Prof. Lipumba ajitosa urais UKAWA

Prof. Lipumba ajitosa urais UKAWA

Swali moja tu la msingi?

Kwa sifa zote hizo ni nini kimefanya ushindi wake kushuka kwa kasi kuanzia 2010 na nini kimefanya chama chake kupoteza mvuto kila kukicha pamoja na uprofesa wake?
CUF haijashuka ni chama ambacho kime maintain position ile ile ya mmiaka yote
tofauti na iyo saccos ya mtei
 
Kamanda mbona umepanic ghafla hebu tulizana kunywa class moja ya rubisi au wanzuki kisha tulia kama dakika 5 hivi munkari utashuka kisha rudi kwenye mjadala wa Lipumba ukikasirika na akili ina ahama.

Pole sana kamanda wa ukweli.

Ha ha ha

Kamanda anataka kutulazimisha sisi tumchague muimba kwaya aende ikulu.

Hilo halipo.
 
Prof Lipumba yupi? Huyu huyu nae mfaham mim? hapana hapana watanzania wenzangu ni bora Jk aendelee kuogoza nchi miaka mingine mitano huku tukijiandaa nani au rais 2020!
 
Kama kweli kauli ya uhadirifu sio kiini macha,natengemea kumuona MBATIA au LIPUMBA maana ni wasafi nje na ndani lkn kama ni kiini macho watamleta ( padre mahaba a.k.a babu)
 
CUF haijashuka ni chama ambacho kime maintain position ile ile ya mmiaka yote
tofauti na iyo saccos ya mtei


kweli!! namtakia mafanikio prof,lkn najua anawakati mgumu kutoka kwa muasi wa madhabau aliyeshindwa kuongoza familia ya wake wawili leo anataka kuongoza milion 45 za watanzania,ndoto za nchana.
 
Ni sawa tu. Lipumba hana shida, akipitishwa na Ukawa tutampigia kura. Lakini hoja mtoazo dhidi ya Slaa ni hoja za kipuuzi, zimejaa ubaguzi usio wa lazima, hazijengi umoja wa kitaifa, zinawakwaza watu wa imani isiyo ya kiislam na zinakwamisha harakati za ukombozi.


marekani kipimo cha urais ni familia yako kama umeshidwa kuongoza familia yako tu hawakupi urais hata kama unasifa nyingine zote, maana yake hautoshi,hautaongoza bali utaongozwa japo wewe ni rais.
 
marekani kipimo cha urais ni familia yako kama umeshidwa kuongoza familia yako tu hawakupi urais hata kama unasifa nyingine zote, maana yake hautoshi,hautaongoza bali utaongozwa japo wewe ni rais.
Labda marekani ya nyumbani kwenu matombo. Clinton alifanywaje?
 
Lipumba ni sehemu ya UKAWA akichaguliwa atuwakilishe tutamchagua na kama akipitishwa mwingine bado tutampigia mwakilishi wa UKAWA.
Asiye kinyume nasi yu upande wetu.
VIVA UKAWA.
 
sometime nacheka tu. LIPUMBA WILL NEVER NE A PRESIDENT OF THIS COUNTRY AS WELL AS SLAA... hivininyi mafikria ni mchezo tu? well angalau Dr SLaa Lipumba kiukweli tumeshachoka naye jaman miaka 25 yote unataka urais unazidi kuporomoka tu bado hujiwazii? hawa wasomi wetu mbona hawawazi kama wasomi? msomi angekuwa ameshajua kuwa wananchi hawamtaki.

kweli kabisa
 
hahahahaha..... Mkimsimamisha lipumba ntampa kura , lakini padre slaa NO THANK YOU!

Najua kwamba hata CCM inajua kwamba akisimama Lipumba itapumua kwani upinzani hautanoga. Lakini Slaa akisimama ni hakika mtatamani kujiharishia. Ndio maana kila kukicha hamchoki kumsema vibaya Dr Slaa. Subirini wakati ukifika mtatamani muweke kashifa za ajabu dhidi ya Dr lengo likiwa kutafuta njia ya kutokea. Propaganda bwana ni kama uji na mgonjwa
 
Mfikishien ujumbe padre slaa.

Kuwa nchi hii haiwez kuongozwa na mtu mwenye laana la mungu kama yeye.

Amemuasi mungu.

Taifa hili halihitaji laana.
Bila shaka utakuwa umetiwa kidole kwanza kabla ya kuanika huu utumbo wako hapa.
 
Hatuna hofu na mkristo.

Tusichotaka ni kuona Padre Askofu Sheikh Imam anakua rais wa nchi hii.

Hilo hatulitak.

Hao watu wabakie kuongoza ibada tuh.

Siasa waziache kwa wanasiasa.
Hilo hulitaki wewe na nani? Ni udini tu ndio unaokutafuna.
 
Uzuri wa CUF ina kura zake ambazo hazipotei hovyo.Si ajabu kukuta CUF ina matawi ambayo yapo hai kuliko vyama vyote vya upinzani Tanzania.
 
Wewe ni ukawa siku hizi au utapiga kura mara mbili act na ukawa? Tumbo baya jamanii

ladies and gents.

Friends and our enemies.

Nachukua muda wangu kumpongeza profesa nguli wa uchumi ndug ibrahim lipumba kwa kutangaza nia yake mapema ya kuwania urais kupitia ukawa.

Nachukua nafasi hii kumpongeza na kama tunavyojua wilbroad slaa itambidi asubiri tu kwani hana cv ya kumzidi prof lipumba.

Ukawa mkae mkijua kwamba kama hamtampitisha lipumba basi ni bora tukose wote.

Full stop.
 
Back
Top Bottom