Prof. Lipumba ajitosa urais UKAWA

Prof. Lipumba ajitosa urais UKAWA

We ndo bure kabisa!sasa unamlaumu mtoa mada kwaminajili ipi?Hebu angalia Source ya habari bichwa maji wewe
Mleta mada wewe ni baadhi ya watu mnaopuuzwa sana humu jukwaani kwa mitazamo yako ya udini. Unaruhusiwa kupiga debe upendavyo kwani ukawa hawana haja ya ushauri wa watu wenye mitazamo ya kidini kama ww.
 
Lipumba hao wachaga wa ukawa wakilikata jina lako jitoe ugombee kwa chama chako cha CUF tuh.

Hatuwez kucheza kamari na kuwapa wachaga na mapadre nchi hii.

Never.

Mkuu akitoka ukawa aje act tufanye demokrasia ya kweli na sio siasa mavimavi tena
 
Wewe si upo ACT?ya UKAWA waachie wenyewe UKAWA wataamua, hayakuhusu.

Mfikishien ujumbe padre slaa.

Kuwa nchi hii haiwez kuongozwa na mtu mwenye laana la mungu kama yeye.

Amemuasi mungu.

Taifa hili halihitaji laana.
 
Najua mnachukia sana kwa kuambiwa ukweli.

Lakin ndiyo ukweli wenyewe.

Padre Slaa asahau kabisa kuwa rais wa nchi hii.

Asituletee balaa yule mzee.

Kama anabisha asubir october wala siyo mbali.

Hatujafikia hatua ya kuwa hopless kias hicho.

Utakuwa una mfadhaiko wa kiakili siyo bure.
 
Wewe umevurugwa! Hatuwezi kusikiliza mazwazwa kama wewe mnao weka udini mbele! Tangu mwanzo nilijua tu kuwa umekuja na fikra za udini na bahati nzuri umekuja kuanika ujinga wako mbele ya great thinker.

Hapo ofisini umeajiriwa na bosi mkristo na unafanya kazi na wakristo wenzako. hii nchi sio ya kiislamu wala kikristo, kama unataka omba uraia wa Yemeni uende ukaishi huko. usitulee ujinga wako hapa.

Gwajima kumualika mikutano ya chadema na mkewe frola kuimbia chadema sio udini?
 
Mfikishien ujumbe padre slaa.

Kuwa nchi hii haiwez kuongozwa na mtu mwenye laana la mungu kama yeye.

Amemuasi mungu.

Taifa hili halihitaji laana.

UKAWA hawawezi kusikiliza ushauri wa kipuuzi kutoka kwa mwehu kama wewe.
 
hilo ni bwabwa la udini na kada la ccm vp leo uwe ukawa halisomeki kisa linaongozwa itikadi za kidini.

Umeshasahau 2010 siasa mulidanyia makanisani? Sio udini kwenu sio.
 
Swadaktaaa,naungana nawewe mkuu kuwa nchi hii si ya waislam wala wakristo na ndio maana tunasema nchi yetu haina dini.Sasa itakuwaje nchi isiyo na dini Ikaongozwa na kiongozi wa dini(padri Slaa)?Au we unaonaje mkuu.(
Wewe umevurugwa! Hatuwezi kusikiliza mazwazwa kama wewe mnao weka udini mbele! Tangu mwanzo nilijua tu kuwa umekuja na fikra za udini na bahati nzuri umekuja kuanika ujinga wako mbele ya great thinker.

Hapo ofisini umeajiriwa na bosi mkristo na unafanya kazi na wakristo wenzako. hii nchi sio ya kiislamu wala kikristo, kama unataka omba uraia wa Yemeni uende ukaishi huko. usitulee ujinga wako hapa.
 
Ni kweli mkuu.

Hawa wachaga hawawez kutuzid akili hata siku moja.

Gwajima anamtetea padre slaa chadena wakati huohuo anamnadi na lowasa ccm,Ndesamburo anamuunga mkono lowasa ccm na yeye ni chadema hapa kuna kitu kwa mwenye akili.
 
Mfikishien ujumbe padre slaa.

Kuwa nchi hii haiwez kuongozwa na mtu mwenye laana la mungu kama yeye.

Amemuasi mungu.

Taifa hili halihitaji laana.

You're displaying all diagnostic symptoms of mental disorders .UKAWA is not a mental asylum please.Go and join ACT.It perfectly suits your crazy world view.
 
Umeshasahau 2010 siasa mulidanyia makanisani? Sio udini kwenu sio.

aliye itwa chaguo la Mungu aliitwa na nani? lini alishasilimu baada ya kutoka madhabahuni?! unasema kampeni kanisani mbona huyohuyo lipumba alikiri kusaidia jahazi lisizame kwa kumsaidia JK. kwa taarifa yako yamesha pita maana yalioyopita si ndwele na sasa tunataka kuona nchi inasogea hapa ilipo bila kuanga vita ya udini mnayotuletea.

Kama hutaki mgombea X utapiga kura yako kwingine, na sisi wengine tutapiga kura kwingine. Unacho kifanya hapa ni kumbwela mbwela tu
 
Swadaktaaa,naungana nawewe mkuu kuwa nchi hii si ya waislam wala wakristo na ndio maana tunasema nchi yetu haina dini.Sasa itakuwaje nchi isiyo na dini Ikaongozwa na kiongozi wa dini(padri Slaa)?Au we unaonaje mkuu.(

Umeongea point kubwa sana mkuu.

Mapadre na masheikh wabakie kwenye majumba ya ibada.

Padre Slaa hana nafasi katika nchi hii.

Afanye arudi kanisani tuh.
 
aliye itwa chaguo la Mungu aliitwa na nani? lini alishasilimu baada ya kutoka madhabahuni?! unasema kampeni kanisani mbona huyohuyo lipumba alikiri kusaidia jahazi lisizame kwa kumsaidia JK. kwa taarifa yako yamesha pita maana yalioyopita si ndwele na sasa tunataka kuona nchi inasogea hapa ilipo bila kuanga vita ya udini mnayotuletea.

Kama hutaki mgombea X utapiga kura yako kwingine, na sisi wengine tutapiga kura kwingine. Unacho kifanya hapa ni kumbwela mbwela tu

Chadema ndio wa kwanza kuanza kampeni makanisani chini ya dr slaa 2010 msijifanye kulisahau hilo.

Sisi hatuna iman na huyo jamaa hata kidogo.

Kaeni mkilitambua hilo.
 
aliye itwa chaguo la Mungu aliitwa na nani? lini alishasilimu baada ya kutoka madhabahuni?! unasema kampeni kanisani mbona huyohuyo lipumba alikiri kusaidia jahazi lisizame kwa kumsaidia JK. kwa taarifa yako yamesha pita maana yalioyopita si ndwele na sasa tunataka kuona nchi inasogea hapa ilipo bila kuanga vita ya udini mnayotuletea.

Kama hutaki mgombea X utapiga kura yako kwingine, na sisi wengine tutapiga kura kwingine. Unacho kifanya hapa ni kumbwela mbwela tu

Nashukuru kwa kulifahamu hilo kama siasa zilifanyika makanisani je kwa nini maaskof waliokasema jk kachaguliwa na Mungu baadae wamgeuke na kumsapiti padre Slaa?
 
Chadema ndio wa kwanza kuanza kampeni makanisani chini ya dr slaa 2010 msijifanye kulisahau hilo.

Sisi hatuna iman na huyo jamaa hata kidogo.

Kaeni mkilitambua hilo.

Mkuu kuna siri kubwa sana hapa ila watu hawaijui. Nasikitika kuona watu watu wanashabikia chadema kwa kufikiri ni mkombozi wa watz kumbe ndio wezi wenyewe.
 
Nashukuru kwa kulifahamu hilo kama siasa zilifanyika makanisani je kwa nini maaskof waliokasema jk kachaguliwa na Mungu baadae wamgeuke na kumsapiti padre Slaa?

Wamevurugwa sana hao jamaa.

Yani sisi tumpigie kura padre??

Sisi siyo wapu.uu.zi kias hiko.
 
Kuna watu humu walianzisha ACT wakiwa na matarajio makubwa sana, sasa mambo yamewatenda kinyume na maumbile wanataka kuleta vurugu ndani ya UKAWA.Mnajisumbua,UKAWA ina magwiji wa fitina za kisiasa, inaungwa mkono na makundi mengi ya watz,subirini muda mkifika mtaliona vumbi lake,kile mlichokiona Arusha si kitu.Nyinyi bakini na ACT yenu ya wacha Mungu,mliojazwa baraka na Mungu kwa maana kwenye chuki kuna Mungu.Sisi tuachieni UKAWA yetu,tunajipanga jinsi ya kuitoa CCM madarakani.
 
Back
Top Bottom