aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,227
Magazeti yenyewe ya serikali.
Taarifa za gazeti la Uhuru la leo ni kuwa Profesa Lipumba kajiuzulu uenyekiti CUF baada ya shinikizo kali kutoka kwa wanachama na viongozi wa CUF wasiotoa rushwa wala kupokea rushwa wa upande wa Zanzibar kutokana na sekeseke la yeye na al-maruhuni wenzie kumbeba Lowasa na kutaka awe mgombea UKAWA.
Kwa kujiuzulu kwake kunaonyesha wazi kuwa Lowasa kupitishwa na UKAWA itakuwa kazi ngumu kama CUF watatia ngumu UWEZEKANO AMBAO KWA SASA NI MKUBWA MNO.
Kama atakatwa basi safari yake ya Matumaini hewa sijui itaelekea wapi. Lakini taarifa zilizopo ni kuwa atatimkia ACT wazalendo kwa zitto kabwe kujaribu karata yake ya mwisho.
![]()
Cha kusikitisha hata CCM wenzako wameidharau hii habari kwani hawaiungi mkono wamesepa.
Wakati vyama vingine Mwenyekiti ndo mwenye nguvu, upande wa CUF Katibu Mkuu, anyway, sio Katibu Mkuu...kwa CUF Maalim Seif ndo ashikae makali! Huyu Lipumba kwa upande wa CUF ni mkimbizi tu!!! In short, wakati Maalimu Seif anao ubavu wa kumfurumusha Lipumba; kwa upande mwingine Lipumba hana ubavu wala uthubutu wa kumfurumusha Maalimu Seif! Hii CUF yenyewe ipo huku bara only because of Muungano... leo hii ukifa Muungano; kama ambavyo CHADEMA itakavyokufa natural death kule Zanzibar ndivyo CUF itakavyokufa natural death huku bara ingawaje itajitahidi tahidi kidogo isife kibudu kama itakavyokufa CHADEMA ZNZ!
Mwaka huu wapinzania watajamba cheche, cha kufurahisha ni kwamba mpaka wajipange tena itakuwa 2030 wakati huo CCM ipo mbali sana kimikakati
Taarifa za gazeti la Uhuru la leo ni kuwa Profesa Lipumba kajiuzulu uenyekiti CUF baada ya shinikizo kali kutoka kwa wanachama na viongozi wa CUF wasiotoa rushwa wala kupokea rushwa wa upande wa Zanzibar kutokana na sekeseke la yeye na al-maruhuni wenzie kumbeba Lowasa na kutaka awe mgombea UKAWA.
Kwa kujiuzulu kwake kunaonyesha wazi kuwa Lowasa kupitishwa na UKAWA itakuwa kazi ngumu kama CUF watatia ngumu UWEZEKANO AMBAO KWA SASA NI MKUBWA MNO.
Kama atakatwa basi safari yake ya Matumaini hewa sijui itaelekea wapi. Lakini taarifa zilizopo ni kuwa atatimkia ACT wazalendo kwa zitto kabwe kujaribu karata yake ya mwisho.
![]()
Wakati vyama vingine Mwenyekiti ndo mwenye nguvu, upande wa CUF Katibu Mkuu, anyway, sio Katibu Mkuu...kwa CUF Maalim Seif ndo ashikae makali! Huyu Lipumba kwa upande wa CUF ni mkimbizi tu!!! In short, wakati Maalimu Seif anao ubavu wa kumfurumusha Lipumba; kwa upande mwingine Lipumba hana ubavu wala uthubutu wa kumfurumusha Maalimu Seif! Hii CUF yenyewe ipo huku bara only because of Muungano... leo hii ukifa Muungano; kama ambavyo CHADEMA itakavyokufa natural death kule Zanzibar ndivyo CUF itakavyokufa natural death huku bara ingawaje itajitahidi tahidi kidogo isife kibudu kama itakavyokufa CHADEMA ZNZ!
Muda umewaumbua mtoa habari na gazeti lenyeweTaarifa za gazeti la Uhuru la leo ni kuwa Profesa Lipumba kajiuzulu uenyekiti CUF baada ya shinikizo kali kutoka kwa wanachama na viongozi wa CUF wasiotoa rushwa wala kupokea rushwa wa upande wa Zanzibar kutokana na sekeseke la yeye na al-maruhuni wenzie kumbeba Lowasa na kutaka awe mgombea UKAWA.
Kwa kujiuzulu kwake kunaonyesha wazi kuwa Lowasa kupitishwa na UKAWA itakuwa kazi ngumu kama CUF watatia ngumu UWEZEKANO AMBAO KWA SASA NI MKUBWA MNO.
Kama atakatwa basi safari yake ya Matumaini hewa sijui itaelekea wapi. Lakini taarifa zilizopo ni kuwa atatimkia ACT wazalendo kwa zitto kabwe kujaribu karata yake ya mwisho.
![]()
Haji Duni kashapitishwa kuwa mgombea mwenza wa Lowassa!! kazi mnayo - Muwe watulivu wakati dawa inawaingia.Taarifa za gazeti la Uhuru la leo ni kuwa Profesa Lipumba kajiuzulu uenyekiti CUF baada ya shinikizo kali kutoka kwa wanachama na viongozi wa CUF wasiotoa rushwa wala kupokea rushwa wa upande wa Zanzibar kutokana na sekeseke la yeye na al-maruhuni wenzie kumbeba Lowasa na kutaka awe mgombea UKAWA.
Kwa kujiuzulu kwake kunaonyesha wazi kuwa Lowasa kupitishwa na UKAWA itakuwa kazi ngumu kama CUF watatia ngumu UWEZEKANO AMBAO KWA SASA NI MKUBWA MNO.
Kama atakatwa basi safari yake ya Matumaini hewa sijui itaelekea wapi. Lakini taarifa zilizopo ni kuwa atatimkia ACT wazalendo kwa zitto kabwe kujaribu karata yake ya mwisho.
![]()
Taarifa za gazeti la Uhuru la leo ni kuwa Profesa Lipumba kajiuzulu uenyekiti CUF baada ya shinikizo kali kutoka kwa wanachama na viongozi wa CUF wasiotoa rushwa wala kupokea rushwa wa upande wa Zanzibar kutokana na sekeseke la yeye na al-maruhuni wenzie kumbeba Lowasa na kutaka awe mgombea UKAWA.
Kwa kujiuzulu kwake kunaonyesha wazi kuwa Lowasa kupitishwa na UKAWA itakuwa kazi ngumu kama CUF watatia ngumu UWEZEKANO AMBAO KWA SASA NI MKUBWA MNO.
Kama atakatwa basi safari yake ya Matumaini hewa sijui itaelekea wapi. Lakini taarifa zilizopo ni kuwa atatimkia ACT wazalendo kwa zitto kabwe kujaribu karata yake ya mwisho.
![]()