Prof. Lipumba arejea nchini

Prof. Lipumba arejea nchini

Hana lolote mtu asiyekubalika hata jimboni mwake asitupotezee muda kama taifa.
 
Lipumba anatafuta maafa...!!!

Umma utammaliza...kama anasoma upepo ulivyo...akae kimyaaaa...akitoa maneno ya hovyo kuhusu UKAWA ni hatari sana kwa maisha yake...!!!
 
Enzi za lyatonga akihama chama anahama na watu
hali ni tofauti siku hizi..
Lipumba amejidhalilisha

Lipumba hakuhama chama bali aliachia ngazi ktk uongozi. So hawezi kuondoka na watu. Tofautisha kuhama na kuachia ngazi
 
Angebaki huko huko Rwanda! watu wajinga wajinga hatuwahitaji!
 
pumba hakuwa hata namtu wakwenda kumpokea ata mke au wafuasi 2 wa 3 kweli kachokwa!!
 
huyu prof lipumba nguo alikuwa amelala nazo au kakimbizwa huko maana nguo zimejikunja sana ametia aibu!
 
Karibu Prof.. Njoo umwage ukweli namna Wachaga walivyouza nchi kwa mafisadi.. Watanzania wanasubiri kauli yako msomi uliyekataa kutumika na mafisadi.
 
Lipumba anatafuta maafa...!!!

Umma utammaliza...kama anasoma upepo ulivyo...akae kimyaaaa...akitoa maneno ya hovyo kuhusu UKAWA ni hatari sana kwa maisha yake...!!!

Sisi CCM tunamlinda, system iko makini kumprotect
 
huyu prof lipumba nguo alikuwa amelala nazo au kakimbizwa huko maana nguo zimejikunja sana ametia aibu!
You made my day haha jamaa kama kakurupuka manguo yako hovyohovyo madhara ya kukaa mbal na wife au cjui hana mke?
 
Back
Top Bottom