Prof. Lipumba ataka suluhu na Maalim Seif

Prof. Lipumba ataka suluhu na Maalim Seif

mnyawusi

Senior Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
169
Reaction score
254
Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema anawasiliana na wazee na waasisi wa chama hicho Zanzibar ili kutafuta suluhu ya mgogoro uliopo baina ya viongozi wakuu wa chama hicho.

Lipumba amesema anaamini kuwa mazungumzo hayo yataweza kuzaa matunda na kurejesha hali ya kawaida ndani ya chama hicho.

Gazeti Mwananchi linaandika.
 
PROFESA LIPUMBA ATAFUTA SULUHU NA MAALIM SEIF

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema anawasiliana na wazee na waasisi wa chama hicho Zanzibar ili kutafuta suluhu ya mgogoro uliopo baina ya viongozi wakuu wa chama hicho.

Lipumba amesema anaamini kuwa mazungumzo hayo yataweza kuzaa matunda na kurejesha hali ya kawaida ndani ya chama hicho.

Gazeti Mwananchi linaandika.
Yamekuwa hayo tena? Hivi hio suluhu anatafuta akiwa nje ya chama kama raia wa kawaida?
 
Safi kabisa professa. Huu ni mwanzo mzuri wa part 2 ya movie hii tuliyokuwa tunaisubiri kwa hamu baada ya part 1 kumalizika ambayo prof alitoka kidedea.
 
PROFESA LIPUMBA ATAFUTA SULUHU NA MAALIM SEIF

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema anawasiliana na wazee na waasisi wa chama hicho Zanzibar ili kutafuta suluhu ya mgogoro uliopo baina ya viongozi wakuu wa chama hicho.

Lipumba amesema anaamini kuwa mazungumzo hayo yataweza kuzaa matunda na kurejesha hali ya kawaida ndani ya chama hicho.

Gazeti Mwananchi linaandika.
cuf wa uswahilini, jinsi wanavo mchukulia prof lipumba, kukiwa tu na maridhiyano ya lipumba kubaki na uwenyekiti wa chama, ndio itakuwa mwisho wa cuf uswahilini
 
PROFESA LIPUMBA ATAFUTA SULUHU NA MAALIM SEIF

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema anawasiliana na wazee na waasisi wa chama hicho Zanzibar ili kutafuta suluhu ya mgogoro uliopo baina ya viongozi wakuu wa chama hicho.

Lipumba amesema anaamini kuwa mazungumzo hayo yataweza kuzaa matunda na kurejesha hali ya kawaida ndani ya chama hicho.

Gazeti Mwananchi linaandika.
Kazi ilikwisha mwaka jana na kafie mbali na usaliti wako na Mungu azidi kukuadhibu juu ya ardhi hii nadhani laana ya Watz. ndiyo inayokutafuna taratibu hadi utoboe kwenye ardhi hii.
Ilishiriki dhambi ya kuhujumu mabadiliko kwa Watz. waliochoka maisha ya utumwa wa akili na fikra,umasikini uliokithiri,ujinga uliyopitiliza,maradhi yalikosa tiba kisa umasikini,ufisadi yote ni malezi ya CCM ilikuendela kuwatawala Watz.
Wewe Propesa Pumba na Baby wa Josephine hakika Mungu awape adhabu yake stahiki na tutazidi kumuomba Allah awaadhibu kisawasawa kama unavyoteseka sasa....ni mwanzo tu.....
 
Back
Top Bottom