Erwin Rommel
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 429
- 116
Nawasikitia Femata! Hawajui huyo mjamaa ni fisadi na mwizi aliyebobea baada ya kupata mafunzo name ccm?
Wizi wa muhongo uko wapi mkuu au chuki za mafisadi tu.Mwizi ni mwizi tu.huwez takasa kaniki kwa mkaa
Ndiyo ni kweli alionewa na hajapata hats huo mgawo wa escrow. Tz hatujali eataalamu wetu na tunatetemekea wazungu na wachina kwenye kila nyanja.
huko ndio kunamfaa...federation of miners association of tanzania (femata) kwa kauli moja wamemteua prof sospeter muhongo kuwa mshauri mkuu wao. Femata ilifikia uamuzi huo (28.02.2015) kwa kuzingatia elimu, maarifa, uzoefu, uwezo, uadilifu na uzalendo wake.
Prof muhongo ndiye aliyetengeneza ramani ya kisasa ya jiolojia na madini ya tanzania (2004) kwa kushirikiana na rafiki zake wa ufaransa. Tanzania haikutoa malipo ya aina yo yote au kupewa mkopo kutengeneza ramani hiyo.
na cv ya prof LIPUMBA umeisoma? isome afu nitajie hapa bongo nani mwenye nayo kama ya PRO LIPUMBA?Hivi nani anabisha kuhusu ukali wa CV ya Prof Muhongo? Jamaa yuko vizuri ila sio mwanasiasa. Hakuzijua siasa za nchi hii. Na huwezi kuwa Waziri wa CCM ukapona kuchafuka. So awe na vyote 1,000 ila pale alichemka/alichemshwa na CCM yake
Wizi wa wawekezaji wa madini Mwongo haumuhusu?Federation of Miners Association of Tanzania (FEMATA) kwa kauli moja wamemteua Prof Sospeter Muhongo kuwa MSHAURI MKUU wao. FEMATA ilifikia uamuzi huo (28.02.2015) kwa kuzingatia elimu, maarifa, uzoefu, uwezo, uadilifu na uzalendo wake.
Prof Muhongo ndiye aliyetengeneza Ramani ya kisasa ya Jiolojia na Madini ya Tanzania (2004) kwa kushirikiana na rafiki zake wa Ufaransa. Tanzania haikutoa malipo ya aina yo yote au kupewa mkopo kutengeneza Ramani hiyo.
Hivi nani anabisha kuhusu ukali wa CV ya Prof Muhongo? Jamaa yuko vizuri ila sio mwanasiasa. Hakuzijua siasa za nchi hii. Na huwezi kuwa Waziri wa CCM ukapona kuchafuka. So awe na vyote 1,000 ila pale alichemka/alichemshwa na CCM yake
Mwizi ni mwizi tu.huwez takasa kaniki kwa mkaa
Kila mtu mkuu kuna sehemu yake huwa ana fit, tatizo tu kama taifa huwa hatujui kuibua vipaji, ukionekana sehemu moja hufai kuna sehemu moja unafaa zaidiMuhongo ni kichwa yule jamaa sema siasa za kinafiki zimemkost Tanzania
Wizi wa wawekezaji wa madini Mwongo haumuhusu?
Hahahahahaha naona unapingana na dhamira yako
Mwizi ni mwizi tu.huwez takasa kaniki kwa mkaa
Muhongo ni mtu safi.hata wewe unajua hilo, jikomboe mzee acha.kuwatumikia hao mabwana wanaokutumia
We nawe unaa matatizo yako,nimemlaumu wapi huyo Profesa wako wa MAWE?Hiyo sio hoja,wizi wa madini is due to systematic failure wala aihusiani na Mhongo. The whole system is flawed and corrupt and it will take the whole systematic and structural overhauling to make things work.