Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. William Anangisye anasikitika kutangaza kifo cha PROF. MATTHEW LUHANGA, aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuanzia 1991 hadi 2006, kilichotokea jioni ya leo tarehe 16.09. 2021. Tunatoa pole kwa familia, Chuo chetu na Tanzania kwa ujumla. Taarifa zaidi tutaendelea kujulishana. Tumwombee apumzike kwa Amani. Amina.
Dkt. Dotto P. Kuhenga, Mratibu wa Mawasiliano na Habari, UDSM.
Profesa Matthew Luhanga alikuwa ni Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Mzumbe.
=======
Professor Matthew Luhanga ndie Mwanasayansi wa Zama hizi mwenye historia iliyotukuka duniani
Dkt. Dotto P. Kuhenga, Mratibu wa Mawasiliano na Habari, UDSM.
Profesa Matthew Luhanga alikuwa ni Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Mzumbe.
=======
Professor Matthew Luhanga ndie Mwanasayansi wa Zama hizi mwenye historia iliyotukuka duniani