Prof. Muhongo: Shilingi inayochezewa tunduni mwa choo

Prof. Muhongo: Shilingi inayochezewa tunduni mwa choo

kitambiheshima

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2013
Posts
452
Reaction score
116
Ndugu zangu watanzania wenzangu, tunaweza kusema chochote na lolote juu ya Prof. Muhongo. Tunaweza kukubaliana na mapendekezo ya PAC ya kutaka atimuliwe kwenye nafasi anayoitumikia. Ni sawa kwakuwa wengi wetu tumeaminishwa hivyo. Waswahili wana usemi usemao ukitaka kumpiga mbwa mwite kwa jina lake ili usimwonee huruma. Prof.Muhongo kiukweli anazushiwa tu, hakuna mahali ripoti ya CAG imeonesha Muhongo kuchukua hata senti tano ya escrow lkn jamaa walivyomkomalia!!.

Kama kilivyosema hapo juu, ninarudia kwamba tunaweza kumfanya lolote Prof. Muhongo lakini tujue kuwa yeye ni kama shilingi inayochewa kwenye tundu la choo!

Siku si nyingi mara baada ya kupoteza uwaziri, tutaanza kusema bora Muhongo, bora Muhongo. Itakuwa too late! Muhongo. Mimi nasema, tumpe nafasi nyingine Muhongo
 
Sisi tulionufaika na juhudi zake za kutuletea umeme huku vijijini tumejiandaa, akiwajibishwa kwa sababu ya ungese ungese TUTAANDAMANA
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu, tunaweza kusema chochote na lolote juu ya Prof. Muhongo. Tunaweza kukubaliana na mapendekezo ya PAC ya kutaka atimuliwe kwenye nafasi anayoitumikia. Ni sawa kwakuwa wengi wetu tumeaminishwa hivyo. Waswahili wana usemi usemao ukitaka kumpiga mbwa mwite kwa jina lake ili usimwonee huruma. Prof.Muhongo kiukweli anazushiwa tu, hakuna mahali ripoti ya CAG imeonesha Muhongo kuchukua hata senti tano ya escrow lkn jamaa walivyomkomalia!!.Kama kilivyosema hapo juu, ninarudia kwamba tunaweza kumfanya lolote Prof. Muhongo lakini tujue kuwa yeye ni kama shilingi inayochewa kwenye tundu la choo!Siku si nyingi mara baada ya kupoteza uwaziri, tutaanza kusema bora Muhongo, bora Muhongo. Itakuwa too late! Muhongo. Mimi nasema, tumpe nafasi nyingine Muhongo
Eti tunachezea shilingi chooni upuuzi, hivi Muhongo amekuwa waziri malaika kuwa bila yeye Tanzania haitakuwepo, Tanzania ilikuwepo bila Muhongo na itaendelea kuwepo bila Muhongo, kama Muhongo ni shilingi yako acha itumbukie chooni tuone kama tutakufa.
 
Kumbe Prof. Muhongo ni kama shilingi tunayoichezea pembeni ya tundu la choo.?????

Jitahidi kutotoa hitimisho unapotoa thread.Yapaswa uwe neutral.
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu, tunaweza kusema chochote na lolote juu ya Prof. Muhongo. Tunaweza kukubaliana na mapendekezo ya PAC ya kutaka atimuliwe kwenye nafasi anayoitumikia. Ni sawa kwakuwa wengi wetu tumeaminishwa hivyo. Waswahili wana usemi usemao ukitaka kumpiga mbwa mwite kwa jina lake ili usimwonee huruma. Prof.Muhongo kiukweli anazushiwa tu, hakuna mahali ripoti ya CAG imeonesha Muhongo kuchukua hata senti tano ya escrow lkn jamaa walivyomkomalia!!.

Kama kilivyosema hapo juu, ninarudia kwamba tunaweza kumfanya lolote Prof. Muhongo lakini tujue kuwa yeye ni kama shilingi inayochewa kwenye tundu la choo!

Siku si nyingi mara baada ya kupoteza uwaziri, tutaanza kusema bora Muhongo, bora Muhongo. Itakuwa too late! Muhongo. Mimi nasema, tumpe nafasi nyingine Muhongo

Tatizo la muhongo ni mwongo! Hajawahi kusema ukweli tangu azaliwe! Btw hata kama hajalamba "esikrowp" amesimamia game lililowezesha walambaji, sasa unamtoaje kwenye upu.pu huo, utajua mwenyewe!
 
sawa ila umeiona ripoti ya MCC?

Mkuu wa kaya amekwisha ambiwa nn cha kufanya , mwehu wewe
 
Hana lolote tangu alipoingia pale Nishati na Madini nilishuhudia dharau na majigambo ya kitoto.
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu, tunaweza kusema chochote na lolote juu ya Prof. Muhongo. Tunaweza kukubaliana na mapendekezo ya PAC ya kutaka atimuliwe kwenye nafasi anayoitumikia. Ni sawa kwakuwa wengi wetu tumeaminishwa hivyo. Waswahili wana usemi usemao ukitaka kumpiga mbwa mwite kwa jina lake ili usimwonee huruma. Prof.Muhongo kiukweli anazushiwa tu, hakuna mahali ripoti ya CAG imeonesha Muhongo kuchukua hata senti tano ya escrow lkn jamaa walivyomkomalia!!.

Kama kilivyosema hapo juu, ninarudia kwamba tunaweza kumfanya lolote Prof. Muhongo lakini tujue kuwa yeye ni kama shilingi inayochewa kwenye tundu la choo!

Siku si nyingi mara baada ya kupoteza uwaziri, tutaanza kusema bora Muhongo, bora Muhongo. Itakuwa too late! Muhongo. Mimi nasema, tumpe nafasi nyingine Muhongo


Think out of the box; Muongo akaanzisha wizara yake awe waziri wa maisha. swala sio kupata mgao bali uzembe katika kusimamia maslahi ya Taifa; kulidanganya Bunge na taifa na evil arrogance katika kuhudumia wananchi; unakumbuka kauli yake kuhusu wawekezaji wazawa?! hii nchi sio mali8 yake arudi akahudumie miamba anayoweza kuelewana nayo; sio binadamu; ya huku juu ya ardhi hayawezi.
 
Think out of the box; Muongo akaanzisha wizara yake awe waziri wa maisha. swala sio kupata mgao bali uzembe katika kusimamia maslahi ya Taifa; kulidanganya Bunge na taifa na evil arrogance katika kuhudumia wananchi; unakumbuka kauli yake kuhusu wawekezaji wazawa?! hii nchi sio mali8 yake arudi akahudumie miamba anayoweza kuelewana nayo; sio binadamu; ya huku juu ya ardhi hayawezi.
Uzembe maana yake nini, kwamba alijua akina askofu KILAINI amelamba? Toeni pumba zenuu hapa
 
Back
Top Bottom