Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Professa Mbele ana points na hoja ya maana lakini hajazipangilia hoja zake vizuri kwasababu kuna lots of contradictions,anasema suluhisho la kutokukaa vijiweni nk ni kusoma,je waliosoma si ndio mafisadi waliotufikisha hapa.
Ni kweli utamaduni wa mtanzania ndio huo wa kukaa vijiweni na kupiga soga,sasa viongozi wanahamasisha ama wao ni kusema sisi ni masikini kila kukicha?Kama viongozi wanasema ili tuendelee inabidi tuwe omba omba unategemea wananchi wawe kitu gani?
Kwanini huyu professa anatumia upuuzi kiasi hiki kusapoti status quo bila constructive points?
Anazungumzia kuhusu ujuzi na maarifa ie knowledge economy,sasa nani kamwambia professa kuwa ni lazima kila mwananchi awe na ujuzi na maarifa ili Taifa liendelee?.
Ni wazi kuwa matatizo tuliyonayo yanachangiwa sana na utamaduni,je viongozi wameshachukua hatua gani ili kujiwekea misingi ya kuachana na tamaduni mbovu zenye kuturudisha nyuma?
Professa huyu inaonyesha wazi kuwa anawarundikia wananchi lawama zote kutokana na mwenendo wa Taifa letu,mbona hajaweka short comings zozote kutoka kwa viongozi?je ana maana wao ni malaika?wasababu mara zote Professa huyu amekuwa akisema "hakuna haja ya kuwalaumu viongozi"je haya ni kweli?
Hata kama kuna ukweli kuhusu kuwaangushia wananchi lawama,sio kweli kwamba wananchi peke yao ndio vilaza kama anavyoelekea kuimply professa huyu, hatuwezi kupata maendeleo bila ya kuwashirikisha viongozi ambao ndio watatoa dira na mwelekeo.
Kwa viongozi kuspend kama Taifa tajiri na huku wakiendelea kuomba omba na pia kuwaambia wananchi sisi ni masikini,je hiyo ndiyo namna ya kuwaambia wananchi ondokeni vijiweni na muache uvivu?Nani anayesababisha "ganzi" hapo?
Eti "mkimshambulia rais,jishambulieni na ninyi" Huyu professa nina wasi wasi naye sana....Kama anajipendekeza kwa status quo,basi huo ni upuuzi wake asituletee wengine.
Sina muda wa kutosha la sivyo ningeijibu makala ya professa huyo hoja kwa hoja,ila pointi chache zinamtosha na hopefully atatafakari,ama atajiunga hapa JF ili apate changamoto...Viongozi are to blame kwasababu hawajaonyesha kulitambua tatizo kabla hata ya kujaribu kulitatua tatizo lenyewe,na kama maprofessa wa kumshauri ndio hawa,basi msimamo wangu uko pale pale kuwa REVOLUTION IS A MUST.
Mkuu hii nimeipenda sana! nimeshaandika hawa maprofesa sasa wanatumika kama masekretari wazuri kwa ccm.
Hivi huyu profesa gani asiyeelewa kuwa kiongozi anapochaguliwa kuiongoza nchi anategemewa aitoe jamii mahali alipoanzia kuipeleka mbele zaidi kwa kuibadilisha hata kimawazo licha ya kiuchumi? Kama wao viongozi walijua udhaifu wa wananchi wao kwanini hawakulifanyia kazi hilo? Huku ndiko kule kusoma bila kuelimika halafu ukawa profesa! Forget these theoreticians! Mwambie agombee ubunge watampa uwaziri sasa hivi..... while we count "Another ccm decorating secretary is born"!!
Jmushi and MpendaTz
Nimesoma post zenu naenda kuangalia movie!
why?
Because I am happy!