Besta Mlagila
Senior Member
- May 29, 2018
- 101
- 191
Katika mahojiano yake na Shirika la utangazaji Tanzania (TBC) kipindi cha mizani ya kisiasa, wakat akichangia Professor COSTA MAHALU alieleza kuwa suala la Katiba linaweza kuwa si la muhimu kutokana na wananchi walio wengi kutokuwa na ufahamu juu ya KATIBA, ambapo alieleza kuwa "Kati ya watanzania milioni 60, sidhani hata milioni moja wanafika ambao wanafahamu Katiba ni kitu gani".
Aidha aliendelea mbele zaidi kueleza kuwa wanaohitaji suala la Katiba mpya ni kwa maslahi yao binafsi ya kutaka kuingia madarakani.
Aidha aliendelea mbele zaidi kueleza kuwa wanaohitaji suala la Katiba mpya ni kwa maslahi yao binafsi ya kutaka kuingia madarakani.