Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,820
Licha ya kuandamwa na kashfa za madini na escrow kuna umuhimu huyu mtaalamu akaangaliwa kwa jicho la tatu Kwa sababu bado nina amini huyu mzee ni jembe na mchapakazi......
Huyu mzee Nakumbuka ndio aliolinuaa shirika la tenesco na pamoja utaratibu wa umeme vijijini
Na hadi leo karibia asilimia 80 vijijini kuna umeme kwa sababu yake pamoja na kuinua shirika la tanesco hii muhimu sana ?
Ikumbukwe ya kwamba hata wiliam ngeleja alivyoondoka hii wizara huyu mzee ndio mtu pekee alipigana kulinua hili shirika....
Hivyo ushauli wangu huyu mtalaamu aangaliwe kwa macho mawili tena tusije tukampoteza badae tukaanza kulaumiana ?
Huyu mzee Nakumbuka ndio aliolinuaa shirika la tenesco na pamoja utaratibu wa umeme vijijini
Na hadi leo karibia asilimia 80 vijijini kuna umeme kwa sababu yake pamoja na kuinua shirika la tanesco hii muhimu sana ?
Ikumbukwe ya kwamba hata wiliam ngeleja alivyoondoka hii wizara huyu mzee ndio mtu pekee alipigana kulinua hili shirika....
Hivyo ushauli wangu huyu mtalaamu aangaliwe kwa macho mawili tena tusije tukampoteza badae tukaanza kulaumiana ?