Ya kwangu ataipata atakapomaliza suala la wapimaji wa ardhi Mabibo Makuburi wanaotuzungusha mwaka wa nne huu bila hati. Maana mnatoa kauli tu hamfuatilii.Kura ni moja Tu Prof Kitila Mkumbo
Mjumbe mpiga debe JFWana UBUNGO kwa kauli moja tunaenda na Prof Dr Kitila Alexander Mkumbo (PhD). Barabara za mitaa zimejengwa mfano Manzese, Mabibo, Goba na UBUNGO. Tupewe nini tena?
CCM oyeeee!