Prof. Muhongo anatembelea nyota ya William Ngeleja

Prof. Muhongo anatembelea nyota ya William Ngeleja

Uko sahihi Ajol, hii ni nchi yetu wote so ni muhimu kuenzi kazi zilizofanywa na kila mmoja. Ukweli ni huo kwamba ngeleja ni miongoni mwa hazina za nchi hii. Jamaa alikabidhiwa wizara ikiwa na changamoto lukuki lakini alipambana hadi anajiuzuru April 2012 mgawo wa umeme alishaudhibiti tsngu Novemba 2011. Anayebishi alete data hapa cyo hasira na fitna tu. Kiwira ni ya enzi za Mkapa sasa alaumiwe kwa lipi? Iptl ni tangu enzi za jk akiwa waziri.
 
yaani watanzania ni wepesi wa kusahau kweli,namshangaa huyo jamaa anayempigia campagn sijui ni ndugu yake.
Ngeleja mnae muongelea hapa ni yupi? Ni huyu ambaye mala ya mwisho amekula za escrow kupitia Mkombozi Bank au kuna Ngeleja mwengine amezaliwa?
 
Naona kuna mtu/watu wanaandika humu , huku kitu chenye ncha kali kimeelekezwa kwenye mwili wao. Hivyo contribution yake itakuwa ni ya kufikirika kama ndoto za Abinuwasi.
 
Mnaomtetea Muhongo leteni facts lipi jipya alilokuja nalo Prof zaidi ya vitisho tu. T?arifa ya Kamati ya Bunge PAC ilyokuwa inaongozwa na Zitto ilisema wakati wa mjadala wa escrow kwamba wakati Muhongo anamrithi Ngeleja hasara ya Tanesco ilikuwa shs 43bn tu wakati Prof anafukuzwa uwaziri hasara ya Tanesco ilikuwa imeshoot hadi shs over 460bn, mpo hapo watetezi wa prof?
 
On top of that Muhongo alisimamisha uendelezaji wa miradi ya maji ambayo ni muhimu sana kama nchi inatarajia kufikia kitu kinachoitwa power generation mix, cha ajabu sasa hivi anameza matapishi yake kwa kukaribisha wawekezaji kwenye miradi aliyoizuia awali. Asingesimamisha miradi hiyo leo hii Stiegler's Gorge(2100 mw) ingekuwa imekamilika.
 
Nasikia pia kipindi chake ndicho wapiga dili walitengeneza sana fedha kwa kuuza mafuta mazito ya kuzalishia umeme pale IPTL baada ya umeme wa Tanesco kuzimwa makusudi kwa amri na vimemo vilivyokuwa vinatoka kwake? Na eti ndiye aliyeasisi mtindo wa kumwaga maji ili yasijaze levo pale Mtera ili watu wauze majenereta yao?
 
Prof. Muhongo anatosha ndugu, vumilia tu, kama unautamani uwaziri kaoge maji ya mchele urudishe nyota yako.
 
nasikia pia kipindi chake ndicho wapiga dili walitengeneza sana fedha kwa kuuza mafuta mazito ya kuzalishia umeme pale iptl baada ya umeme wa tanesco kuzimwa makusudi kwa amri na vimemo vilivyokuwa vinatoka kwake? Na eti ndiye aliyeasisi mtindo wa kumwaga maji ili yasijaze levo pale mtera ili watu wauze majenereta yao?
mkuu huo ndio ukweli uchafu mwingi ulifanyka kipindi chake muhongo uchafu wote kahukuta kwenye makabrasha ....huyu jamaa na january ni vijana wa ra
 
This are hear say, Ngeleja ni miongoni mwa vijana wazalendo sana katika nchi yetu
Nasikia pia kipindi chake ndicho wapiga dili walitengeneza sana fedha kwa kuuza mafuta mazito ya kuzalishia umeme pale IPTL baada ya umeme wa Tanesco kuzimwa makusudi kwa amri na vimemo vilivyokuwa vinatoka kwake? Na eti ndiye aliyeasisi mtindo wa kumwaga maji ili yasijaze levo pale Mtera ili watu wauze majenereta yao?
 
Kumbuka wakati Ngeleja ni Waziri, January Makamba alikuwa akimfitini sana, sasa lao linakuwaje moja.
hana jipya agent wa ex mkulu na ra kwenye wizi wizara ya nishati...iptl...gesi na blah blah zote zilkua chini yake huyu na january makamba lao moja
 
Back
Top Bottom