johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Ukifanya uchunguzi mdogo tu utagundua katika mazingira fulani watatu hawa Prof Lipumba, Dr Dau na Prof Assad wanafanana sana.
Na lililo kuu wote ni walimu wa Udsm kama ilivyo kwa Prof. Kabudi.
Lakini watatu hawa umaarufu wao " umetengenezwa" zaidi na wanasiasa vijana kwa sababu za kisiasa " zaidi "
Ukiwaangalia katika upande wa taaluma na utendaji ni watu wa kawaida kabisa.
Nadhani nimeeleweka.
Maendeleo hayana vyama!
Na lililo kuu wote ni walimu wa Udsm kama ilivyo kwa Prof. Kabudi.
Lakini watatu hawa umaarufu wao " umetengenezwa" zaidi na wanasiasa vijana kwa sababu za kisiasa " zaidi "
Ukiwaangalia katika upande wa taaluma na utendaji ni watu wa kawaida kabisa.
Nadhani nimeeleweka.
Maendeleo hayana vyama!