Prof. Muhongo ateuliwa kuwa Mshauri Mkuu FEMATA

Prof. Muhongo ateuliwa kuwa Mshauri Mkuu FEMATA

Dhambi nyingine ni kutetea escrow huku akijua kuna ufisadi badala ya kusema ukweli
 
Hafai huyu jamaa. Kuwapa waTanzania fursa sawa na wageni wakati rasilimali ni za waTanzania ni kosa kubwa ambalo halifanyiki nchi nyingine. Hafai jamaa

Rasilimali ni za Watanzania sawa hebu tuelezee unamanisha rasilimali gani? Maana zipo nyingi.
 
Kwa hiyo ameshuka kiasi hiki.Kutoka kuongoza wizara hadi kuongoza NGO

Sio kuiongoza NGO sababu yeye sio CEO amechaguliwa kama mshauri tu just consultant actually is the least post amongst the auxiliary posts in division of labor or specialization ukizingatia post aliyopo awali.
 
Federation of Miners Association of Tanzania (FEMATA) kwa kauli moja wamemteua Prof Sospeter Muhongo kuwa MSHAURI MKUU wao. FEMATA ilifikia uamuzi huo (28.02.2015) kwa kuzingatia elimu, maarifa, uzoefu, uwezo, uadilifu na uzalendo wake.

Prof Muhongo ndiye aliyetengeneza Ramani ya kisasa ya Jiolojia na Madini ya Tanzania (2004) kwa kushirikiana na rafiki zake wa Ufaransa. Tanzania haikutoa malipo ya aina yo yote au kupewa mkopo kutengeneza Ramani hiyo.

Escrow
 
Back
Top Bottom