comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,222
- 5,946
Prof. Lipumba: Hitimisho, baraza kuu linatoa wito kwa watanzania pamoja na waandishi wa habari kujiunga na chama cha CUF chenye lengo la kujenga nchi yenye haki sawa na furaha kwa wananchi wote. Kitakachotumia rasilimali za nchi yetu kukuza uchumi unaoongeza ajira utakaowapa na kuwanufaisha wananchi wote, kitakachoimarisha uwajibikaji na kujenga mfumo endelevu wa kupambana na rushwa na ufisadi.
Vyuma vinazidi kukaza, tujiunge na kuimarisha CUF ili hatimaye tupate grisi ya vyuma vilivyokaza na kuna vyama vingine vina sera ya kutongoza mademu, sisi tuna sera ya kujenga nchi yenye haki sawa na furaha kwa wananchi wote.
Vyuma vinazidi kukaza, tujiunge na kuimarisha CUF ili hatimaye tupate grisi ya vyuma vilivyokaza na kuna vyama vingine vina sera ya kutongoza mademu, sisi tuna sera ya kujenga nchi yenye haki sawa na furaha kwa wananchi wote.