa huzuni wananchi wenu.
 
Siku utakapojitambua wewe binafsi na wajibu wako twaweza discuss jambo ukaelewa. Ondoa culture zetu tulizojijengea wenyewe tukafikiria ni haki yetu, hii ndio chanzo cha matatizo yanayoendelea kila corner.
Suala la GPA 3.5 ndio kiwango cha chini kabisa cha mtu anayetakiwa kuendelea na academic path, otherwise you have to look on other alternative. hii kufanya siasa imeingiza watu wengi kwenye boat likalemewa na matokeo yake ni kuwapotezea muda na hawatawamudu, sio lazima kila mtui apite hapo ndo maana kuna mtihani, ili wengine wangie sehemu nyngine na sio kupotezeana muda. Kubadili tu 3.0 yawezekana baada ya kuona elimu ilishakuwa na shida, ila alichofikiria awali ni sahihi

Suala la kusomeshewa wanetu limetufanya tukabetweka tukajisahau na kuacha kuchukua wajibu wetu. Naamini serkali ingefuta loan kabisa tungejipanga tukawasomesha watoto wenyewe na ingepunguza uzazi maana tungejua itakakuiwa ni mzigo kwetu. Ngumu kuelewa naongea nini maana ni culture ilyojengeka tayari kufikiria hata kutaarisha future za watoto wetu ni serkali. wazazi wangapi wanasomesha watoto shule za gharama Zaidi ya gharama za vyuoni. Serkali ili overlook hili na sasa imejkuta imeruhusu idadii kubwa ambayo kamwe haitaweza kuimudu. Kukosa uzalendo ndo kumesababisha hata wale wenye huitaji kweli kuchindwa kupewa stahiki yao.
Narudia sio wote kweli wahitaji, tuweke uzalendo mbele kwanza.
Aliyekupa wewe na familia yako ni Mungu, usitutoe thamani sisi watoto wa wakulima na wavuvi. Mshukuru Mungu wewe ni mboga saba.

*Tunasomeshwa kwa tabu ada ya A'level mpk wazazi wanashindwa. Wazazi wetu hawawezi kutulipia ada ya vyuo, tukikosa mikopo tutakosa elimu.

*Taifa linahitaji wasomi hata kama watakuwa wengi.
 
Back
Top Bottom