PreGE2025 Prof. Mkumbo mitano tena Ubungo

PreGE2025 Prof. Mkumbo mitano tena Ubungo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Yes! Yes! Yes!! Read & vote if you are interested with.

 
Maamuzi ya mwisho yapo kwa wananchi wenyewe! Wao ndio wanajua nani anawafaha wa chama gani!

Mkileta mgombea ambaye hana sifa wanazohitaji watamtafuta sehemu Au katika chama kingine, na nikitu kizuri tu!
 
Wana UBUNGO kwa kauli moja tunaenda na Prof Dr Kitila Alexander Mkumbo (PhD). Barabara za mitaa zimejengwa mfano Manzese, Mabibo, Goba na UBUNGO. Tupewe nini tena?

CCM oyeeee!
Mitano ipi hiyo, kwahiyo kwenye ahadi zake aliahidi barabara tu? Na kuna barabara nyingi tu ni mbovu, vipi kuhusu maji? Goba watu wana zaidi ya miezi 6 maji hayatoki kwenye mabomba
 
Back
Top Bottom