Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,384
- 11,268
huyu Ajol naona ndiue Ngeleja mwenyewe maana analazomosha vitu ambavyo hata mwenzake kutoka usukumani (mh John Pombe Magufuli) hawezi mpa hata ubalpzi wa nyumba 10 na kwenye Kampeni HAKWENDA...wewe ndie ngeleja nini??...maana tulishamsahau huyu mpiga escrow....naona umemshupalia kweli kweli...hasafishiki huyu...labda huko usukumani walikolala waliompa ubunge...huyu kanda ya kaskazini asingepata wala udiwani...
- Ngeleja na Jairo walikuwa ni watu wa dili tu na Elimu hawana kulinganisha na Waziri yeyote aliyepitia Wizara hiyo
- Ngeleja alikuwa mhasibu wa Rostam Aziz na alipewa Wizara huyo makusudi baada ya Rostam kuukataa uwaziri akamuambia JK mchukue mtu wangu
- Ngeleja ndiye aliyetupandishia umeme watanzania kwa ajili ya wao waendeshe mitambo yao ya mafuta na kuyaharibu mabwawa yetu
- Ni kwa nini kapata mgawo wa ESCROW na kashindwa kuueleza kaupeleka wapi?
- akihojiwa na Jaji ndipo alipoonesha Elimu yake kwani alisema na Zitto aulizwe mbona kapokea hela toka kwa Habinder Sigh.
- aliweza kulazimisha migawo kwa kumpa amri Mkurugenzu Idriss Rashid wakati ni makosa kielimu (Menejiment)