Prof. Lipumba aula!!

Prof. Lipumba aula!!

Bodi ya wachumi duniani, kichwa.
Mmmh_na hili ndilo tatizo letu,mtu unamsifu kichwa wakati hajafanya lolote la maana kwao(tz),....haya kila la heri huko kwenye hiyo bodi ya dunia.
 
Amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa bodi ya Wachumi Duniani. Mshahara wake utakuwa tshs 2,800 milioni kwa wiki 1. Source: cluds.
 
bora abaki huko huku wapemba sio kabisa ndio maana salmini aliwakazia
 
Mkapa siku zote alikuwa anamwita profesa uchwala.
 
Amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa bodi ya Wachumi Duniani. Mshahara wake utakuwa tshs 2,800 milioni kwa wiki 1. Source: cluds.

mshahara mdogo sana huo kwa cheo chake hico bora arudi bongo tu
 
Mmmh_na hili ndilo tatizo letu,mtu unamsifu kichwa wakati hajafanya lolote la maana kwao(tz),....haya kila la heri huko kwenye hiyo bodi ya dunia.

Hajapewa nafasi....
 
Mmmh_na hili ndilo tatizo letu,mtu unamsifu kichwa wakati hajafanya lolote la maana kwao(tz),....haya kila la heri huko kwenye hiyo bodi ya dunia.

Igwe, unajua kuwa concept ya management agencies ni brain child ya Prof Lipumba? Aliwaambia Mwinyi na Kigoma Malima (Malima akiwa waziri wa fedha nae akiwa mshauri wa uchumi) kuwa income tax department iwe independent wakamuona juha. Museveni alipomchukua at the same capacity na aka implement concept hiyo Uganda na performance ya URA ikawa bomba tukalazimishwa na world bank kufuata model hiyo hiyo!

Kubali usikubali, Prof ni kichwa japo si politician.
 
Back
Top Bottom