Prof. Lipumba ajitosa urais UKAWA

Prof. Lipumba ajitosa urais UKAWA

Ladies and Gents.

Friends and Our Enemies.

Nachukua muda wangu kumpongeza Profesa Nguli wa uchumi ndug Ibrahim Lipumba kwa kutangaza nia yake mapema ya kuwania urais kupitia ukawa.

Nachukua nafasi hii kumpongeza na kama tunavyojua Wilbroad Slaa itambidi asubiri tu kwani hana CV ya kumzidi Prof Lipumba.

Ukawa mkae mkijua kwamba kama hamtampitisha Lipumba basi ni bora tukose wote.

FULL STOP.
 
sasa kukosa wote unaonyeha kama umekosa matumaini na haujua unachotaka NI SAWA NA KUJIFUNIKA SHUKA ALAFU UNAJAMBA UKITEGEMEA UTATUKOMOA SISI WA NJE KUMBE ........
 
Mleta mada wewe ni baadhi ya watu mnaopuuzwa sana humu jukwaani kwa mitazamo yako ya udini. Unaruhusiwa kupiga debe upendavyo kwani ukawa hawana haja ya ushauri wa watu wenye mitazamo ya kidini kama ww.
 
Ladies and Gents.

Friends and Our Enemies.

Nachukua muda wangu kumpongeza Profesa Nguli wa uchumi ndug Ibrahim Lipumba kwa kutangaza nia yake mapema ya kuwania urais kupitia ukawa.

Nachukua nafasi hii kumpongeza na kama tunavyojua Wilbroad Slaa itambidi asubiri tu kwani hana CV ya kumzidi Prof Lipumba.

Ukawa mkae mkijua kwamba kama hamtampitisha Lipumba basi ni bora tukose wote.

FULL STOP.

hivi wewe si kada maarufu wa ccm hapa jamvini
 
Domo chafu kama wewe huna hadhi ya kushauri UKAWA,Dr.Slaa na Mbatia si wachaga?sasa unawashauri nini wachaga
 
Ladies and Gents.

Friends and Our Enemies.

Nachukua muda wangu kumpongeza Profesa Nguli wa uchumi ndug Ibrahim Lipumba kwa kutangaza nia yake mapema ya kuwania urais kupitia ukawa.

Nachukua nafasi hii kumpongeza na kama tunavyojua Wilbroad Slaa itambidi asubiri tu kwani hana CV ya kumzidi Prof Lipumba.

Ukawa mkae mkijua kwamba kama hamtampitisha Lipumba basi ni bora tukose wote.

FULL STOP.

We kweli mwehu,nani anataka kura yako huku UKAWA.Nenda ACT watamsimamisha mgombea unayemtaka,usitusumbue akili zenu bana.
 
Ladies and Gents.

Friends and Our Enemies.

Nachukua muda wangu kumpongeza Profesa Nguli wa uchumi ndug Ibrahim Lipumba kwa kutangaza nia yake mapema ya kuwania urais kupitia ukawa.

Nachukua nafasi hii kumpongeza na kama tunavyojua Wilbroad Slaa itambidi asubiri tu kwani hana CV ya kumzidi Prof Lipumba.

Ukawa mkae mkijua kwamba kama hamtampitisha Lipumba basi ni bora tukose wote.

FULL STOP.

Hivi huyu mzee hachoki....au hakupata ushauri wa membe??haya ndo makina nkurunzinza wa bongo
 
Ladies and Gents.

Friends and Our Enemies.

Nachukua muda wangu kumpongeza Profesa Nguli wa uchumi ndug Ibrahim Lipumba kwa kutangaza nia yake mapema ya kuwania urais kupitia ukawa.

Nachukua nafasi hii kumpongeza na kama tunavyojua Wilbroad Slaa itambidi asubiri tu kwani hana CV ya kumzidi Prof Lipumba.

Ukawa mkae mkijua kwamba kama hamtampitisha Lipumba basi ni bora tukose wote.

FULL STOP.
Kwahy unafikir kwann inaandaliwa kura ya maoni mkuu mbona unataka kuvuruga ukawa?
 
Nchi hii haiwez kuongozwa na padre slaa hata siku moja.

Kanisa halina nafasi tena nchi hii
 
Prof lipumba ndie tumain letu

Ujinga wako wa udini bado una uendeleza? Zamani ulishabikia CHADEMA kilipomtimua Ayatola kwa kuanzisha chama ndani ya chama ukajifanya unageukia CCCM.

Wewe niwa kuonewa huruma tu maana umeamua kuungana na watesi wa ndugu zako wa Mtwara. Siku hizi husemi tena gasi kwanza?
 
We kweli mwehu,nani anataka kura yako huku UKAWA.Nenda ACT watamsimamisha mgombea unayemtaka,usitusumbue akili zenu bana.
Mzee wenu kashindwa kazi ya mungu ataiwezea wapi kazi ya kuongoza nchi?

Akafie zake mbele huko
 
Ujinga wako wa udini bado una uendeleza? Zamani ulishabikia CHADEMA kilipomtimua Ayatola kwa kuanzisha chama ndani ya chama ukajifanya unageukia CCCM.

Wewe niwa kuonewa huruma tu maana umeamua kuungana na watesi wa ndugu zako wa Mtwara. Siku hizi husemi tena gasi kwanza?


Potelea mbali.

Fanyeni mtakavyofanya kama ukawa hakuna prof lipumba basi ni bora tuendelee kuongozwa na ccm.

Padre au mchaga hana nafas ndan ya ikulu yetu.

Hutaki nijitie vidole.
 
hilo ni bwabwa la udini na kada la ccm vp leo uwe ukawa halisomeki kisa linaongozwa itikadi za kidini.

Hivi nyinyi mnataka slaa awe rais wa nchi hii mna akili timamu kweli??

We unadhan kuongoza nchi ni jambo rahis kama kutafuna kondoo wa bwana???

Chukuen time zenu nyinyi wachaga.

Padre slaa aache ndoto zake za alinacha.
 
Nchi hii haiwez kuongozwa na padre slaa hata siku moja.

Kanisa halina nafasi tena nchi hii

Wewe umevurugwa! Hatuwezi kusikiliza mazwazwa kama wewe mnao weka udini mbele! Tangu mwanzo nilijua tu kuwa umekuja na fikra za udini na bahati nzuri umekuja kuanika ujinga wako mbele ya great thinker.

Hapo ofisini umeajiriwa na bosi mkristo na unafanya kazi na wakristo wenzako. hii nchi sio ya kiislamu wala kikristo, kama unataka omba uraia wa Yemeni uende ukaishi huko. usitulee ujinga wako hapa.
 
Lipumba hao wachaga wa ukawa wakilikata jina lako jitoe ugombee kwa chama chako cha CUF tuh.

Hatuwez kucheza kamari na kuwapa wachaga na mapadre nchi hii.

Never.
 
Wewe umevurugwa! Hatuwezi kusikiliza mazwazwa kama wewe mnao weka udini mbele! Tangu mwanzo nilijua tu kuwa umekuja na fikra za udini na bahati nzuri umekuja kuanika ujinga wako mbele ya great thinker.

Hapo ofisini umeajiriwa na bosi mkristo na unafanya kazi na wakristo wenzako. hii nchi sio ya kiislamu wala kikristo, kama unataka omba uraia wa Yemeni uende ukaishi huko. usitulee ujinga wako hapa.

Najua mnachukia sana kwa kuambiwa ukweli.

Lakin ndiyo ukweli wenyewe.

Padre Slaa asahau kabisa kuwa rais wa nchi hii.

Asituletee balaa yule mzee.

Kama anabisha asubir october wala siyo mbali.

Hatujafikia hatua ya kuwa hopless kias hicho.
 
Back
Top Bottom