PreGE2025 Prof. Mkumbo mitano tena Ubungo

PreGE2025 Prof. Mkumbo mitano tena Ubungo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Kwa mwendo ule wa "serikali za mitaa" inawezekana kwa 100% ILA uchaguzi halali hata 20% haiwezekani!
 
Wana UBUNGO kwa kauli moja tunaenda na Prof Dr Kitila Alexander Mkumbo (PhD). Barabara za mitaa zimejengwa mfano Manzese, Mabibo, Goba na UBUNGO. Tupewe nini tena?

CCM oyeeee!
Mjumbe mpiga debe JF
 
Back
Top Bottom