Igwe, unajua kuwa concept ya management agencies ni brain child ya Prof Lipumba? Aliwaambia Mwinyi na Kigoma Malima (Malima akiwa waziri wa fedha nae akiwa mshauri wa uchumi) kuwa income tax department iwe independent wakamuona juha. Museveni alipomchukua at the same capacity na aka implement concept hiyo Uganda na performance ya URA ikawa bomba tukalazimishwa na world bank kufuata model hiyo hiyo!
Kubali usikubali, Prof ni kichwa japo si politician.