General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,178
Ni ubunifu wake so tumpongeze kwa aliitoa taifa toka sehemu a to b
Usiku mwema!!
Ni ubunifu wake so tumpongeze kwa aliitoa taifa toka sehemu a to b
Usiku mwema!!
Watu wanahitaji ajira maana hizi kaz za kusafisha watu ngumu sana
Kamwambie aliyekutuma kwamba zile wizara 4 ambazo hazijapata waziri mpaka sasa hatoshi popote..WanaJF tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa Uhai, tumwombe atuongeze nguvu ya kupambana na Ujinga, Umaskini na atupe moyo wa uzalendo wa kuipenda Nchi yetu. Tanzania ni Mama yetu hivyo tunapaswa kuitumikia kwa Uzalendo wa hali ya juu bila ya kukata tama. Nirudi kwenye lengo ya trend hii.......
Mara baada ya Rais wetu Kipenzi Mh. John Pombe Magufuli kumteua Prof. Sospeter Muhongo kuwa Waziri wa Nishati na Madini, nilijiuliza maswali Mengi sana. Kwa nini Muhongo? Mh. Rais hajui kilichomwondoa Muhongo Wizarani? Lugha za kejeli na Majivuno ya Muhongo? Kiu kweli nilijiuliza Maswali bila ya kupata majibu, ila juzi nimesoma trend inayosema Muhongo ni Mchapa kazi na hakuna mbadala wake ndani ya Chama Cha Mapinduzi.
Hii ikawa chachu kwangu kujua ni yapi aliyoyafanya Muhongo Wizarani toka alipoingia 2012 hadi 2014, ili nijiridhishe kuwa ni Mchapa kazi. Utafiti niliofanya ndani ya wizara ya Nishati na Madini ilinishtua sana kwani sikutarajia kukuta jina la William Mganga Ngeleja, kwa msiomfahamu huyu ndiye Waziri aliyefanya makubwa katika wizara ya Nishati na Madini tokea nchi hii inapata Uhuru.
Tokea nchi hii imepata Uhuru 1961 hadi 2008 tulikuwa hatuna umeme wa uhakika, na hata madini yetu yalikuwa yanachotwa bila ya utaratibu ila William Ngeleja amelikomboa taifa hili kwenye SEKTA YA NISHATI NA MADINI. Mtu yeyote yupo huru kufanya utafiti wake na atulete data humu.
Nitagawanya matokeo ya utafiti huu katika sehemu kuu mbili, Nishati na Madini.
NISHATI
} Mh. Ngeleja aliasisi mradi wa bomba la gesi la Mtwara ? dar, Mwaka 2008.
} Mh. Ngeleja aliasisi mradi wa kusambaza Umeme vijijini(REA), Mwaka 2009.
} Mh. Ngeleja alisimamia utaratibu kufunga majenereta mapya katika maeneo ambayo hayajaunganishwa na Gridi ya Taifa, Mfano. Kigoma Ujiji, Sumbawanga Mjini, Longido n.k.
} Mh. Ngeleja Alisimamia utungwaji wa Sheria Mpya ya Umeme iliyoondoa ukiritimba wa TANESCO katika kuzalisha, kusafirisha na kusambaza Umeme Nchini. Mwaka 2008.
} Mh. Ngeleja alianzisha utaratibu wa kuagiza mafuta(Fuel Bulk Procurement) kupitia EWURA. Utaratibu huu umesaidia serikali kuokoa zaidi ya bilioni 900 Tsh. Mwaka 2012.
} Mh. Ngeleja Mwaka 2011 alisimamia kuifufua kampuni ya Mafuta ya Serikali ya COPEC inayomilikiwa na TPDC ambayo ilikwama toka 2000.
} Mh. Ngeleja alisimamia ugunduzi wa gesi asili unaoendelea.
} Mh. Ngeleja alisimamia Durusu ya mpango wa mifumo ya umeme(Power System Master Plan) 2009 ? 2033.
Naomba niishie hapa kwa leo, yale aliyo yafanya kwenye MADINI bado naenedelea kukusanya data, ila kwenye sekta ya NISHATI ni dhahiri Mh. Ngeleja amefanya vyema na kama watanzania wazalendo hatuna budi kumpongeza. Nichukue fursa hii kuwapongeza wana Sengerema kwa kuendelea kumchagua kuwa Mbunge wao, hakika William Ngeleja ni kijana ambaye Taifa hili linamuitaji.
WanaJF tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa Uhai, tumwombe atuongeze nguvu ya kupambana na Ujinga, Umaskini na atupe moyo wa uzalendo wa kuipenda Nchi yetu. Tanzania ni Mama yetu hivyo tunapaswa kuitumikia kwa Uzalendo wa hali ya juu bila ya kukata tama. Nirudi kwenye lengo ya trend hii.......
Mara baada ya Rais wetu Kipenzi Mh. John Pombe Magufuli kumteua Prof. Sospeter Muhongo kuwa Waziri wa Nishati na Madini, nilijiuliza maswali Mengi sana. Kwa nini Muhongo? Mh. Rais hajui kilichomwondoa Muhongo Wizarani? Lugha za kejeli na Majivuno ya Muhongo? Kiu kweli nilijiuliza Maswali bila ya kupata majibu, ila juzi nimesoma trend inayosema Muhongo ni Mchapa kazi na hakuna mbadala wake ndani ya Chama Cha Mapinduzi.
Hii ikawa chachu kwangu kujua ni yapi aliyoyafanya Muhongo Wizarani toka alipoingia 2012 hadi 2014, ili nijiridhishe kuwa ni Mchapa kazi. Utafiti niliofanya ndani ya wizara ya Nishati na Madini ilinishtua sana kwani sikutarajia kukuta jina la William Mganga Ngeleja, kwa msiomfahamu huyu ndiye Waziri aliyefanya makubwa katika wizara ya Nishati na Madini tokea nchi hii inapata Uhuru.
Tokea nchi hii imepata Uhuru 1961 hadi 2008 tulikuwa hatuna umeme wa uhakika, na hata madini yetu yalikuwa yanachotwa bila ya utaratibu ila William Ngeleja amelikomboa taifa hili kwenye SEKTA YA NISHATI NA MADINI. Mtu yeyote yupo huru kufanya utafiti wake na atulete data humu.
Nitagawanya matokeo ya utafiti huu katika sehemu kuu mbili, Nishati na Madini.
NISHATI
} Mh. Ngeleja aliasisi mradi wa bomba la gesi la Mtwara ? dar, Mwaka 2008.
} Mh. Ngeleja aliasisi mradi wa kusambaza Umeme vijijini(REA), Mwaka 2009.
} Mh. Ngeleja alisimamia utaratibu kufunga majenereta mapya katika maeneo ambayo hayajaunganishwa na Gridi ya Taifa, Mfano. Kigoma Ujiji, Sumbawanga Mjini, Longido n.k.
} Mh. Ngeleja Alisimamia utungwaji wa Sheria Mpya ya Umeme iliyoondoa ukiritimba wa TANESCO katika kuzalisha, kusafirisha na kusambaza Umeme Nchini. Mwaka 2008.
} Mh. Ngeleja alianzisha utaratibu wa kuagiza mafuta(Fuel Bulk Procurement) kupitia EWURA. Utaratibu huu umesaidia serikali kuokoa zaidi ya bilioni 900 Tsh. Mwaka 2012.
} Mh. Ngeleja Mwaka 2011 alisimamia kuifufua kampuni ya Mafuta ya Serikali ya COPEC inayomilikiwa na TPDC ambayo ilikwama toka 2000.
} Mh. Ngeleja alisimamia ugunduzi wa gesi asili unaoendelea.
} Mh. Ngeleja alisimamia Durusu ya mpango wa mifumo ya umeme(Power System Master Plan) 2009 ? 2033.
Naomba niishie hapa kwa leo, yale aliyo yafanya kwenye MADINI bado naenedelea kukusanya data, ila kwenye sekta ya NISHATI ni dhahiri Mh. Ngeleja amefanya vyema na kama watanzania wazalendo hatuna budi kumpongeza. Nichukue fursa hii kuwapongeza wana Sengerema kwa kuendelea kumchagua kuwa Mbunge wao, hakika William Ngeleja ni kijana ambaye Taifa hili linamuitaji.
Escrow kala na madudu kibao kama vile Kiwira ambayo alijaribu kuitetea in total failure. Endelea na utafiti lakini unapofanya hayo acha kupokea posho zake
Kamwambie aliyekutuma kwamba zile wizara 4 ambazo hazijapata waziri mpaka sasa hatoshi popote..
Mbona hukutaja mkataba wa IPTL kama moja ya matunda ya ubunifu wake?usisahau pia ile kesi ya kimagumashi kati ya IPTL na TANESCO iliyokuwa ikimjaza mapesa Bw Nimrod Nkono kisha ikaja kuzaa ESCROW tunayoipigia kelele leo hii.
WanaJF tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa Uhai, tumwombe atuongeze nguvu ya kupambana na Ujinga, Umaskini na atupe moyo wa uzalendo wa kuipenda Nchi yetu. Tanzania ni Mama yetu hivyo tunapaswa kuitumikia kwa Uzalendo wa hali ya juu bila ya kukata tama. Nirudi kwenye lengo ya trend hii.......
Mara baada ya Rais wetu Kipenzi Mh. John Pombe Magufuli kumteua Prof. Sospeter Muhongo kuwa Waziri wa Nishati na Madini, nilijiuliza maswali Mengi sana. Kwa nini Muhongo? Mh. Rais hajui kilichomwondoa Muhongo Wizarani? Lugha za kejeli na Majivuno ya Muhongo? Kiu kweli nilijiuliza Maswali bila ya kupata majibu, ila juzi nimesoma trend inayosema Muhongo ni Mchapa kazi na hakuna mbadala wake ndani ya Chama Cha Mapinduzi.
Hii ikawa chachu kwangu kujua ni yapi aliyoyafanya Muhongo Wizarani toka alipoingia 2012 hadi 2014, ili nijiridhishe kuwa ni Mchapa kazi. Utafiti niliofanya ndani ya wizara ya Nishati na Madini ilinishtua sana kwani sikutarajia kukuta jina la William Mganga Ngeleja, kwa msiomfahamu huyu ndiye Waziri aliyefanya makubwa katika wizara ya Nishati na Madini tokea nchi hii inapata Uhuru.
Tokea nchi hii imepata Uhuru 1961 hadi 2008 tulikuwa hatuna umeme wa uhakika, na hata madini yetu yalikuwa yanachotwa bila ya utaratibu ila William Ngeleja amelikomboa taifa hili kwenye SEKTA YA NISHATI NA MADINI. Mtu yeyote yupo huru kufanya utafiti wake na atulete data humu.
Nitagawanya matokeo ya utafiti huu katika sehemu kuu mbili, Nishati na Madini.
NISHATI
} Mh. Ngeleja aliasisi mradi wa bomba la gesi la Mtwara ? dar, Mwaka 2008.
} Mh. Ngeleja aliasisi mradi wa kusambaza Umeme vijijini(REA), Mwaka 2009.
} Mh. Ngeleja alisimamia utaratibu kufunga majenereta mapya katika maeneo ambayo hayajaunganishwa na Gridi ya Taifa, Mfano. Kigoma Ujiji, Sumbawanga Mjini, Longido n.k.
} Mh. Ngeleja Alisimamia utungwaji wa Sheria Mpya ya Umeme iliyoondoa ukiritimba wa TANESCO katika kuzalisha, kusafirisha na kusambaza Umeme Nchini. Mwaka 2008.
} Mh. Ngeleja alianzisha utaratibu wa kuagiza mafuta(Fuel Bulk Procurement) kupitia EWURA. Utaratibu huu umesaidia serikali kuokoa zaidi ya bilioni 900 Tsh. Mwaka 2012.
} Mh. Ngeleja Mwaka 2011 alisimamia kuifufua kampuni ya Mafuta ya Serikali ya COPEC inayomilikiwa na TPDC ambayo ilikwama toka 2000.
} Mh. Ngeleja alisimamia ugunduzi wa gesi asili unaoendelea.
} Mh. Ngeleja alisimamia Durusu ya mpango wa mifumo ya umeme(Power System Master Plan) 2009 ? 2033.
Naomba niishie hapa kwa leo, yale aliyo yafanya kwenye MADINI bado naenedelea kukusanya data, ila kwenye sekta ya NISHATI ni dhahiri Mh. Ngeleja amefanya vyema na kama watanzania wazalendo hatuna budi kumpongeza. Nichukue fursa hii kuwapongeza wana Sengerema kwa kuendelea kumchagua kuwa Mbunge wao, hakika William Ngeleja ni kijana ambaye Taifa hili linamuitaji.
Mkuu unatest hasira za watu?
Huyo Ngereja baki nae ukitaka akuoe kabisa!
Katika kipindi chake cha uwaziri kulikuwa na mgawo ambao haujawahi kutokea katika awamu yoyote ile!
Muache Muhongo afanye kazi!!
we nawe umekula nini?unafananisha chupa na dhahabu?
mfano mdogo tu mimi nimelipia umeme ndani ya 2weeks wamenipigia simu wamekuja wameunganisha, watu wanataka vitu ambavyo vina impact ya moja kwa moja kwa wananchi sio porojo porojo, ngeleja amesaign mikataba mibovu mibovu ya madini mingi sana